Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,510
- 6,877
Lunof beee.Kulya kwakuitanga beeee
Dadadeki; pongezi sana kwake huyo mama; halafu usikute na wewe ulikua unamzimia halafu unajiuliza namna ya kumtokea nahasa kama anatokea familia ya kushua ndio kabisa yaaniHii ni usuall things.....Mimi mke niliye nae kaniaproach na huu ni mwaka wa 7 ktk ndoa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]... nilikuwa namuogopa kinoma, japo nilikuwa namtamani kuliko nilivyomtamani mwanamke yeyote maishani!
Alikuwa rafiki ya sister na siku moja kaja kusuka kwa sister na akachelewa kwenda kwao mpaka giza likaingia ... si ikabidi sister aniombe nimsindikize sasaa! ... basi tukaondoka na tulipofika mbali kidogo na nyumbani, yeye akiwa mbele yangu, naona anainama na kuvuta chupi yake chini kisha akachuchumaa na kuanza kukojoa ... aisee nilikufa ganzi mwili mzima kwa msisimko wa kuona matako yake makubwa, erotic na laini ukichanganya na uturi wa mkojo wa msichana mwenye afya katika siku zake za hatari [emoji3059][emoji3059][emoji3059] ... nikiwa bado nimepigwa bumbuwazi akanishtua na kuniuliza "... mbona husemi?" ... MALIZIA! [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanawake walio ni tongoza wote wa hovyo na kumbuka nime maliza chuo sina issues nilikuwa na shinda sana maskani kama mwaka. Demu wa kwanza alikuwa baamedi huyu karibia kijiwe kizima walipiga tena mwana mmoja alikuwa anafuliwa mpaka nguo,alini tega tega nikawa na mzingua tuu.
Hiyo kubwa kuliko hili mama la kitanga, lilikuwa zuri bonge la shepu jeupe, alikuja kumtembelea mwanae kajifungua,ile nyumba aliyo fikia ndipo hapo hapo kuna kijiwe chetu, pembeni kuna duka, alikuwa akija dukani anavaa vitenge,akiniona lazima ajifunue funue, alimtuma huyo muuza duka kuniambia.
Kuna siku moja mchana nipo maskani mwenyewe, kwenye kibenchi tupo wawili, akajifanya kujifunua, mipaja hiyo papuchi imetuna ni kasema hapa nime patikana.
Na plan kujipigia week inayo fuatia weekend yake, ila jumanne ya week hiyo nilikuwa natoka kutizama UEFA mida saa 6 kasoro usiku, kuna jumba moja hivi halijaisha kuna mwanangu mmoja wa makamo anakuaga anakula bangi mpaka saa saba anaenda kulala, basi na pita pale na muona lile mama na mwanangu wana kula bange ni kashtuka ni kawasalimia na kuenda home.
Sasa kesho yake ni kakutana na yule jamaa akaniambia, tokea afike pale wanakula nae bangi kila siku na yy mwenyewe kishaligonga, akaniambia mme wake anaendesha malori ya mizigo. Yaani baada ya kupata file lake nyege zote zikaniisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtoto wa kiume kama mimi bandidu unajisifia kutongozwa....kutongozwa ni kwa mashoga sio mabandidu kama sisi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee ni wengi tu wazuri kwa wakawaida kuna ambao niliwagundua ila sikuwapa ushirikiano tukaishia kununiana yani nakasirikiwa pasipo sababu, wengine wivu tu mpaka wanaboa yani eti kila muda kuwasiliana tu dadeki, huyu mmoja ndo mzungu wa roho naweza mchunia mwezi mzima ila nikirudi tunaendelea tulipoishia , Ila cha kusikitisha nimetongozwa na mashoga wengi mno ila sijatafuna hata mmoja huu mtihani ambao shetani alikua na nguvu sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mamaaa sijawahi ona eti Mungu akupe connection ya kuzini.
Labda Mungu wa ukoo wenu
kabisa kiongozi wala si uwongo[emoji23][emoji23][emoji23] aisee, kama hayajamkuta mtu anaweza kuona kama mchezomchezo lakini katika uhalisia hayamambo yana kuweka njia panda sana unaweza ukawaza sana uchukue uamuzi gani, yani unaona kama umetegwa ivi amavipi, hatarisana.
