Usalama barabarani
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 867
- 1,066
Anapigwa muda ambao hajiweziWanaangalia na mwanaume mwenyewe kuna wanaume hata ukimjibu mbovu anakuchapa, halafu wanaume wanaopigwa asilimia kubwa ni wale walevi.
NdiyoAnapigwa muda ambao hajiwezi
Nimejikuta nacheka tu jamaa ulivyohadithia hii story yako!Mimi mwezi wa 9 mwaka huu, tulikua tuna ugomvi na demu wangu (chanzo kidogo tu ila kika escalate quickly), ni mixer ya Mjita na Mjaruo, aisee, nikajitia najua kurusha ngumi kwamba nimechukia.
Yule demu ana nguvu aisee, alinipiga na kisu akanishikia, alinikaba nikawa sipumui, alinipiga mangumi ya kichwani nilipoteza network kama dakika 10 nimelala chini.
Mambo yalipokuja kusettle namuheshimu sana. Kumbe uwa anadeka ila ananiweza kunipa kipigo vizuri tu.
Yes, Yes. Hapo sawa sawa kabisaTulikua na ugomvi na wife alinipiga na chupa ya soda kichwani nikamchapa kofi 1 la kishkaji coz nlikua nimekosea mm,Wife si ndio akaenda jikoni kuchukua kisu! kichapo alichokula hakutoka nje wiki 2
Mpangaji mwenzangu anapigwa namkewe sna kias kwamba kila nikimuona najiskia kuchekatu.
Yaan kabisa anaambiwa "ntakufumuaa"
π π π πMimi mwezi wa 9 mwaka huu, tulikua tuna ugomvi na demu wangu (chanzo kidogo tu ila kika escalate quickly), ni mixer ya Mjita na Mjaruo, aisee, nikajitia najua kurusha ngumi kwamba nimechukia.
Yule demu ana nguvu aisee, alinipiga na kisu akanishikia, alinikaba nikawa sipumui, alinipiga mangumi ya kichwani nilipoteza network kama dakika 10 nimelala chini.
Mambo yalipokuja kusettle namuheshimu sana. Kumbe uwa anadeka ila ananiweza kunipa kipigo vizuri tu.
π π π π
Nimecheka sana, huo ujasiri wanatoa wapi.? Me napigaga tu tuvibao twa mahaba basii, nikizidiwa na khasira naishia ku-MC pilipili..!!
Nimejaribu kung'amua jinsia yako nimeshindwaKuna watu wana hasira. Kwanza nyumba mzima ilikua imejaa vioo. Maana alivunja glass zote, vyombo vyote, majagi, alinionea huruma TV tu ila vingine vya kupasuka vyote vilikua chini.
Yaani ningekua na CCTV mule ndani ingekua kichekesho kila nikiangalia. Alitoka nje kufuata kisu me nikajifungia ndani, mlango una makomeo matatu nikafunga mawili, aisee aliingia na mlango.
Nilitia hurum ila nikala kipigo bado.
Baadae wanaongea na maza wake maza anamwambia kakupiga demu anasema ndio kanipiga wakati mimi ndio nimepigwa vibaya.
Maza akasema muendee polis ana mjomba wake ni polisi wakasema wanisetie mpango nilale ata wiki moja ndani, dah aisee nilikua natia huruma.
Sema akipoa hasira utakaa ukamdhania watu wanasemaga namuonea sio muongeaji ila uyu jamaa anamjua mimi tu
Alimla scarlett?Kule kwenye uzi wa kula tunda kimasikhara huyu unayemsema upo ushuhuda wake baharia wa singida huko alituwakilisha vizur.
MENimejaribu kung'amua jinsia yako nimeshindwa
[emoji23][emoji23][emoji23]Segedansa itakuhusuMkasa kama huo haujawahi nikuta i hope siku hiyo ndo itakua mara yangu ya kwanza kuua bila kukusudia