Wanaume tunaongoza kutengeneza wanawake ambao ni tegemezi (malaya)

Wanaume tunaongoza kutengeneza wanawake ambao ni tegemezi (malaya)

nyboma

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2021
Posts
2,308
Reaction score
7,366
Kwa ufupi, nipo kikazi mkoa fulani kwa bahati mbaya/nzuri nimekutana na binti nilibahatika kuwa nae kimapenzi na nikamhudumia kwa miaka kadhaa nyuma kabla ya kwenda nje ya nchi kujiendeleza kimasomo.

Leo cha kustaajabu nimekuja mkoa X kikazi nimekutana nae akiwa anakata mauno hadharani kwenye kumbi moja ya mziki, baada ya kumfuata na kumsalimia aliishia kulia na kunilaumu kuwa mimi ndio chanzo cha yeye kuishia huko.

Funzo, tuwahudumie hawa warembo hata tukitokomea kusiko julikana wengi wao hugeuka kuwa makahaba ambao husumbua huko katika miji ya watu kwa kigezo cha maisha magumu.
 
.
af4b8584ffe346adb9c0b049932846d3.jpg
 
Mkuu,hujistukii ulichoandika?
Eti hata mkitokomea kusikojulikana muendelee kuwahudumia,seriously?
Ina maana huyo mwanamke uliyekuwa unamuhudumi ni kilema hawezi kufanya kazi halali akajitegemea?

Ama ndio unatafuta credit kwa wadangaji?
 
Kwa ufupi, nipo kikazi mkoa fulani kwa bahati mbaya/nzuri nimekutana na binti nilibahatika kuwa nae kimapenzi na nikamhudumia kwa miaka kadhaa nyuma kabla ya kwenda nje ya nchi kujiendeleza kimasomo.

Leo cha kustaajabu nimekuja mkoa X kikazi nimekutana nae akiwa anakata mauno hadharani kwenye kumbi moja ya mziki, baada ya kumfuata na kumsalimia aliishia kulia na kunilaumu kuwa mimi ndio chanzo cha yeye kuishia huko.

Funzo, tuwahudumie hawa warembo hata tukitokomea kusiko julikana wengi wao hugeuka kuwa makahaba ambao husumbua huko katika miji ya watu kwa kigezo cha maisha magumu.
Kwahiyo umeanza kumuudumia upya
 
Wanataka 50/50 acha walimie meno, shenzi sana hao viumbe, hawana maana unaweza wasaidia ukawa kama umefuga nyoka kama badae akakuchapa meno .. ni ku waacha tu wapambane na hali zao shenzi zao kabisa
 
Mkuu,hujistukii ulichoandika?
Eti hata mkitokomea kusikojulikana muendelee kuwahudumia,seriously?
Ina maana huyo mwanamke uliyekuwa unamuhudumi ni kilema hawezi kufanya kazi halali akajitegemea?

Ama ndio unatafuta credit kwa wadangaji?
Ndiio maana nakupendaga,DJ lete wimbo wa aint ya father
 
Ungesema ulimwahidi kumwoa ukamkimbia ndo anakulaumu sawa,ila kuachana na kuendelea kuhudumiwa haingii akilini.Umemdekeza huyo,wenzie wanauza ndiz barabarani
 
Kwa ufupi, nipo kikazi mkoa fulani kwa bahati mbaya/nzuri nimekutana na binti nilibahatika kuwa nae kimapenzi na nikamhudumia kwa miaka kadhaa nyuma kabla ya kwenda nje ya nchi kujiendeleza kimasomo.

Leo cha kustaajabu nimekuja mkoa X kikazi nimekutana nae akiwa anakata mauno hadharani kwenye kumbi moja ya mziki, baada ya kumfuata na kumsalimia aliishia kulia na kunilaumu kuwa mimi ndio chanzo cha yeye kuishia huko.

Funzo, tuwahudumie hawa warembo hata tukitokomea kusiko julikana wengi wao hugeuka kuwa makahaba ambao husumbua huko katika miji ya watu kwa kigezo cha maisha magumu.
Huyo wako Malaya tu inamaana hawezi fanya kazi hajiongezi hawazi kuhusu maishayake Bila wew inamaana angeishije
 
Ni lifestyle tu, vijana wasio na ramani ni vibaka mtaani na wengine ni mashoga, wanawake ni makahaba.
In short ni janga kwa wote.
Mtoa mada angesema funzo ni kuwaandaa watoto wetu kizazi kijacho kutokuwa na hali hiyo.

Tuondoe dhana ya kuajiriwa na kuchagua biashara.
Kuna watu wanauza vitumbua, n.k tu ila wanapiga pesa halali na wanalea familia vizuri.
 
Eti Joanah wangu siku nikute umepigika unilaumu mimi badala ya kumlaumu mzazi,wanawake mna mambo sana
Mzazi ana kosa gani?
Hata mzazi sio wa kumlaumu
Kufanya kazi kama sio kilema ni wajibu wa kila mtu
 
Back
Top Bottom