Infiniteposibilities
Senior Member
- Jan 31, 2018
- 141
- 218
- Thread starter
-
- #21
Mh! Na akikupata anakupiga hizo kucha hadi unanyookaHayo mambo aliyoyafanya siku za nyuma hayanihusu sana sana nachunguza kama nyuma kumejaaliwa
View attachment 3136142
Sio tabia yangu.Lakini kuwa kijana sio tiketi ya kuwa mzembeWew staafu waachie vijana
Hao Malaya ndio wanataka ili isiwe tabu badaeDuh! Mbona wapo hadi wanazaa nao
Njooni mbishe kama ni uongo.Mwanaume ni kiumbe wa ajabu sana.Anapoona jinsia ya kike iwe ni picha au mwanamke halisi ambaye ni mrembo ataishia kumsifia na kumtamani bila hata kijiuliza background ya huyo mwanamke.
Mfano mwanaume kaona mdada mzuri barabarani awe mwanachuo, mwanamuziki/mtangazaji/video vixen au muigizaji mkali mwenye sauti nzuri au umbo zuri basi ataishia kutamani awe mpenzi wake.Yani anaona angekuwa nae angemfaidi sana.
Je, umewahi kijiuliza historia(background) na tabia za a huyo mwanamke unaemtamani.Unaona tu vya juu juu kisha unakurupuka kuuchosha moyo na hisia zako.
Vip ungekuwa unajua kuwa huyo unaejidai kumzimia ni katili vibaya na alishawahi kutoa mimba kadhaa au ni mchawi na mshirikina kila wakati ni kwa waganga kuloga nduguze na majirani.
Au ni mwanamke gaidi,tapeli,muongo, asiyependa wakwe zake.Au ni mwanamke malaya asiyekaa na mwanaume mmoja.Au kwao kuna laana na kila mwanaume anayefall in love na yeye lazima akate moto.
Hiyo ni mifano tu najaribu kukuonesha mwanaume mwenzangu vile tunavyofeli kwa kutanguliza macho mbele na moyo nyuma.
Wanawake wanatuzidi hapa.Wao ni moyo mbele macho nyuma.Hajakupenda kama hujajaa moyoni mwake.Hakupi maisha yake bila kupata uhakika ndani ya moyo wake.Atakuchunguza in and out apate kujua mapumgufu na ubora wako kama utamfaa lakini wewe kama mwanaume unaishia kuchunguza hips,nyashi,miguu na madudu mengine yasiyo na maana.Mwishowe unaambulia za uso unabaki kusema 'ningejua'?.
Kuwa mwanamke mkuu mbona hakuna atae kuuliza.Njooni mbishe kama ni uongo.Mwanaume ni kiumbe wa ajabu sana.Anapoona jinsia ya kike iwe ni picha au mwanamke halisi ambaye ni mrembo ataishia kumsifia na kumtamani bila hata kijiuliza background ya huyo mwanamke.
Mfano mwanaume kaona mdada mzuri barabarani awe mwanachuo, mwanamuziki/mtangazaji/video vixen au muigizaji mkali mwenye sauti nzuri au umbo zuri basi ataishia kutamani awe mpenzi wake.Yani anaona angekuwa nae angemfaidi sana.
Je, umewahi kijiuliza historia(background) na tabia za a huyo mwanamke unaemtamani.Unaona tu vya juu juu kisha unakurupuka kuuchosha moyo na hisia zako.
Vip ungekuwa unajua kuwa huyo unaejidai kumzimia ni katili vibaya na alishawahi kutoa mimba kadhaa au ni mchawi na mshirikina kila wakati ni kwa waganga kuloga nduguze na majirani.
Au ni mwanamke gaidi,tapeli,muongo, asiyependa wakwe zake.Au ni mwanamke malaya asiyekaa na mwanaume mmoja.Au kwao kuna laana na kila mwanaume anayefall in love na yeye lazima akate moto.
Hiyo ni mifano tu najaribu kukuonesha mwanaume mwenzangu vile tunavyofeli kwa kutanguliza macho mbele na moyo nyuma.
