Wanaume tuacheni fiksi!...mimi pancho haya ndo maisha yangu...

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Kiukweli humu masela wana fiksi sana... yaani humu kila mdau ana gari, ana nyumba, ana kazi nzuri, mixer kidhungu anakijua.... Lakini ukweli wa maisha yao ni kituko tuu..
sasa Mimi pancho Boy sitaki fiksi...
kazi yangu nadili na uproducer, na pia ni dj wa club na event mbali mbali... me sio tajiri.. maskinii tuu.. naishi maghetoni..
wadau humu acheni fiksi!!..
"uongo dhambi "
 
Kujikubali hakuna haja ya kushusha wenzako chini au kuwanyooshea wengine vidole,jiamini...unaloona haliwezakani kuwa kweli kwa wenzako ni kawaida kwao.
Ila kama it makes you feel better,vizuri.
 
Kwa hiyo kuwa maskini ndo kuwa real.. Af wenye akili kama yako huwa hawana gari, nyumba, elimu ya maana au hata ghetto LA maana..

Pambana na hali tu ila usisahau kuplay song la card b I like it ...
 
Kwa hiyo kuwa maskini ndo kuwa real.. Af wenye akili kama yako huwa hawana gari, nyumba, elimu ya maana au hata ghetto LA maana..

Pambana na hali tu ila usisahau kuplay song la card b I like it ...
Hahaha miss kyenda! Yaani umeijua akili ya mtu kwa maandishi tu nyuma ya keyboard???.. na je wewe una gari??, nyumba??... najua utasema unavyo.. 😬😬😬..
 
Hahaha miss kyenda! Yaani umeijua akili ya mtu kwa maandishi tu nyuma ya keyboard???.. na je wewe una gari??, nyumba??... najua utasema unavyo.. [emoji51][emoji51][emoji51]..
Hahaaaa Nipo natoka kazini kwa daladala kuelekea mbagala na nimeshikilia bomba[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] ..wakutoa lift hawajaniona et
 
Kujikubali hakuna haja ya kushusha wenzako chini au kuwanyooshea wengine vidole,jiamini...unaloona haliwezakani kuwa kweli kwa wenzako ni kawaida kwao.
Ila kama it makes you feel better,vizuri.
Wewe unajiamini?
 
kwani nateseka mama?? sawa kabisa.. point tatu umechukua..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…