Wanaume tuliowahi kutongozwa tujuane

Wanaume tuliowahi kutongozwa tujuane

Pisi kali anakutega ushoboke akupasue. Mademu wabovu ndio wanajitongozeshaga hao!
Kizuri cha jiuza kibaya cha jitangaza huu msemo una apply hapa.

Hapa nilipo nimetongwaza na mtoto mkali wa kichagga simu zake anapiga kila saa, uzuri niko mbali na mke.
yaani nimekuja moshi nimekutana naye, kachukua simu kaweka namba.

Daaah ila simtaki mazee, toto zuri nyeupe daah macho sasa, demu ana wivu ataharibu mahusiano yangu na mke wangu ni mjamzito na mke wangu naye ana wivu kunywa sumu dakika 0 tu.
 
Kizuri cha jiuza kibaya cha jitangaza huu msemo una apply hapa.

Hapa nilipo nimetongwaza na mtoto mkali wa kichagga simu zake anapiga kila saa, uzuri niko mbali na mke.
yaani nimekuja moshi nimekutana naye, kachukua simu kaweka namba.

Daaah ila simtaki mazee, toto zuri nyeupe daah macho sasa, demu ana wivu ataharibu mahusiano yangu na mke wangu ni mjamzito na mke wangu naye ana wivu kunywa sumu dakika 0 tu.
Hahahahahaha ishi nae tu
 
Pole na hongera sana na kazi za ujenzi
Wa TAIFA letu

Rejea mada apo juu:

#Ilikuwa mwanzoni mwa mwezi huu wa kumi na moja tarehe mbili, siku hiyo mwanangu alistahili kwenda klinick#
Usku wa tarehe moja mm na mama ake tulitofautiana kidogo ivo siku hiyo mke wangu akawa amegoma kumpeleka mtoto clinic,,

Basi nikasema isiwe taabu nikavaa zangu shati na suruari na koti [emoji1787][emoji1787] badae nikapiga neck tie, nikapewa vyeti na nguo ya kubobea clinic,,

Mzee baba nikawasha pikipiki na mwanangu mgongoni wa miaka miwili

Bahati nzuri niliwahi kufka zahanati buduma zilikuwa bado hazijaanza kutolewa maana ilikuwa bado saa moja Kama na dk ishirini ivi

Nikakaa zangu kwenye benchi uku nikiwa nimembeba mwanangu kifuani,gafla akapita dada mmoja (nurse)

Nurse: Kaka vp
Mimi: safi za asubuhi
Nurse: nzuri,karb
Mimi: asantee sana
Nurse: vp mtoto wetu anaumwa
Mm: hamna nimemleta clinic
Nurse:haaaaaaaàa [emoji1787][emoji1787][emoji1787] akachekaa sanaa kwa sauti [emoji1787][emoji1787] Kisha akasema
"Nenda upande wa kule ndo clinic wanakaa"

Mimi: asantee [emoji1319][emoji1319] sikujua dada angu,
Wakati nataka kusimama akaniulza samahani Simu yako ina salio nimpigie dada wangu wa kazi nimweleze kitu nimesahau?

Nikamwambia hamna sina salio,,nikaulza mtandao gani anatumia akanambia halotel
Nikasema chukua vocha hii ujiunge mpigie

Nurse: asantee sana Kaka angu
Mimi: usjal sawaa
Nurse:niachie namba ako basi
Mm:0784034,,,,,6
Nurse: asantee, ngoja niingie mzigoni apa badae
Mimi😛owa kazi njema
Nurse: malezi mema pia
Mimi: asantee [emoji1319][emoji1319]

Basi wajomba ile nataka kusepa zangu home baada ya kupima mwanangu,,simu inaita oohoo kuangalia namba ngeni
Kumbe imetuma na meseji sikuiskia

Ndugu zangu wanawake wanajua kupiga mistari,,sikutarajia maneno aliyokuwa ANAONGEA yule nurse na kuandka

Ninachokumbuka nikuombwa nimpeleke mtoto nyumban alafu nirudi uku nikipewa elfu tano ya mafuta kupitia Airtel money

Sikuwa na ujanja wa kuulza kuna shida gani,japo nilijibu maswali yake kama mwanaume,,na yeye akiwa Kama mwanamke

Saa kumi na moja simu inaita,,,napokea nalaumiwa kwa nn sijarudi? Nikamjbu nilikuwa na kazi nyingi ila Sasa hivi niko undo

