Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa,bas hapo Sina neno kumbe mwataka wenyewe🤝Wengine tunapenda kuona mshepu na mitraakle ya wake zetu na ndio tulichowapendea hivyo sasa unataka avae ma bwanga ili tutamani mishepu na mitraako mingine huko nje.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Nimeku-pm kumbe umetia lock pm zakoNgoja nisome tena
Hata akipaa tu kamchepukoSawa mkuu,sema Kuna mdau hapo juu kasema mwanamke akiwa na pesa anafanya atakacho ndani na mwanaume huwez sema kitu
Baada tu ya Sensa! Baada ya kuwaambia Niko na watoto wanne tu😳 Uongo umeanza lini
Akizingua unamuwasha na ukuni mmoja wa nguvu kichwani au kisogoni ..Kisha tulia tuUnaweza sema ila uelewa hususan mwanamke akiwa na hela umwambii kitu aisee atakuona🐂🐄🐄
Hiii ni kwel umwambii kitu pesa ya mwanamke ni yake mwenyee 😂ila ya men ni ya wote wawiliSawa mkuu,sema Kuna mdau hapo juu kasema mwanamke akiwa na pesa anafanya atakacho ndani na mwanaume huwez sema kitu
Akizingua unamuwasha na ukuni mmoja wa nguvu kichwani au kisogoni ..Kisha tulia t
Hahaha nipo nimekaa pale🏖🏖 Fanya HVO segereaaa akuna wa2 mkuu😂😂😂Akizingua unamuwasha na ukuni mmoja wa nguvu kichwani au kisogoni ..Kisha tulia tu
Sku hz wanavaa vityt kabisaa na mtu anaswamba asubuh mchana kutwa .Nimeogopa wasijesema mwalimu acha ushamba na nguo zako za vitenge
Stage tuliyofikia Ni mby.Na watoto wa kupakaziwa waendelee,kuuana kuendelee
🤣🤣🤣🤣🤣🙌Navutiwaga sana na wanawake wanaoonyesha mali wanazomiliki,sipendi mwanamke ana kitu kizuri afu kutwa anakuwa anakificha,kama guu lipo napenda livaliwe vimini tulione,kama hips zipo piga ya kubana tuzione,tufurahie uumbaji japo kwa macho
Ila sasa sipendi mke wangu afanye yote hapo juu
Ila wanawake wasasa anaweza kukubalia ila siku akipata ujauzito anaanza kujiachia eti anataka hewa