WANAUME TUNAFELI HAPA

WANAUME TUNAFELI HAPA

Njooni mbishe kama ni uongo.Mwanaume ni kiumbe wa ajabu sana.Anapoona jinsia ya kike iwe ni picha au mwanamke halisi ambaye ni mrembo ataishia kumsifia na kumtamani bila hata kijiuliza background ya huyo mwanamke.

Mfano mwanaume kaona mdada mzuri barabarani awe mwanachuo, mwanamuziki/mtangazaji/video vixen au muigizaji mkali mwenye sauti nzuri au umbo zuri basi ataishia kutamani awe mpenzi wake.Yani anaona angekuwa nae angemfaidi sana.

Je, umewahi kijiuliza historia(background) na tabia za a huyo mwanamke unaemtamani.Unaona tu vya juu juu kisha unakurupuka kuuchosha moyo na hisia zako.

Vip ungekuwa unajua kuwa huyo unaejidai kumzimia ni katili vibaya na alishawahi kutoa mimba kadhaa au ni mchawi na mshirikina kila wakati ni kwa waganga kuloga nduguze na majirani.

Au ni mwanamke gaidi,tapeli,muongo, asiyependa wakwe zake.Au ni mwanamke malaya asiyekaa na mwanaume mmoja.Au kwao kuna laana na kila mwanaume anayefall in love na yeye lazima akate moto.

Hiyo ni mifano tu najaribu kukuonesha mwanaume mwenzangu vile tunavyofeli kwa kutanguliza macho mbele na moyo nyuma.

Wanawake wanatuzidi hapa.Wao ni moyo mbele macho nyuma.Hajakupenda kama hujajaa moyoni mwake.Hakupi maisha yake bila kupata uhakika ndani ya moyo wake.Atakuchunguza in and out apate kujua mapumgufu na ubora wako kama utamfaa lakini wewe kama mwanaume unaishia kuchunguza hips,nyashi,miguu na madudu mengine yasiyo na maana.Mwishowe unaambulia za uso unabaki kusema 'ningejua'?.

Wavulana mna shinda sana kujaribu waelewa wanaume
 
Njooni mbishe kama ni uongo.Mwanaume ni kiumbe wa ajabu sana.Anapoona jinsia ya kike iwe ni picha au mwanamke halisi ambaye ni mrembo ataishia kumsifia na kumtamani bila hata kijiuliza background ya huyo mwanamke.

Mfano mwanaume kaona mdada mzuri barabarani awe mwanachuo, mwanamuziki/mtangazaji/video vixen au muigizaji mkali mwenye sauti nzuri au umbo zuri basi ataishia kutamani awe mpenzi wake.Yani anaona angekuwa nae angemfaidi sana.

Je, umewahi kijiuliza historia(background) na tabia za a huyo mwanamke unaemtamani.Unaona tu vya juu juu kisha unakurupuka kuuchosha moyo na hisia zako.

Vip ungekuwa unajua kuwa huyo unaejidai kumzimia ni katili vibaya na alishawahi kutoa mimba kadhaa au ni mchawi na mshirikina kila wakati ni kwa waganga kuloga nduguze na majirani.

Au ni mwanamke gaidi,tapeli,muongo, asiyependa wakwe zake.Au ni mwanamke malaya asiyekaa na mwanaume mmoja.Au kwao kuna laana na kila mwanaume anayefall in love na yeye lazima akate moto.

Hiyo ni mifano tu najaribu kukuonesha mwanaume mwenzangu vile tunavyofeli kwa kutanguliza macho mbele na moyo nyuma.

Wanawake wanatuzidi hapa.Wao ni moyo mbele macho nyuma.Hajakupenda kama hujajaa moyoni mwake.Hakupi maisha yake bila kupata uhakika ndani ya moyo wake.Atakuchunguza in and out apate kujua mapumgufu na ubora wako kama utamfaa lakini wewe kama mwanaume unaishia kuchunguza hips,nyashi,miguu na madudu mengine yasiyo na maana.Mwishowe unaambulia za uso unabaki kusema 'ningejua'?.
Kuwa mwanamke mkuu mbona hakuna atae kuuliza.
No hard feelings
 
Sasa bila kujisogeza karibu kwa Binti mrembo utawezaje kuzijua tabia zake either nzuri au mbaya? Au we mwenzetu unatembea na x-ray machoni ukiangalia tu unaona mpaka roho yake.
 
Njooni mbishe kama ni uongo.Mwanaume ni kiumbe wa ajabu sana.Anapoona jinsia ya kike iwe ni picha au mwanamke halisi ambaye ni mrembo ataishia kumsifia na kumtamani bila hata kijiuliza background ya huyo mwanamke.

Mfano mwanaume kaona mdada mzuri barabarani awe mwanachuo, mwanamuziki/mtangazaji/video vixen au muigizaji mkali mwenye sauti nzuri au umbo zuri basi ataishia kutamani awe mpenzi wake.Yani anaona angekuwa nae angemfaidi sana.

Je, umewahi kijiuliza historia(background) na tabia za a huyo mwanamke unaemtamani.Unaona tu vya juu juu kisha unakurupuka kuuchosha moyo na hisia zako.

Vip ungekuwa unajua kuwa huyo unaejidai kumzimia ni katili vibaya na alishawahi kutoa mimba kadhaa au ni mchawi na mshirikina kila wakati ni kwa waganga kuloga nduguze na majirani.

Au ni mwanamke gaidi,tapeli,muongo, asiyependa wakwe zake.Au ni mwanamke malaya asiyekaa na mwanaume mmoja.Au kwao kuna laana na kila mwanaume anayefall in love na yeye lazima akate moto.

Hiyo ni mifano tu najaribu kukuonesha mwanaume mwenzangu vile tunavyofeli kwa kutanguliza macho mbele na moyo nyuma.

Wanawake wanatuzidi hapa.Wao ni moyo mbele macho nyuma.Hajakupenda kama hujajaa moyoni mwake.Hakupi maisha yake bila kupata uhakika ndani ya moyo wake.Atakuchunguza in and out apate kujua mapumgufu na ubora wako kama utamfaa lakini wewe kama mwanaume unaishia kuchunguza hips,nyashi,miguu na madudu mengine yasiyo na maana.Mwishowe unaambulia za uso unabaki kusema 'ningejua'?.
Umepiga kwenye mshono....wanaume tunaangalia nyashi ,hips ,gigabytes ,folder ,rangi HD kisha tunatumbukia mzima mzima baada ya muda tunasikia YOWEEEE tu .,kumbe tulijidumbukiza kwa GAIDI.
 
Sasa bila kujisogeza karibu kwa Binti mrembo utawezaje kuzijua tabia zake either nzuri au mbaya? Au we mwenzetu unatembea na x-ray machoni ukiangalia tu unaona mpaka roho yake.
Kujisogeza ndio kulala nae hadi kututangazia na ndoa kumbe umepigwa?Ingekuwa kujisogeza kunasaidia tusingesikia vilio vya wanaume wengi kulizwa na hao unaowaita warembo
 
Kujisogeza ndio kulala nae hadi kututangazia na ndoa kumbe umepigwa?Ingekuwa kujisogeza kunasaidia tusingesikia vilio vya wanaume wengi kulizwa na hao unaowaita warembo
Hakuna mtu mwenye akili timamu atafanya huo upuuzi wa kuoa mtu ambaye hamfahamu tabia.
 
Back
Top Bottom