Mayor of kingstown
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,898
- 4,156
SIPENDI TABIA HII MIMI
*Hakuna kitu kinachonikera kama mwanaume kumfuata msichana inbox iwe fb au whatsapp na kumuomba namba ya simu. Kama wewe ni msichana na unakerwa na hii tabia kama inavyonikera mimi, NITUMIE NAMBA YAKO YA SIMU INBOX* tujadiliane tuone ni kwa namna gani tunaweza *kulikabili hili tatizo*!!!
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
*Hakuna kitu kinachonikera kama mwanaume kumfuata msichana inbox iwe fb au whatsapp na kumuomba namba ya simu. Kama wewe ni msichana na unakerwa na hii tabia kama inavyonikera mimi, NITUMIE NAMBA YAKO YA SIMU INBOX* tujadiliane tuone ni kwa namna gani tunaweza *kulikabili hili tatizo*!!!
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]