Mayor of kingstown
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,898
- 4,156
hahaha aiseeSIPENDI TABIA HII MIMI
*Hakuna kitu kinachonikera kama mwanaume kumfuata msichana inbox iwe fb au whatsapp na kumuomba namba ya simu. Kama wewe ni msichana na unakerwa na hii tabia kama inavyonikera mimi, NITUMIE NAMBA YAKO YA SIMU INBOX* tujadiliane tuone ni kwa namna gani tunaweza *kulikabili hili tatizo*!!!
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hunipati ng'ooooo kwa nn tusijadl hapa
Kwa hiyo nawewe Ni ke'????SIPENDI TABIA HII MIMI
*Hakuna kitu kinachonikera kama mwanaume kumfuata msichana inbox iwe fb au whatsapp na kumuomba namba ya simu. Kama wewe ni msichana na unakerwa na hii tabia kama inavyonikera mimi, NITUMIE NAMBA YAKO YA SIMU INBOX* tujadiliane tuone ni kwa namna gani tunaweza *kulikabili hili tatizo*!!!
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Hilo ni dume linataka namba tu hana loloteHunipati ng'ooooo kwa nn tusijadl hapa
Ndo nimeshtuka mapeeema[emoji125]Hilo ni dume linataka namba tu hana lolote
Anafkir insta au fb[emoji23] mwambie watch it yuko free lkn not to that extentHuoni hata aibu kipya gani ambacho utakijadili huko inbox ambacho hapa ni kigumu kukiandika.
Hii ni jf ujue.
utoto umekuwa mwingi sanaUjinga wa Facebook unanyemelea kwa kasi ya ajabu kuingia JF.
Mungu pitishia mbali.
Shida yao wanajua karibia wote tulioko huku jf ni under 20.Anafkir insta au fb[emoji23] mwambie watch it yuko free lkn not to that extent
Hawajui km cc wengine ni matured enough!!Shida yao wanajua karibia wote tulioko huku jf ni under 20.
Wazazinwa siku hizi wanawanunulia watoto wao smartphone ndio wanaotupa tabu humuUjinga wa Facebook unanyemelea kwa kasi ya ajabu kuingia JF.
Mungu pitishia mbali.