bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Naongea hili baada ya kuachana na dogo wa miaka 22 kanifata nimpe ramani ya maisha kumdadisi kaniambia Baba na mama yake hawaishi pamoja kitambo.
Baba Hana sauti kwa mama wa kambo akiomba msaada wowote wa kuendelezwa baba anamsikiliza mama wa kambo.Baba anasema Hana hela wakati watoto wa mama wa kambo wanasoma shule hizi ghali za kulipia.
Dogo anaishi na baba yake na mama wa kambo pia chakula kwa masimango.
Ushauri inakuaje Bi Mdogo anakuwa na nguvu ya kukupangia juu ya watoto aliowakuta tayari usaidie au usisaidie. Kumbuka awakujileta wenyewe Duniani.
Hata Kama mlishindwana na mama zao kwann uwe mgumu kumsaidia mwanao ambae hausiki na tofaut zenu Kama wazazi.
Ingefaa watu waishi pamoja kwa faida ya afya ya akili ya watoto lakini ndio hivyo.
Kumbuka Pana kesho
Baba Hana sauti kwa mama wa kambo akiomba msaada wowote wa kuendelezwa baba anamsikiliza mama wa kambo.Baba anasema Hana hela wakati watoto wa mama wa kambo wanasoma shule hizi ghali za kulipia.
Dogo anaishi na baba yake na mama wa kambo pia chakula kwa masimango.
Ushauri inakuaje Bi Mdogo anakuwa na nguvu ya kukupangia juu ya watoto aliowakuta tayari usaidie au usisaidie. Kumbuka awakujileta wenyewe Duniani.
Hata Kama mlishindwana na mama zao kwann uwe mgumu kumsaidia mwanao ambae hausiki na tofaut zenu Kama wazazi.
Ingefaa watu waishi pamoja kwa faida ya afya ya akili ya watoto lakini ndio hivyo.
Kumbuka Pana kesho