Wanaume tuliowahi kutongozwa tujuane

Ishantokea incidence kama hii kaka! Nlikuwa club pisi ikamtuma rafk ake kwamba kuna mdada anakuita pale smoking room! Nikaenda pisi ikachukua no zangu fasta! Aisee alikuwa mtoto wa kishua af mkali kinoma! Ila pisi ikikuelewa mapenzi yanakuwa marahisi sana aisee!!!
 
Duh 2014 kutoka hapo Tazara hadi Ngozi boda elf 5,000/- poa mtaalam
 
Umezunguka wee ila lengo lako utaje mashoga, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila watu mna kazi, yaan mashoga wanavowaumiza vichwa, akat wao wako buzz na hawajari wala nn lol.

Poleeeeeni sanaaa.
 
Umezunguka wee ila lengo lako utaje mashoga, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila watu mna kazi, yaan mashoga wanavowaumiza vichwa, akat wao wako buzz na hawajari wala nn lol.

Poleeeeeni sanaaa.

Inabidi wakutunuku cheti cha kuwatetea na kuwawakilisha hapa jf
Manake kila wakitajwa mapunga lazima utokee kama treni ya SGR kutetea
 
Umezunguka wee ila lengo lako utaje mashoga, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila watu mna kazi, yaan mashoga wanavowaumiza vichwa, akat wao wako buzz na hawajari wala nn lol.

Poleeeeeni sanaaa.
Mbona una watetea sana

Kama wana mambo ya kiwaki ndio wasiambiwe [emoji3]
 
Mwanaume unajisifia kutongozwa ...angalia usije ombwa ndogo..........
 
Tatizo la mwanamke kutongoza mwanamme, mwanamme akikulala akakuacha, utamlaumu? Wanaumme wachache sana watasema no. Nadhani hata wanawake wanaotongoza, kuna aina ya mahusiano wanataka( sexual relationship) na sio mahusiano ya ki mapenzi
 
Umefanana na baba au mama?? Body je ikoje?? Kichwani nako unatema points au ndio ilimradi sauti unayo maneno yatakuja tu yenyewe???
Hizo ndo pointi 3 za muhimu mwanamke anaangalia
 
Mimi ilinitokea nafanya kazi kwwnye shirika moja la UN,Nilitembelea shule moja katika kazi zetu nilipendwa na mdada anaitwa janelulu na lucia ni walimu walikufa wakaoza mpaka niliwaonea huruma
 
Mimi binafsi nimepitia mara kadhaa ila nitasimulia hiki hapa.
Kuna mwanamke ananielewaga tokea niko form one aliniambia hayo licha ya yeye kuhama akiwa form one. Hayo aliniambia baada ya kunitafuta Facebook baada ya miaka 8 na akanambia ya kuwa alikuwa ananicheki mida yote pale school ila akawa hana jinsi.

Aliniambia ananipenda sana na bado ni bikra kabisa. Dah me ndio hata sim feel kbsa. Na me niko namuelewa na niko nab mwngne. Dah nikawa nampotezea mpk leo. Ila nakaonea huruma ila najua nitakatesa.
Ubaya ni kanatabia ya kuzila zila na hatujaonana tangu form one.

Jioni hii kananitafuta wakati me sahv ndio nimeingia mtaani ndio nataka weka life stable ili awe huru na me ahh.

Kasumbufu kila muda kuniambia kananipenda. Mh.

***************
ukauzu wangu ulifanya wakajilengesha sana nikiwa o level.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…