Wanaume tumeruhusu wanawake wahodhi nguvu za kiroho (uchawi) then there is no hope for the future

Wanaume tumeruhusu wanawake wahodhi nguvu za kiroho (uchawi) then there is no hope for the future

Unatakiwa kuwa na nguvu kubwa za kiroho kuliko mke wako vinginevyo atakutawala na mwisho wako hautokuwa mzuri.

Ye akiloga Pangani we nenda kaloge kasulu.

Ye akiloga Lindi we nenda kaloge Rufiji.

Ye akichinja Mbuzi we chinja n'gombe.

Ukishindwa kabisa, fuata ushauri WA Mungu kwenye kitabu cha KUTOKA 22:18.

Vinginevyo, SHAURI YAKO.
Natafuta mganga mzuri kuna mkaka nataka nimuhodhi
 
Nilikuwa nadhani ukoloni ni kitu kibaya na wakoloni ni watu wabaya, ila kwa upumbavu huu ulioandikwa hapa na maoni ya wachangiaji, colonialism is the best thing ever happened to Africa, pengine wasingepaswa kuondoka
 
Nilikuwa nadhani ukoloni ni kitu kibaya na wakoloni ni watu wabaya, ila kwa upumbavu huu ulioandikwa hapa na maoni ya wachangiaji, colonialism is the best thing ever happened to Africa, pengine wasingepaswa kuondoka
Ur still a learner
 
Hii inaitwa muwahi kabla hajakuwahi..!

Unajua hii topic inaweza isiwe kwa uchawi tu.

Chukulia hata katika maisha ya utafutaji, siku hizi utakuta tunasema natafuta mwanamke anayefanya kazi ili tusaidiane majukumu.

Sasa hapo ni kwamba unampa majukumu ambayo yalitakiwa kuwa ya mwanaume, yeye alitakiwa kuzaa na kutunza familia.

So, kama analeta sh 1,000 na wewe unaleta sh 1,000 mna sh 2,000; mkitaka kuitumia hiyo hela ni lazima kikao cha bajeti kikae.

Na kama sh 2,000 yote umeileta wewe mwanaume, decision making yote ni ya kwako, unabaki unatoa taarifa kama kuomba ushauri tu ila maamuzi unabaki nayo yote
 
Unajua hii topic inaweza isiwe kwa uchawi tu.

Chukulia hata katika maisha ya utafutaji, siku hizi utakuta tunasema natafuta mwanamke anayefanya kazi ili tusaidiane majukumu.

Sasa hapo ni kwamba unampa majukumu ambayo yalitakiwa kuwa ya mwanaume, yeye alitakiwa kuzaa na kutunza familia.

So, kama analeta sh 1,000 na wewe unaleta sh 1,000 mna sh 2,000; mkitaka kuitumia hiyo hela ni lazima kikao cha bajeti kikae.

Na kama sh 2,000 yote umeileta wewe mwanaume, decision making yote ni ya kwako, unabaki unatoa taarifa kama kuomba ushauri tu ila maamuzi unabaki nayo yote
nilielewa hii mzee mwenzangu hujawahi kuniangusha naona watu wamegusia kwa likud uchawi tu lakini mwenzao anamaanisha pakubwa mnoo..

Mwanamke ni kuzaa watoto na malezi baba kutafuta mama na watoto wale,wavae full stop..

Hii haki sawa ni ujinga. Naunga hoja yako mzee mkubwa
 
nilielewa hii mzee mwenzangu hujawahi kuniangusha naona watu wamegusia kwa likud uchawi tu lakini mwenzao anamaanisha pakubwa mnoo..

Mwanamke ni kuzaa watoto na malezi baba kutafuta mama na watoto wale,wavae full stop..

Hii haki sawa ni ujinga. Naunga hoja yako mzee mkubwa

Pamoja sana, ligi hakuna, kwa hiyo JF ndo imebaki pa kupotezea weekend.
 
yaani mkuu inawezekana ligi tusichukue ikifutwa ama kusimamishwa?

Sielewi!

Hapana, ligi tutachukua, hakuna ligi nyingine kuanza bila hii kuisha

Wamesema inaweza kuanza 30 April, kama situation itakuwa imetulia.

Ila ligi itaisha na tutachukua ubingwa
 
Hii topic kuna siku niliwahi kujadili kitu sijui kama ni humu, kwamba wanaume tumeuza share ya umiliki wa nyumba.

We are no longer heads of houses kwa sababu majukumu yetu baadhi yanafanywa na wanawake.
Nimewahi kushuhudia mwanamke akigombana na Mme wake kwenye simu akihapa kwa miungu yake sijui mashetani yake eti afukuzwe kazi ndo atatia adabu na kumuheshimu na kwamba hiyo kazi ndo inamfanya nyanyase! Na kweli mwanaume alifukuzwa kazi alikuwa anafanyakazi mkoa fulani anatuma hela za matumizi ya familia na kusonesha watoto na mambo hapo nyumbani yalikuwa yanaenda! Mwanaume kuona hivyo kajikusanya kaenda kanununua kiwanja na kujenga nyumbani yake na kuchukua watoto na kuachana na huyo mwanamke kuhepusha hasira hasara! Mpaka sasa mwanaume hana kazi lakini yuko kwake na watoto na Hugo mwanamke kaishatimuliwa! Matatizo mengi ya mabalaa na mikosi na hali ngumu ya msisha usikute ni wanawake na uchawi wao wa kutaka kumkalia kichwani mwanamme
 
Nguvu za kiroho sio uchawi tu! Ukijifunza vizuri Biblia imempa mwanamme mamlaka ya kumtawala na kumtiisha mwanamke! Wanaume tumeshindwa kutumia hii mamlaka. Shetani anajua katika maandiko matakatifu ya Mungu hayajampa mamlaka mwanamke kumtawala mwanaume maana mwanaume ndo kapewa nafasi ya kuwa kichwa! Shetani huku akijua hivyo kawachota akili na kuwavuta wanawake waende kwake kwa nguvu za kichawi wawaloge mwanaume! Jamii nyingi na familia nyingi usipochunguza ukaoa mwanamke utajikuta mwanaume unakuwa zezeta maana ukoo huo uliingia maagano na mashetani kuwamiliki wanaume. Mambo haya yako wazi katika mitaa tunayoidhi ukifuatilia!
 
Kuna ukweli hapa, hili nimeliona hata kwa mzee sikuwa na imani sana na mkewe asilimia kubwa ya mazungumzo yake kwenye simu nii ushirikina, nakumbuka nilishawahi sikia akimuelekeza binamu yangu kushusu limbwata yaaani kwa lillee darsa alilokuwa anatoa. Nikajua kabisa hapaa mzeee kaishapigwa kombola,

Mzee hasemi kitu kwa mkewe, yaaani mwanamke anajiamini sio mchezo inafikapahala mkewe kama alikuwa safari akirudi mzee anabadilika yaaani hayupo normal. Kiufup mzee alipigwa limbwata, nafikiri hata na miee nilirogwa maaana tulikuwa tunaendeshwa sanaa.

Kiujumla namshukuru mungu nilivyogundua na ibada zikaanzia hapohapo nikijua ya kwamba sipo salama, na mkewe alijua nimejua, mpk sasa namshukuru mungu nilipofika.
 
Back
Top Bottom