Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Kiukweli humu masela wana fiksi sana... yaani humu kila mdau ana gari, ana nyumba, ana kazi nzuri, mixer kidhungu anakijua.... Lakini ukweli wa maisha yao ni kituko tuu..
sasa Mimi pancho Boy sitaki fiksi...
kazi yangu nadili na uproducer, na pia ni dj wa club na event mbali mbali... me sio tajiri.. maskinii tuu.. naishi maghetoni..
wadau humu acheni fiksi!!..
"uongo dhambi "
sasa Mimi pancho Boy sitaki fiksi...
kazi yangu nadili na uproducer, na pia ni dj wa club na event mbali mbali... me sio tajiri.. maskinii tuu.. naishi maghetoni..
wadau humu acheni fiksi!!..
"uongo dhambi "