Wanaume tuacheni fiksi!...mimi pancho haya ndo maisha yangu...

Hivi hii "kila mtu" huwa ni irony au!!!
Maana mbona mie huwa naona wengi tu wanajitanabaisha na maisha yao ya kawaida tu!! Like kama mtu ana gari na nyumba asiseme kwakuwa kuna mtu mmoja hana gari atajisikia vibaya!!!
Ifikie hatua tuone kuwa na gari na nyumba ni mambo ya kawaida tu na ya msingi kwa maisha yetu.

Tusiokuwa nayo basi iwe ni changamoto kwetu kufikia huko maana hakuna anayependa maisha ya chini basi tu ndio hivyo tena. Acheni wenye magari na majumba yao wajimwage nasi tupambane tutafute yetu.
 
Kama ni kitu cha kawaida.. mbona kutwa kutangaza humu??..
 
Kwani kama mtu ana gari asiseme jamani!!! Mbona mtu akisema ana mpenzi hamshangai au kumkomalia?
papuchi na gari ni vitu viwili tofauti.. mtu hajaulizwa yeye kakazana.. "nina sijui BMW "??..
 
No car,no house,no job.
Mi nko na pum*u zangu tu nzito hizo kama kilo 3 hivi.
And am not bragging.
 
Pole
 


Unastahili kuitwa pancho boy, kumbe wewe ni producer wa nyimbo fake za fleva?
 
Mimi nina gari mbili, nina nyumba moja mbezi na kuna moja namalizia mwaka ujao mungu akijalia pale kibamba.

















Aliandika haya member mmoja wa jf dakika chache baada ya kumtumia mama yake ujumbe huu " mama, naomba unisaidie elfu nne, tangu jana sijala"
 
Kila mtu na life lake wengine tunadanganya toka utoton na mafanikio tunayaona

Uongo dili[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…