Wanaume tuliowahi kupigwa na wanawake tukutane hapa

Wanaume tuliowahi kupigwa na wanawake tukutane hapa

Mad Max, ][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Jamani mbavu zangu mimi
 
Daby,
Umeona aibu kukiri kwamba alikuvimbisha mashavu.

Pole sana mzee baba.
 
Dah....Mimi wangu alikuwa akinipiga naenda kulala....anaendelea hadi nasinzia kabisa [emoji41]
 
Mi navyojua wanavosema mwanamke hapigwi, humaanisha kua akikuudhi kwa maneno yake au majibu yake. Na ndio maana wanasema mke hupigwa kwa upande wa kanga

Sidhani kama walimaanisha kua akikupiga we umuangalie tu,
Na upande wa khanga ni dushelele.....
 
Uzi umeanzishwa ila wahusika hajatokea hata mmoja

Nikirudi nyuma miaka hiyo aseeeee

Kwa ufupi wanaume wengi wanakula vichapo sawasawa

Siku moja sijui ilikuwaje? Tumeanza ugomvi na mama watoto chilumbanu tena kitandani, nikasema leo mke wangu atanikoma, nikaandaa fimbo zangu za kutosha kwani niliamini hawezi himili ngumi.

Sijui nilikosea wapi kwenye kumtageti? Aroooooooooo breki ya kwanza nilijikuta uvunguni ile nashangaa nimefikaje nilichomolewa huko kama tambala,
Wakati nikistaajabu hayo yote nilijikuta nimo kwapani huku titi lake liko puani, ( embu pata picha kilichotokea hapo)

Nikaamua kuzimia sasa ili nisipige kelele maanake haya yoote yalitokea kwa kasi saaaana, nilianza kwa kuigiza ila sijui ikawa kweli? Nilikuja kutoka usingizini nakuta niko katikati ya maji ya baridi huku nimesubiliwa, ( Mungu wangu) ni sauti ndoogo iliyonitoka
Aseee kumbe nilisikika bwana nikapigwa kofi moja nikajikuta nikirudia tu hali yangu ya kuzimia

Siku hiyo nikawa nimeishia hivo, kila nikikumbuka nikawa nafadhaika moyoni

Sasa siku moja nikawa nimemfanyisha kazi ngumu saana mchana, na baadae usiku tukafanya mapenzi hapa alikuwa na udhaifu mkubwa (akisha fanya hulala saana)
Baada ya kuhakikisha kalala ikanibidi nijiridhishe, asee nikakuta kalala kweli

Nilichokifanya nilimfunga kwa kamba kwa msaada wa kitanda kama nguzo, nilipojiridhisha nikafata bakora na maji ya mtungini, wakati huo watoto wameenda likizo kwa mama yake kijiji jirani,...


Aseee nilijishindilia mboko usiku huo, nilipiga si kitoto, nikasema hapa sikai, nikasepa kwenda Tanga enzi hizo.

Nikiwa huko sikujua kilichoendelea mpaja nakamatwa na kuwekwa ndani sikujua ilikuwaje tenaaa.

Lakini Mungu saidia mpaka leo jasikia yuko hai huyo mama asee (bibi kwa sasa)
 
Kuna kamoja kalishanidindiaga chumbani. Kakasimama juu yakitanda kakatuna sura ikabadilika urefu ukaongezeka kakaniambia ngoja kanioneshe kazi...... Wewe nikajisemea 'sumu haipimwi kwakuonja' nikaangalia mlango upo wapi nilipouona nilichomoka kama mshare japo kuwa kalinirukia lakini kakanikosa. Badae kurudi nakakuta kamezimia kwahasira
Hahahahahaahahaaha kuna wengine wakiwaga na hasira huwa wanazimia
 
Duuuhhhh sijui ilikuaje, sijui nilikosea nn ??sikumbuki...

Sema ghafla akatoka mezan akashika mwiko , aiseee ile Kunipiga nao nikakinga mkono .


Nilimshika, nkamkabia ukutan, nkamtia makofi ....


Akaanza kuliaa ,eti nmruhusu aende kwao usiku huohuo ..


Nikakaa mlangoni, anajitahidi kunitoa wapi....

Nikaja nikamkumbatia, sikumuachia, akaanza lilia kifuani , nikaanza kumbembeleza hapo hapo, nikaanza kumbusu ,busu, ikafuata deep kiss , nyonya shingon,.....

Anyway ilishia kutafunana tu......akawa ameshasahau kilichotokea !!
 
Aisee kuna hao Jirani zetu mke na mume , mke alikua mbabe anampiga mumewe hadi analia Kwa sauti "Mama Fulani utaniuaa" huku nje watu tunaskia kabisa ,tena Kwa sifa anampiga na anaanza kumvuta "mkuyenge" huku anatoka naye nje anamwambia ntaukata duh hadi huruma jamani.
 
Nilishapoa mkuu kuna viumbe sio wa kuchezea kbsa ndo maana hatujuagi maagizo mengine mlioachiwa pale bustanin eden na bwana ibilisi
Hahaaa, unahisi tulipewa maagizo mengine ambayo ni siri yetu?, hapana bana tulipewa tunda tuu [emoji1] , hivi unaanzaje kumpiga Mkaka uwiii asije kuniua buree
 
Back
Top Bottom