Wanaume tuliowahi kupigwa na wanawake tukutane hapa

Wanaume tuliowahi kupigwa na wanawake tukutane hapa

Mimi mwezi wa 9 mwaka huu, tulikua tuna ugomvi na demu wangu (chanzo kidogo tu ila kika escalate quickly), ni mixer ya Mjita na Mjaruo, aisee, nikajitia najua kurusha ngumi kwamba nimechukia.

Yule demu ana nguvu aisee, alinipiga na kisu akanishikia, alinikaba nikawa sipumui, alinipiga mangumi ya kichwani nilipoteza network kama dakika 10 nimelala chini.

Mambo yalipokuja kusettle namuheshimu sana. Kumbe uwa anadeka ila ananiweza kunipa kipigo vizuri tu.
Hahaha Atoto nakusalimu
 
Mle wa pilipili ana enjoy sana, huyo jama inaonyesha AKIMWAGA TU ANAISHIA KULIA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]masaa kadhaa.
Umeonyesha udhaifu mkubwa sana.

Hivi hata mc pilipili anaweza kumrudishia mkewe akimnasa vibao kweli?
 
Daah kuna wanaume wazuri namna hiyo.
Sijui kupiga jinsia ya kike lakini kwa hali hiyo adithubutu milele
Aisee kuna hao Jirani zetu mke na mume , mke alikua mbabe anampiga mumewe hadi analia Kwa sauti "Mama Fulani utaniuaa" huku nje watu tunaskia kabisa ,tena Kwa sifa anampiga na anaanza kumvuta "mkuyenge" huku anatoka naye nje anamwambia ntaukata duh hadi huruma jamani.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]boya wewe nimecheka sana
Uzi umeanzishwa ila wahusika hajatokea hata mmoja

Nikirudi nyuma miaka hiyo aseeeee

Kwa ufupi wanaume wengi wanakula vichapo sawasawa

Siku moja sijui ilikuwaje? Tumeanza ugomvi na mama watoto chilumbanu tena kitandani, nikasema leo mke wangu atanikoma, nikaandaa fimbo zangu za kutosha kwani niliamini hawezi himili ngumi.

Sijui nilikosea wapi kwenye kumtageti? Aroooooooooo breki ya kwanza nilijikuta uvunguni ile nashangaa nimefikaje nilichomolewa huko kama tambala,
Wakati nikistaajabu hayo yote nilijikuta nimo kwapani huku titi lake liko puani, ( embu pata picha kilichotokea hapo)

Nikaamua kuzimia sasa ili nisipige kelele maanake haya yoote yalitokea kwa kasi saaaana, nilianza kwa kuigiza ila sijui ikawa kweli? Nilikuja kutoka usingizini nakuta niko katikati ya maji ya baridi huku nimesubiliwa, ( Mungu wangu) ni sauti ndoogo iliyonitoka
Aseee kumbe nilisikika bwana nikapigwa kofi moja nikajikuta nikirudia tu hali yangu ya kuzimia

Siku hiyo nikawa nimeishia hivo, kila nikikumbuka nikawa nafadhaika moyoni

Sasa siku moja nikawa nimemfanyisha kazi ngumu saana mchana, na baadae usiku tukafanya mapenzi hapa alikuwa na udhaifu mkubwa (akisha fanya hulala saana)
Baada ya kuhakikisha kalala ikanibidi nijiridhishe, asee nikakuta kalala kweli

Nilichokifanya nilimfunga kwa kamba kwa msaada wa kitanda kama nguzo, nilipojiridhisha nikafata bakora na maji ya mtungini, wakati huo watoto wameenda likizo kwa mama yake kijiji jirani,...


Aseee nilijishindilia mboko usiku huo, nilipiga si kitoto, nikasema hapa sikai, nikasepa kwenda Tanga enzi hizo.

Nikiwa huko sikujua kilichoendelea mpaja nakamatwa na kuwekwa ndani sikujua ilikuwaje tenaaa.

