Aisee! Udhaifu mkubwa mno.. kwamba nguvu hana hata diplomasia hawezi[emoji1][emoji1][emoji1]. Kamwe sitofikiria kumpiga mwanamke ila hata siku moja siwezi mfanya agundue hilo[emoji1][emoji1], anatakiwa aaminishwe kwamba akijichanganya atachakaa ili kuilinda mipaka.Aisee kuna hao Jirani zetu mke na mume , mke alikua mbabe anampiga mumewe hadi analia Kwa sauti "Mama Fulani utaniuaa" huku nje watu tunaskia kabisa ,tena Kwa sifa anampiga na anaanza kumvuta "mkuyenge" huku anatoka naye nje anamwambia ntaukata duh hadi huruma jamani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa wewe pombe imelegeza hadi nywele ni unakung'utwa tu.
Aah, jamaa alikua mpole sana sijui,maana ilikua inaonekana "finay sayer ni mke", sasa huyo mke kumfanya asigundue utafanyaje ?, utampa vitisho vingi ama?[emoji3][emoji3]Aisee! Udhaifu mkubwa mno.. kwamba nguvu hana hata diplomasia hawezi[emoji1][emoji1][emoji1]. Kamwe sitofikiria kumpiga mwanamke ila hata siku moja siwezi mfanya agundue hilo[emoji1][emoji1], anatakiwa aaminishwe kwamba akijichanganya atachakaa ili kuilinda mipaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu huamini pale anapokua hana sababu ya kutoamini[emoji28][emoji28].Aah, jamaa alikua mpole sana sijui,maana ilikua inaonekana "finay sayer ni mke", sasa huyo mke kumfanya asigundue utafanyaje ?, utampa vitisho vingi ama?[emoji3][emoji3]
Happy new year rafiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Utapata Disco!! 🤣 🤣Ndo niko darasa la ngumi najinoa.
Hhh yeahMimi mwezi wa 9 mwaka huu, tulikua tuna ugomvi na demu wangu (chanzo kidogo tu ila kika escalate quickly), ni mixer ya Mjita na Mjaruo, aisee, nikajitia najua kurusha ngumi kwamba nimechukia.
Yule demu ana nguvu aisee, alinipiga na kisu akanishikia, alinikaba nikawa sipumui, alinipiga mangumi ya kichwani nilipoteza network kama dakika 10 nimelala chini.
Mambo yalipokuja kusettle namuheshimu sana. Kumbe uwa anadeka ila ananiweza kunipa kipigo vizuri tu.
Kua uyaoneRespect women .....loves women kiukweli kumpiga mwanamke Ni udhaifu mkubwa ..real man awez kuwa dhaifu kiasi hiko
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana
Ushindwe!Utapata Disco!! [emoji1787] [emoji1787]
Sasa wewe pombe imelegeza hadi nywele ni unakung'utwa tu.
"kukung'utwa"
Mnakutana mkapigane au?Kuna wanawake wakorofi bhana. Tena ukorofi unawazidi pale wanapojua huyu hawezi kunipiga.
Na wanaume tunavyojua kutunza siri ukipigwa hupigi kelele majirani wasije wakaskia...unajikalia kimya yaishe kesho kupambazuke.
Nilishawahi kuwa na mwanamke nikawa nampuuza. Anapiga simu sipokei, ananiita sehemu namwambia nipe dakika tatu kisha sitokei. Sasa siku nikammiss nikamwita akaja siku hiyo akaja na pombe zake nadhani alinipania maana hanywagi...zilipokelea akaanza na tukofi twa mahaba nikajua anatania.
Eeeh bwana nikampuuzia akaja akanipa moja ilibaki kidogo nimuue ila hasira zikashuka fasta. Hakuacha akajua huyu hawezi kujibu. Na kiukweli siku hiyo sikujibu nikawa namzuia tu asinipige...ila alikuwa mkorofi...sijui kaacha tabia zake.
Wanaume tunachezea saana sema hatuyasemi nje.
Unge mbaka tu!! baka baka baka bakana abaka nage nyooka hivi huyo alikuwa natamani mshedede tena wa nguvu akojoe hasa kojoooooooooooooooooooSasa unapiga mtu ambaye unajua unauwezo wa kumpiga mkuu?
Halafu wanawake mkigombana hajishughulishi hata na wewe ukumpiga tu anaangukia vitu vya thamani....nikaona kuepusha gharama acha nimwache.
Sio uongo....Fanani alifeli hadhira nikalala.