Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi nimeshangaa kwa ujinga anaoutetea ....Mkuu,hujistukii ulichoandika?
Eti hata mkitokomea kusikojulikana muendelee kuwahudumia,seriously?
Ina maana huyo mwanamke uliyekuwa unamuhudumi ni kilema hawezi kufanya kazi halali akajitegemea?
Ama ndio unatafuta credit kwa wadangaji?
[emoji23][emoji23][emoji23] yaani umeona mara 100 umuhukumu mwanaume kulikoni mwanamke mpumbavu. [emoji23][emoji23][emoji23] jamii inatabu hii.Karma ni real ,we chezea wanawake za watu malipo hapa hapa duniani ...ukija kupata mtoto wa kike habari yako kwisha atachezewa sana
Wahudumiwe na matangoMitano Tena.View attachment 2344925
Hamna maana nyie, bora kufuga nyau 1000 kuliko kumsaidia mwanamke mmoja siku akiota meno utajutraaaMuwe mnawapa mitaji Walai wapate miambili miatatu zakwao na mbarikiwe sana!
Amen
Muulize majani alivyochezea watoto wa watu na uhuni leo Paula anachezewa hiyo ndo karma[emoji23][emoji23][emoji23] yaani umeona mara 100 umuhukumu mwanaume kulikoni mwanamke mpumbavu. [emoji23][emoji23][emoji23] jamii inatabu hii.
Acheni hizo banaaa!! Saidieni na mkabarikiwee😉😉!Hamna maana nyie, bora kufuga nyau 1000 kuliko kumsaidia mwanamke mmoja siku akiota meno utajutraaa