Lakini Mungu saidia mpaka leo jasikia yuko hai huyo mama asee (bibi kwa sasa)
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna kamoja kalishanidindiaga chumbani. Kakasimama juu yakitanda kakatuna sura ikabadilika urefu ukaongezeka kakaniambia ngoja kanioneshe kazi...... Wewe nikajisemea 'sumu haipimwi kwakuonja' nikaangalia mlango upo wapi nilipouona nilichomoka kama mshare japo kuwa kalinirukia lakini kakanikosa. Badae kurudi nakakuta kamezimia kwahasira
 
Mimi ukiniitia kikao umeluzi kila kitu na sikaagi kikao daima
Ha ha ha alijifanya mbabe baada ya kufuma texts, akaanza kuzirusha sina kawaida ya kupiga mwanamke nikawa ninamzuia tuu, cha ajabu kajikuta yeye ndio kaumia kavimba sura yote, jicho limevilia damu, akesepa kwao, wazazi wake wakaja juu kuwa nimemshushia kipigo cha mbwa koko mtoto wao, akasema mwenyewe sijampiga wakawa hawaelewi amevimbaje vimbaje..hadi leo haelewi na kwangu mimi siongei kesi wala siwekwi kikao, so sikuwahi kujielezea wala kulalamika kwa kilichotokea
 
Daah kuna wanaume wazuri namna hiyo.
Sijui kupiga jinsia ya kike lakini kwa hali hiyo adithubutu milele
Yaani alikua mpole sana, ikabidi majirani wanaume wajiorganize wakamchimba mkwara kwamba ipo siku watamfumua, maana anawadharirisha wanaume hasa hiyo kumvuta sehemu zake hadharani[emoji30] [emoji30]
 
Kuna wabawake wenye mapepo ya kutokua na haya.
Ndio maana kigezo namba moja kwangu cha kuwa na uhusiano na mwanamke ni AKILI.
mwenye akili atakusitiri.
Yaani alikua mpole sana, ikabidi majirani wanaume wajiorganize wakamchimba mkwara kwamba ipo siku watamfumua, maana anawadharirisha wanaume hasa hiyo kumvuta sehemu zake hadharani[emoji30] [emoji30]
 
Nina ulimi mtamu hatari, unaweza kunijia na kisu lakini nikifungua mdomo badala ya kunichoma utavua chupi mwenyewe na ukasahau kulikuwa na ugomvi[emoji23][emoji23]
Kugombana na mwanamke katika maisha halisi kwangu ni vigumu mno
Ninawajulia.
Labda nikiwa na stress zangu halafu nawe uniudhi kupitiliza, utajuta kunifahamu, vinginevyo kwangu hufanyi lolote...hii sio kiki ni halisi[emoji8]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] ,ila ukiniudhi sana aisee "nakufumua"
 
Nina ulimi mtamu hatari, unaweza kunijia na kisu lakini nikifungua mdomo badala ya kunichoma utavua chupi mwenyewe na ukasahau kulikuwa na ugomvi[emoji23][emoji23]
Kugombana na mwanamke katika maisha halisi kwangu ni vigumu mno
Ninawajulia.
Labda nikiwa na stress zangu halafu nawe uniudhi kupitiliza, utajuta kunifahamu, vinginevyo kwangu hufanyi lolote...hii sio kiki ni halisi[emoji8]
Hako kaulimi katamu[emoji3] [emoji3] promo hii ili ututeke eeh, kwahiyo ukiudhika sana ndyo unapiga?, nahitaji mume asiyepiga vipi wewe kama utafaa hivi au jimbo closed?
 
Daaah mimi sijawahi kupigwa ila siku nikipigwa nina ahidi KUCHUKUA LIKIZO ya mwezi mzima na kwenda kujifunza boxing.

Nahakikisha natwanga ngumi kama Mwakinyo au Matumla snake boy.

Then nikishajiona nimeiva narudi home kuanzisha ugomvi.

Lazima nishinde tuu sijazoea kushindea mimi.Siku hiyo atakula za uso nyingi sana.
 
Hujanisoma vizuri;
1. Kupiga meanamke ni udhaifu
2. Ulimi mtamu ni kipaji na sio promo[emoji28]
na sio kwa mapenzi pekee, huwa nazima moto/vita yoyote nifunuapo kinywa, hii ndiyo nguvu yangu pekee ya kiwango cha juu.
3. Kupigana ni ushamba wa hali juu kabisa ktk zama hizi.
4. Kuhusu kuudhika...unajua vyema kuwa watu wavumilivu na (wapole japo mimi sio mple)
Wakikasirika tafuta pa kujificha[emoji28]
Hako kaulimi katamu[emoji3] [emoji3] promo hii ili ututeke eeh, kwahiyo ukiudhika sana ndyo unapiga?, nahitaji mume asiyepiga vipi wewe kama utafaa hivi au jimbo closed?
 
Wale tuliowaachia alama tunacomment wapi
 
Inakuaje unaanza kupigana na mwanamke? Lazima utakua na mapungufu Flani.
Siwezi kupigana na mwanamke aise kama Nitakua na uhusiano na mwanamke asiyenifaa hata nikimrekebisha habadiliii nitaachana nae kwa kuwa nimeshindwa Kabisa kumvumilia lakini sio kuanza kupigana.
 
Back
Top Bottom