Alitoaje paswedi zako hii chai mkuu ila umeibania sukariNa mimi nitoe testimony yangu…imeshawahi kutokea ila mara nyingi inakuwa indirect…ila sasa last weekend nikiwa kwa nite club kubwa kwa sasa dar…tumekaa kwenye meza wanaume watupu kwa mbele kulikuwa na meza ina wadada mixer wanaume…sisi tuliwakuta basi tulivyofika kuna mmoja wa wale wadada alikuwa ananicheki sana ila mimi sikujua mpaka mshkaji wangu aliponiambia basi bana nikawa na mimi namcheki kiaina nikajua kweli amewasha full na ilikuwa ni pisi ya moto sana…as time goes nikawa naenda washrooms si akanifata akanichana live amenielewa nilikuwa nimeshika simu akaichukua bila kuomba akasave namba baada ya hapo…ni babe za kutosha from morning to evening…ni pisi ya kishua haswaa…never spend my money on her
mkuu unamanisha DM pharmacy ya mwita ushirombo?? makuti ya siro??Baada ya kuachana na mzazi mwenzangu sikuwa na plani ya kuoa tena,
Nikiwa nimepanga kwenye nyumba flan mitaa ya hapa karibu na DM PHARMACY nilijitahd kuji keep busy na kazi kuliko insu za mapenzi ,
ratiba yangu ilikuwa ni saa 7 pm naenda joj narudi 3 am nalala gheto until 111 am nikiamka sikai home ni misele na BODA langu mwanzo mwenga!,
Basi bhana kumbe recent 3 or 4 days ago kuna familia zilihamia hapo nilipopanga kuna kibinti flan amaizing kinaitwa QUEEN kikawa kimenipenda ila kunipata hakawezi kutokana na ratiba yangu niko busy muda wote,
Visa vikaanza sku moja nikiwa nimelala saa 3 asubuh QUEEN akamtuma mtoto wa dada ake aje kuniambia mamdogo anahtaji usafiri kwa vili nilikuwa nimechoka nikamjibu nenda kamwambie pikipiki mbovu (NILIMDANGANYA) basi siku ikapita another day akaja yeye mwenyewe akagonga mlango nikafungua akasema anahtaji usafiri nimpelekeke maeneo ya makuti , japo kivivu nikafanya kama alivyotaka ,
INAENDELEA .....
Hii ya karibu na hospitali ya wilaya mkuu iliyopo mkabala na soko.mkuu unamanisha DM pharmacy ya mwita ushirombo?? makuti ya siro??
ndio naifahamu vizuri kabisaHii ya karibu na hospitali ya wilaya mkuu iliyopo mkabala na soko.
Kwahiyo wewe kutongozwa unapanga? Huna tofauti na anayejisifia kutoibiwa na kuwaona wanaoibiwa wajingaMtoto wa kiume kama mimi bandidu unajisifia kutongozwa....kutongozwa ni kwa mashoga sio mabandidu kama sisi
Hii movie nishaiona,Mimi nimeshachomoa kwa wawili. Halafu wote kutoka Mkoa ule maarufu wa waja leo kuondoka majaliwa....
Wa kwanza kuchomoa ilikuwa rahisi ila huyu wa pili ilikuwa balaa. Mtoto shombe shombe. Ilibidi niombe msaada wa maombi kutoka kwa baba mchungaji........... Sijawahi kukutana na mwanamke single mother king'ang'anizi kama yule.. Namwambia mi mlokole tafadhali sana sitaki kutenda dhambi... Ananiambia utatubu tu usijali. Mbona tunawabananisha hadi watumishi wa Mungu, wewe muumini tu wa kawaida unakuwa mwoga hivyo!
Mwanamke akianza kulia kuomba akubaliwe ombi lake ni balaa. Hadi kutishia kunywa sumu. Sitaki kukumbuka kabisa ule mkasa...... jinsi nilivyonusurika Mungu tu anajua.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mtumishi ungekua karibu unge wambwa makofi na fimbo nyingi, usha haribu uzi