Wanaume tunaongoza kusaliti na kujisifu kusaliti, lakini sisi tukisalitiwa tunalaumu

Wanaume tunaongoza kusaliti na kujisifu kusaliti, lakini sisi tukisalitiwa tunalaumu

Hi,

Kuna kitu nashangaa kuhusu sisi wanaume, naongelea from experience nliyoona from washkaji wangu wa karibu, utakuta mwanaume ni malaya mbwa, michepuko anayo kama yote, na malaya ananunua, lakini anatarajia mkewe awe loyal, hii inawezekanaje?

Tarajia mkeo au mpenzi wako awe loyal, kama wewe ni loyal, kama wewe ni mwaminifu halafu mkeo akakucheat hapo una haki ya kulalamika, sasa wewe mwenyewe una michepuko 50, mkeo akitongozwa tu au akiwa na mchepuko Mmoja tu unakasirika unataka kuua mtu.

Wanaume tujirekebishe, kama wewe unachepuka na mkeo akichepuka kaa kwa kutulia, ila kama wewe hujawahi msaliti mkeo, ila mkeo anakusaliti, hapo sawa una haki ya kukasirika na unaeza nunua gunia la mkaa.
Wanaume anachepuka kwasababu tumeamishwa na wazungu kuwa mwanaume ni Sawa na mwanamke, wote wanaweza kulidhika na mtu mmoja. Kitu ambacho sio kweli mwanaume hakuubwa kwa ajili ya mke mmoja. Ndio maana hakuna kiumbe kingine Duniani ambacho dume anakuwa na jike moja maisha yake yote. Sasa kwanini binadam tu ndio alazimishwe kuwa na mke mmoja tu? NG, ombe, mbwa, kuku Wana majike ya kutosha.
 
Broo wewe ushakuwa ke uvae tuu sket na sidiria afuu ungane na wezako mothers day
 
A bad wife is worse than a poverty,
If u have a good wife you are already rich.
 
Hi,

Kuna kitu nashangaa kuhusu sisi wanaume, naongelea from experience nliyoona from washkaji wangu wa karibu, utakuta mwanaume ni malaya mbwa, michepuko anayo kama yote, na malaya ananunua, lakini anatarajia mkewe awe loyal, hii inawezekanaje?

Tarajia mkeo au mpenzi wako awe loyal, kama wewe ni loyal, kama wewe ni mwaminifu halafu mkeo akakucheat hapo una haki ya kulalamika, sasa wewe mwenyewe una michepuko 50, mkeo akitongozwa tu au akiwa na mchepuko Mmoja tu unakasirika unataka kuua mtu.

Wanaume tujirekebishe, kama wewe unachepuka na mkeo akichepuka kaa kwa kutulia, ila kama wewe hujawahi msaliti mkeo, ila mkeo anakusaliti, hapo sawa una haki ya kukasirika na unaeza nunua gunia la mkaa.
Siku wake zetu wakianza kutusaidia kutongoza ma bimdogo ndoa zitadumu sana!

Wivu ni sumu ya ndoa!
 
Wanaume anachepuka kwasababu tumeamishwa na wazungu kuwa mwanaume ni Sawa na mwanamke, wote wanaweza kulidhika na mtu mmoja. Kitu ambacho sio kweli mwanaume hakuubwa kwa ajili ya mke mmoja. Ndio maana hakuna kiumbe kingine Duniani ambacho dume anakuwa na jike moja maisha yake yote. Sasa kwanini binadam tu ndio alazimishwe kuwa na mke mmoja tu? NG, ombe, mbwa, kuku Wana majike ya kutosha.
Binadamu mnataka wanawake wengi hizo nguvu mnazo?
 
Alafu wanakazana kusema wanawake hawajiheshimu. Hii mada angeianzisha mwanamke wangemwita feminist.

