Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Use brain Heriel, [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikupiga padogo..Alinifumania nikamletea ubabe, nikamfumua bomba moja ile kuinuka mi sijamuona kumbe kainuka na chuma.View attachment 1282178
Alinifumania nikamletea ubabe, nikamfumua bomba moja ile kuinuka mi sijamuona kumbe kainuka na chuma.View attachment 1282178
Na upande wa khanga ni dushelele.....Mi navyojua wanavosema mwanamke hapigwi, humaanisha kua akikuudhi kwa maneno yake au majibu yake. Na ndio maana wanasema mke hupigwa kwa upande wa kanga
Sidhani kama walimaanisha kua akikupiga we umuangalie tu,
Bado nipo nae chiefMkuu huyo Cynthia bado upo nae
Hahahahahaahahaaha kuna wengine wakiwaga na hasira huwa wanazimiaKuna kamoja kalishanidindiaga chumbani. Kakasimama juu yakitanda kakatuna sura ikabadilika urefu ukaongezeka kakaniambia ngoja kanioneshe kazi...... Wewe nikajisemea 'sumu haipimwi kwakuonja' nikaangalia mlango upo wapi nilipouona nilichomoka kama mshare japo kuwa kalinirukia lakini kakanikosa. Badae kurudi nakakuta kamezimia kwahasira
Mkuu umeoa kwani ? Ntaenjoy no kupigwa na husband yaani[emoji1]Nina weakness ya kupiga kiumbe cha kike hata n'gombe jike simpigi...namkinga asiniumize tu.
[emoji1] [emoji1] poleee jamani.Sitasahau siku nilipigwa na sufuria kichwani mpka nkaona giza ambalo sijawah kuliona
Nilishapoa mkuu kuna viumbe sio wa kuchezea kbsa ndo maana hatujuagi maagizo mengine mlioachiwa pale bustanin eden na bwana ibilisi[emoji1] [emoji1] poleee jamani.
Hahaaa, unahisi tulipewa maagizo mengine ambayo ni siri yetu?, hapana bana tulipewa tunda tuu [emoji1] , hivi unaanzaje kumpiga Mkaka uwiii asije kuniua bureeNilishapoa mkuu kuna viumbe sio wa kuchezea kbsa ndo maana hatujuagi maagizo mengine mlioachiwa pale bustanin eden na bwana ibilisi
Mkasa kama huo haujawahi nikuta i hope siku hiyo ndo itakua mara yangu ya kwanza kuua bila kukusudia
Ndio mkuu usiombeHahahahahaahahaaha kuna wengine wakiwaga na hasira huwa wanazimia