Wanaume tuliooa ni vizuri tukawajua ma-Ex wa wenza wetu. Hawa watu wanatuchapia sana wake zetu

Ndoa ikianza kuingia kwenye migogoro tu hapo ndipi ma Ex wanakuja kuwa wafariji wakuu. Yaani kuwa macho sana ndoa yako inapokuwa migogoro na mabaharia wanaotea sana kipindi hiki.
Sio lazma migogoro
Wanaume wengi wanaoa wanawake ambao hawajawapenda bado
 
Kikubwa cheza michezo ya malaya na mkeo ili asije kukutana na kipya, kidogo inaweza kumfanya akamdharau Ex wake!
Tatizo watu wanapenda kumuona mke kama ua tuu mume hata kumbinua mkewe hawezi
Anaanza kumbuka ya ex wake
 
Reactions: BAK
Mke mwenyewe umemfosi ndo ukamuoa na bado hujitumi unategemea nini
Ana wake wa moyoni...alimuacha tu sbb ulitangaza nia mapema!
 
😂😂😂😂 hebu weka hizo sehemu uwasaidie. Jikoni, bafuni, dining table, ndani ya gari, juu ya gari 😂😂😂😂, mapango ya beach, baharini.......

Acha tu yani
Wababa wabinueni wake zenu😅😅
Na sio kila siku kitandani

Msije sema sijawaambia
 
boss kwa hiyo kuchapiwa na Ex ni siri ya ndani?

Kumbuka

Dhambi isiyosameheka kwa mwanaume ni mke kuchepuka
Vile nilvyokuwa kitombi ... Hiiiii na kwao wana kipato dingi yake amestaafu mkurugenzi shirika LA bima LA taifa... Una wako nna wangu tumefunga ndoa ... Tuzae wetu.... Mpaka sasa tuna wa3 .. Mmoja wake mmoja wangu .. Huyu sasa wa3 ndio ilikuwa kizungumkuti ... Nimepiga mzigo hiyo wiki ikatokea msiba kwao tukaenda .. Tumerudi Mara haoni haoni siku... Nkamwambia tu mama hata kama mna hela kwenu huyu si wangu... Ila kwa kuwa tumeona nna mtoto na wewe ulikuwa una mtoto ..Najua ratiba yako .... Aliliaaaaa yaani mpaka huruma .....mtoto namlea maana namuona ni Kama wa Dada zangu wefariki wameniachia watoto wao jumla wa3 ... Ndio maaana nasemaga ndoa ni taasisi ngumu Sana ... Sisi wanaume Tunawagonga wanawake wangapi!!! Wangezaa wote mkeo angewapokea!!
 
Mi mpaka kesho namchapa Ex wangu japo kaolewa na ana watoto wawili.

Na tunawasiliana kama kawa..mumewe akija ananiambia don't text again..na mm nakausha.


Ananipa changamoto za mumewe..tuna sort out na maisha yanaendelea.

Japo nataka niache maana si ka tabia ka zuri na kanaota mizizi daily.
 
hahaha unapiga mke wa mtu sio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…