Mnaleta magonjwa nyumbani mnasema mmeumbiwa tamaa. Mi nawaambia bora muoe
Wanawake wapole. Hao vichaa mnaoweka ndani af mna wachiti kifala watawamaliza na visu
 
Acha uzembe broo. Huu ni muendelezo tu. Soma vitabu vya dining ku a mamwamba huko walikuwa na 700+ na Kuna mambo hayatakiwi kujadiliwa na wanaume wenzako.
Hi,

Kuna kitu nashangaa kuhusu sisi wanaume, naongelea from experience nliyoona from washkaji wangu wa karibu, utakuta mwanaume ni malaya mbwa, michepuko anayo kama yote, na malaya ananunua, lakini anatarajia mkewe awe loyal, hii inawezekanaje?

Tarajia mkeo au mpenzi wako awe loyal, kama wewe ni loyal, kama wewe ni mwaminifu halafu mkeo akakucheat hapo una haki ya kulalamika, sasa wewe mwenyewe una michepuko 50, mkeo akitongozwa tu au akiwa na mchepuko Mmoja tu unakasirika unataka kuua mtu.

Wanaume tujirekebishe, kama wewe unachepuka na mkeo akichepuka kaa kwa kutulia, ila kama wewe hujawahi msaliti mkeo, ila mkeo anakusaliti, hapo sawa una haki ya kukasirika na unaeza nunua gunia la mkaa.
 
Sema kuchapiwa aisee, unaeza sahau hadi majira
 
Gari haliwezi lalamika kuwa kwanini mmiliki kaendesha gari lingine. Ila mmiliki anaweza lalamika kama gari lake litaendeshwa na mtu mwingine bila lidhaa yake
 
Hakuna jinsia inahochepuka kuliko nyingine. Kwani wanaume tunachepuka na kina Nani si hao hao wanawake? Tusilaumiwe tafadhali both wanaume na wanawake Ni wachepukaji ,, wanaume wanachepuka na hao hao wanawake unaosema wametulia
 
IMG_7574.jpeg

Wanaume!
 
Hakuna jinsia inahochepuka kuliko nyingine. Kwani wanaume tunachepuka na kina Nani si hao hao wanawake? Tusilaumiwe tafadhali both wanaume na wanawake Ni wachepukaji ,, wanaume wanachepuka na hao hao wanawake unaosema wametulia
Sasa kwanini mnaumia sana ukiskia mwanamke wako amechepuka na mnakimbilia kuwachinja
 
Hi,

Kuna kitu nashangaa kuhusu sisi wanaume, naongelea from experience nliyoona from washkaji wangu wa karibu, utakuta mwanaume ni malaya mbwa, michepuko anayo kama yote, na malaya ananunua, lakini anatarajia mkewe awe loyal, hii inawezekanaje?

Tarajia mkeo au mpenzi wako awe loyal, kama wewe ni loyal, kama wewe ni mwaminifu halafu mkeo akakucheat hapo una haki ya kulalamika, sasa wewe mwenyewe una michepuko 50, mkeo akitongozwa tu au akiwa na mchepuko Mmoja tu unakasirika unataka kuua mtu.

Wanaume tujirekebishe, kama wewe unachepuka na mkeo akichepuka kaa kwa kutulia, ila kama wewe hujawahi msaliti mkeo, ila mkeo anakusaliti, hapo sawa una haki ya kukasirika na unaeza nunua gunia la mkaa.
Wewe ni mwanaume? Una umri gani?
 
Wanaume anachepuka kwasababu tumeamishwa na wazungu kuwa mwanaume ni Sawa na mwanamke, wote wanaweza kulidhika na mtu mmoja. Kitu ambacho sio kweli mwanaume hakuubwa kwa ajili ya mke mmoja. Ndio maana hakuna kiumbe kingine Duniani ambacho dume anakuwa na jike moja maisha yake yote. Sasa kwanini binadam tu ndio alazimishwe kuwa na mke mmoja tu? NG, ombe, mbwa, kuku Wana majike ya kutosha.
Hata hayo majike hayafanyani na dume moja mbona hapo umejisahaulisha? Polygamy ni kwa jinsia zote
 
Back
Top Bottom