WANAUME TUJIFUNZE KWA SAMUEL ETOOUkifanikiwa usitafute penzi jipya mkumbuke uliyeanza nae

WANAUME TUJIFUNZE KWA SAMUEL ETOOUkifanikiwa usitafute penzi jipya mkumbuke uliyeanza nae

Nyanda Banka

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2023
Posts
304
Reaction score
1,054
Pichani ni Samuel Eto'o akiwa na mkewe unaambiwa kabla Eto'o hajawa star mke wake alikua dada wa salun huko Ufaransa na alikua akimpa pesa ya kujikimu mpenzi wake Eto'o wakati Eto'o akienda kwenye majaribio ya mpira kwenye vilabu mbalimbali vya soka

Eto'o anasema baada ya kupata timu na kuanza kupata mshahara mkubwa aliamua kumuoa mwanamke huyo aliyetoka nae mbali na hadi leo wapo pamoja kwenye ndoa zaidi ya miaka 20

Funzo: Ukifanikiwa usitafute penzi jipya heshimu aliyetoka mbali na ww na kukupa support
FB_IMG_17193287198837347.jpg
 
Ahahaha madogo msidanganywe huyo demu wake Etoo kibongo bongo kati ya kumi ni mmoja anayeweza kumsaidia mshikaji wake toka underground mpaka akakua akajipata !

Na wanaume huwa hatuwaachi kina dada wa hivi.
Mademu wa kibongo wako kimkakati mpaka aone material thing ndo zitamweka kidogo halafu ukishajipata ndo wanakuja na zile style za eti alikuvumilia wakati alikua anaoffer tu sex. ukijipata katafute type yako kama hakuwa na msaada wowote.
 
Dunia nzima yuko wanawake kama wawili

Kimsingi ni mama yako pekee atakayekuvumilia
 
Mbona kama picha za huyo mwanamke hata kama ni zamani na sasa haziwiani,achaneni na maneno story za fb,hakuna fact yoyote hapo jamaa kakaa ulaya miaka yote ashindwe kuwa na mweupe, mastaa weng wameoa whites,ingia WIKIPEDIA
 
Pichani ni Samuel Eto'o akiwa na mkewe unaambiwa kabla Eto'o hajawa star mke wake alikua dada wa salun huko Ufaransa na alikua akimpa pesa ya kujikimu mpenzi wake Eto'o wakati Eto'o akienda kwenye majaribio ya mpira kwenye vilabu mbalimbali vya soka

Eto'o anasema baada ya kupata timu na kuanza kupata mshahara mkubwa aliamua kumuoa mwanamke huyo aliyetoka nae mbali na hadi leo wapo pamoja kwenye ndoa zaidi ya miaka 20

Funzo: Ukifanikiwa usitafute penzi jipya heshimu aliyetoka mbali na ww na kukupa supportView attachment 3026506
Mbona wadada wawili tofauti kabisa hawa..?
 
Back
Top Bottom