Wanaume tumeruhusu wanawake wahodhi nguvu za kiroho (uchawi) then there is no hope for the future

Ujumbe mzuri
 
UFUPISHO: Mleta mada anashauri wanaume tuwe wachawi kuwazidi wanawake. Karibuni tena!
Ni Kama hujamuelewa anasema unapoamua au kujiandaa kuoa fanya manyanga hayo kabisa hiyo itasaidia hata wanawake wenyewe wasiwe na akili hiyo ya kwenda vilingeni kwa sababu walisha wahiwa mapema
 
Mwana,umemwaga madini Sana aisee! Lakini wale wanaojifanya wazungu weusi wa haki sawa,hawawezi kukuelewA.
 
Wanawake wengi waliotulia katika ndoa amini usiamini wanathibitiwa kilingeni. Wanaume wanaodharau vilinge wanaendeshwa kama gari.

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Mi nimesoma yote, sema mkuu umetuchanganya kidogo.. hapo hapo tusali, at the same time tufuate mila zetu na uchawi kidogo..
Anyway, changamoto itakuja mkeo akipata mganga mwenye nguvu zaidi ya wakwako sasa[emoji23]
 
Kabla ya kuishi na mwanamke zingatia kwamba mwanamke ni binadamu wa kwanza kuonana na shetani ana kwa ana. Adam ni wa kwanza kuumbwa, ni kwa nini asionane na shetani? Kuna siri nyingi alizoambiwa na shetani sisi wanaume hatujui. Mama zetu tunawaheshimu ila mna siri nyingi

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Sasa Akishaanza yeye kuloga .. wewe hata iyo akili utaipatajr tena maana anakufunga hata hujitambui tena.. labda useme kabla ya kuoa ukaloge haraka hahahahahaah
 
Ngoja yakukute
 
Utafiti usio rasmi unaonesha kuwa witch tourism upande wa jinsia; wanawake wanaongoza na kama tunavyojua wanawake wanaijua sana pesa hivyo wengi utoa utamu tu kwa waganga ambao wengi ni wanaume hivyo vilingeni pesa imekauka hivyo WANAUME LAZIMA WASHAWISHIWE kwa namna yeyote ile wajiunge na uchawi kwa wingi mapato yaongezeke mtueleweni huu ni mkakati mahususi sasa wakubusti utalii wa ndani kwanini tuzidiwe na Nigeria huku sisi tuna magambushi na masumba-kabohydreti mengi kuliko wao.

NB: Usimwamini mchawi hata akiongea ukweli, Ni kosa kutumia kilinge kama njia yakututapeli.
 
Kwa hiyo nguvu za kiroho kwako ni UGANGA na UCHAWI. Tusiandikie mate,hebu nikusanyie hao wanawake popote wanapopatikana wanifanyie huo UGANGA na UCHAWI mimi waone kitakachotokea.
 
Zama hizi bado umekomalia mambo ya kurogana?

Faida kuu ili uweze kuoa wake wanne heheh!

Tabia za kike hizo dume kupasua nazi njiapanda!
Ziwe za kike au vyovyote, nazi napasua na huna cha kufanya![emoji23][emoji23][emoji23] hizo hizo tabia za kike ndio nazifanya unasemaje sasa?

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…