Wanawake wanatuzidi hapa.Wao ni moyo mbele macho nyuma.Hajakupenda kama hujajaa moyoni mwake.Hakupi maisha yake bila kupata uhakika ndani ya moyo wake.Atakuchunguza in and out apate kujua mapumgufu na ubora wako kama utamfaa lakini wewe kama mwanaume unaishia kuchunguza hips,nyashi,miguu na madudu mengine yasiyo na maana.Mwishowe unaambulia za uso unabaki kusema 'ningejua'?.
Na ndoa mnafunga nao kabisaHao Malaya ndio wanataka ili isiwe tabu badae
Jenga hojaKuwa mwanamke mkuu mbona hakuna atae kuuliza.
No hard feelings
Jenga hojaKuwa mwanamke mkuu mbona hakuna atae kuuliza.
No hard feelings
Vitabu gani? Naomba tittlesEndelea kusoma vitabu.
Umepiga kwenye mshono....wanaume tunaangalia nyashi ,hips ,gigabytes ,folder ,rangi HD kisha tunatumbukia mzima mzima baada ya muda tunasikia YOWEEEE tu .,kumbe tulijidumbukiza kwa GAIDI.Njooni mbishe kama ni uongo.Mwanaume ni kiumbe wa ajabu sana.Anapoona jinsia ya kike iwe ni picha au mwanamke halisi ambaye ni mrembo ataishia kumsifia na kumtamani bila hata kijiuliza background ya huyo mwanamke.
Mfano mwanaume kaona mdada mzuri barabarani awe mwanachuo, mwanamuziki/mtangazaji/video vixen au muigizaji mkali mwenye sauti nzuri au umbo zuri basi ataishia kutamani awe mpenzi wake.Yani anaona angekuwa nae angemfaidi sana.
Je, umewahi kijiuliza historia(background) na tabia za a huyo mwanamke unaemtamani.Unaona tu vya juu juu kisha unakurupuka kuuchosha moyo na hisia zako.
Vip ungekuwa unajua kuwa huyo unaejidai kumzimia ni katili vibaya na alishawahi kutoa mimba kadhaa au ni mchawi na mshirikina kila wakati ni kwa waganga kuloga nduguze na majirani.
Au ni mwanamke gaidi,tapeli,muongo, asiyependa wakwe zake.Au ni mwanamke malaya asiyekaa na mwanaume mmoja.Au kwao kuna laana na kila mwanaume anayefall in love na yeye lazima akate moto.
Hiyo ni mifano tu najaribu kukuonesha mwanaume mwenzangu vile tunavyofeli kwa kutanguliza macho mbele na moyo nyuma.
Wanawake wanatuzidi hapa.Wao ni moyo mbele macho nyuma.Hajakupenda kama hujajaa moyoni mwake.Hakupi maisha yake bila kupata uhakika ndani ya moyo wake.Atakuchunguza in and out apate kujua mapumgufu na ubora wako kama utamfaa lakini wewe kama mwanaume unaishia kuchunguza hips,nyashi,miguu na madudu mengine yasiyo na maana.Mwishowe unaambulia za uso unabaki kusema 'ningejua'?.
Kujisogeza ndio kulala nae hadi kututangazia na ndoa kumbe umepigwa?Ingekuwa kujisogeza kunasaidia tusingesikia vilio vya wanaume wengi kulizwa na hao unaowaita waremboSasa bila kujisogeza karibu kwa Binti mrembo utawezaje kuzijua tabia zake either nzuri au mbaya? Au we mwenzetu unatembea na x-ray machoni ukiangalia tu unaona mpaka roho yake.
Hakuna mtu mwenye akili timamu atafanya huo upuuzi wa kuoa mtu ambaye hamfahamu tabia.Kujisogeza ndio kulala nae hadi kututangazia na ndoa kumbe umepigwa?Ingekuwa kujisogeza kunasaidia tusingesikia vilio vya wanaume wengi kulizwa na hao unaowaita warembo
Na maumivu yanatupata kabisa.Na ndoa mnafunga nao kabisa
Muhim hio, hata yule mwanasayansi mashuhuri wakuitwa newton alisema in every action there is an equal and opposite reactionVice versa Visimi vinasimama baada ya kuona Noti kwanza pochi nene