Wanaume tumeruhusu wanawake wahodhi nguvu za kiroho (uchawi) then there is no hope for the future

Wanaume tumeruhusu wanawake wahodhi nguvu za kiroho (uchawi) then there is no hope for the future

Unatakiwa kuwa na nguvu kubwa za kiroho kuliko mke wako vinginevyo atakutawala na mwisho wako hautokuwa mzuri.

Ye akiloga Pangani we nenda kaloge kasulu.

Ye akiloga Lindi we nenda kaloge Rufiji.

Ye akichinja Mbuzi we chinja n'gombe.

Ukishindwa kabisa, fuata ushauri WA Mungu kwenye kitabu cha KUTOKA 22:18.

Vinginevyo, SHAURI YAKO.

Na hakuna nguvu kubwa ya kiroho kama ile inayotoka kwa Mungu. Na hii mtu yoyote anaweza kuwa nayo.
 
Unatakiwa kuwa na nguvu kubwa za kiroho kuliko mke wako vinginevyo atakutawala na mwisho wako hautokuwa mzuri.

Ye akiloga Pangani we nenda kaloge kasulu.

Ye akiloga Lindi we nenda kaloge Rufiji.

Ye akichinja Mbuzi we chinja n'gombe.

Ukishindwa kabisa, fuata ushauri WA Mungu kwenye kitabu cha KUTOKA 22:18.

Vinginevyo, SHAURI YAKO.
Huu ni uchawi na watu wanaona uchawi sio tatizo mbele za Mungu. Ukihalalisha uchawi dunia hii itakuwa jehanam. Tabia za kupenda kuwakandamiza wanawake zinafanywa na jamii zilizo primitive na zinabarikiwa na dini za kishetani zenye kuhalalisha uchawi na matumizi ya majini. Watu wanaotoka kwenye dini hizi ndio wanaoona fahari kuzungumza mambo ya kihafidhina kama haya.
 
Mwanamke chake ni kipigo, haya mambo ya beijing sijui haki za wanawake na watoto yamekuja kuharibu kila kitu. Nina dingi mdogo alikuwa akiingia home kuanzia mke hadi watoto ni kimya hakuna hata kukohoa. Watoto ambao walikuwa wanalia wote watakaa kimya na kufuta machozi fasta na madaftari yatatafutwa waanze kujisomea. Unakuta mke anawajua hadi mademu zake lakini hathubutu kufungua hata mdomo...
 
Wanawake wanapishana kwa waganga kuenda kuloga! Wanawake hata vibinti vidogo vinavyodanga vina mairizi kuwaloga wanaume! Ukiuliza waganga watakwambia ukweli kati ya wanaume na wanawake wateja wao wengi ni akina nani watakwambia WANAWAKE! Na wanawake wakienda kwa waganga wanaenda kwa jambo moja tu KULOGA WANAUME na wala si biashara wala uchumi. Wengine wanaloga waume zao wafukuzwe kazi na wafilisike ili akae nyumbani eti ndo atatulia mwisho wa siku familia inakuwa fukara wa kutupwa! Wanaume wengi wanaojikuta wamefukuzwa kazi na kufirisika utakuta alilogwa na mkewe ili sijui hasipeleke hela kwa michepuko na nyumba ndogo bila kujua mathara hayo yataikumba familia yake pia! Haya yoote nimeyaona na nimeyaishi!
 
Mwanamke chake ni kipigo, haya mambo ya beijing sijui haki za wanawake na watoto yamekuja kuharibu kila kitu. Nina dingi mdogo alikuwa akiingia home kuanzia mke hadi watoto ni kimya hakuna hata kukohoa. Watoto ambao walikuwa wanalia wote watakaa kimya na kufuta machozi fasta na madaftari yatatafutwa waanze kujisomea. Unakuta mke anawajua hadi mademu zake lakini hathubutu kufungua hata mdomo...
Inasikitisha!
Huko majumbani kumbe mnaishi na punda na ng'ombe
 
Mwanamke chake ni kipigo, haya mambo ya beijing sijui haki za wanawake na watoto yamekuja kuharibu kila kitu. Nina dingi mdogo alikuwa akiingia home kuanzia mke hadi watoto ni kimya hakuna hata kukohoa. Watoto ambao walikuwa wanalia wote watakaa kimya na kufuta machozi fasta na madaftari yatatafutwa waanze kujisomea. Unakuta mke anawajua hadi mademu zake lakini hathubutu kufungua hata mdomo...
Duh!..hilo ni gereza sio familia.
 