Akanitaka niende sehem ambayo naijua vizuri ,,ni mtaa fulani karbu na mtaa jirani
Nikawasha pikipiki adi pale namkuta amekaa peke ake,akiwa ameshavua nguo za kazi

Akanitaka tusogee adi nyumban kwake,nikambeba adi kwake daaah
Saa mbili kasoro usku ndo najiandaa kurudi nyumban haaaah,,wajomba sikutumia kinywaji chochote tofauti na nanasi iliyotengenezwa nikiwepo palepale,,

Nilitoa sharti la kupima afya zetu nurse alikubali lakini ki ukweli alifunguka kuhusu kunipenda na kuhitaji tuwe pamoja

Adi leo naandka huu uzi wajomba mzigo nakula Kama kawaida [emoji851] kwani nurse anajielewa isitoshe hela ya kusuka anayo ,,hela ya mboga ipo na uwezo anao,

Japo naona anataka isiwe siri [emoji125][emoji125][emoji124] [emoji125] jambo ambalo siwez muda wowote naweza kimbia

Rejea uzi wetu pendwa wa KULA TUNDA KIMASIHARA

LETENI VISA VYENU WANAUME MLIO WAHI KUTONGOZWA
NB:AFYA ZETU NI IMARA NDO MAANA NILIKUBALI KULA MZIGO ADI SASA [emoji1319][emoji1319][emoji1319]
Mi uwa nakutana na visa vya kuitwa na mademu njiani , kuna siku natembea zangu na shangaa msichana mkubwa tu yupo na mdogo wake wa kike wakaniita we kaka, nikageuka yule mdogo akasema dada anasema anakupenda na wakawa wanafurahi sana uku wanaondoka, na kuna nyingine napita zangu mtaa demu anaanza kuniita kupitia dirishani kwao anapiga zile pssss pssss😀😀nilijisikia vibaya kinoma, achana na OLEVEL aisee nilikuwa na mazali ya kutongozwa😀😀
 
Nakumbuka kitambo kidogo Kama 2017 hivi kwenye pilika pilika zangu za Kila siku huwa Kuna huyo dada Kila siku asubuhi lazima tuonane barabarani , miezi inazidi kukatika tunaonana Kila siku asubuhi akuna story wala Nini. Siku moja nimekaa zangu kwenye bench nafatilia vitambulisho vya NIDA posta ghafla nikashangaa nashtuliwa na mzee mmoja nilikaa nae kwenye foleni kijana kijana unaitwa chap !! Nikageuza macho nikamwona mrembo wa barabarani nikaacha na foleni yenyewe akachukua documents zangu chap nikapiga picha na akaniambia nimsubilie kwenye ngazi .
Nikasubiri Sana mpaka nikataka kuondoka zangu ile nakaribia kutoka namuona anatembea faster ananijia hata hakupoteza muda nikapewa hagi matata Sana na ufupi wangu kwakweli siku enjoy Sana like hug maana bibie alikuwa mrefu Sana kunizidi.
Akaniambia Leo ndio Leo lazima twende nyumbani kwangu , nilicheka Sana nikamwambia huogopi wanaume wafupi wewe, vicheko vilikua vingi lakini nikajikuta nipo kwake , aliniuliza vitu vingi about my past na Kila kitu kwakweli siku mficha kitu lastly akaniambia yupo tayari kunifanya mpenzi wake pekee mpaka atakapo jitokeza mtu wa kumuoa maana aliniambia sad story Sana pia about her life kwakweli nilipewa muda nijifikilie then nimpe jibu.
Kwakweli nilishindwa nitoe jibu gani lakini bibie akaniambia hata ukikataa nimeamua kukupenda nakiri waziwazi kwenye maisha yangu huyu dada alinipenda ule upendo wengi wao wanausikia tu kwa majirani jamani nilipendwa .
Mpaka Kila nikijitazama nilivyo na mrembo alivyo machozi yananilenga lenga
Kutongozwa kupo na huwa mara nyingi sio kwa bahati mbaya.
 
Sisi wanaume makauzu sidhani kama kuna mwanamke wa kujitokeza kututongoza [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kutongozwa raha Nyie hata ukisema hela ya guest huna atalipa yeye [emoji853][emoji853]
 
Back
Top Bottom