Inasikitisha lakini ndio uhalisia wa maisha ya Kitanzania yalivo, asilimia 90 ya wanawake ni washirikina, ila suluhisho ulilolitoa sijawafikiana nalo.
Ushirikina ndio moja ya sababu kuu ya maisha kuwa hayaeleweki hapa nchini
 
Mwanamke chake ni kipigo, haya mambo ya beijing sijui haki za wanawake na watoto yamekuja kuharibu kila kitu. Nina dingi mdogo alikuwa akiingia home kuanzia mke hadi watoto ni kimya hakuna hata kukohoa. Watoto ambao walikuwa wanalia wote watakaa kimya na kufuta machozi fasta na madaftari yatatafutwa waanze kujisomea. Unakuta mke anawajua hadi mademu zake lakini hathubutu kufungua hata mdomo...
Utakuwa unatokea Mara au kanda ya ziwa kwa ujumla ni maeneo ya kihafidhina na haki za binadamu ni sawa na haki za ng’ombe.
 
Nyie wanawake mkiendeshwa kijeshi ndo mnatia akili, mbali na hapo ndo tunashuhudia changamoto lukuki za kimahusiano
Wabeijing hawa wa zama hizi sio watu Mkuu..utafungwa maisha kisa umechoma mtu gunia za mkaa mbili
 
Wanawake wanapishana kwa waganga kuenda kuloga! Wanawake hata vibinti vidogo vinavyodanga vina mairizi kuwaloga wanaume! Ukiuliza waganga watakwambia ukweli kati ya wanaume na wanawake wateja wao wengi ni akina nani watakwambia WANAWAKE! Na wanawake wakienda kwa waganga wanaenda kwa jambo moja tu KULOGA WANAUME na wala si biashara wala uchumi. Wengine wanaloga waume zao wafukuzwe kazi na wafilisike ili akae nyumbani eti ndo atatulia mwisho wa siku familia inakuwa fukara wa kutupwa! Wanaume wengi wanaojikuta wamefukuzwa kazi na kufirisika utakuta alilogwa na mkewe ili sijui hasipeleke hela kwa michepuko na nyumba ndogo bila kujua mathara hayo yataikumba familia yake pia! Haya yoote nimeyaona na nimeyaishi!
Kuna siku kijana mmoja alinifuata kwao kulikuwa na shida ya mifugo, basi kufika tu nikakuta lundo la wanawake na alikuwa anamiliki mbuzi zaidi ya 30. Katika udadisi wangu nikagundua hapo ni kwa mganga wa kienyeji na wale ni wateja wake na hao mbuzi ndo miongoni mwa zile sadaka anazoagiza mganga na ndo ilivyokuwa, wanawake ni washirikina hatari....
 
Wabeijing hawa wa zama hizi sio watu Mkuu..utafungwa maisha kisa umechoma mtu gunia za mkaa mbili
Teh....ulozi unawasaidia kuwapumbaza wanaume, vinginevyo mngekuwa mnachezea kichapo hatari.
 
Kuna siku kijana mmoja alinifuata kwao kulikuwa na shida ya mifugo, basi kufika tu nikakuta lundo la wanawake na alikuwa anamiliki mbuzi zaidi ya 30. Katika udadisi wangu nikagundua hapo ni kwa mganga wa kienyeji na wale ni wateja wake na hao mbuzi ndo miongoni mwa zile sadaka anazoagiza mganga na ndo ilivyokuwa, wanawake ni washirikina hatari....
Hatari sana
 
Back
Top Bottom