Kwahiyo umeanza kumuudumia upyaKwa ufupi, nipo kikazi mkoa fulani kwa bahati mbaya/nzuri nimekutana na binti nilibahatika kuwa nae kimapenzi na nikamhudumia kwa miaka kadhaa nyuma kabla ya kwenda nje ya nchi kujiendeleza kimasomo.
Leo cha kustaajabu nimekuja mkoa X kikazi nimekutana nae akiwa anakata mauno hadharani kwenye kumbi moja ya mziki, baada ya kumfuata na kumsalimia aliishia kulia na kunilaumu kuwa mimi ndio chanzo cha yeye kuishia huko.
Funzo, tuwahudumie hawa warembo hata tukitokomea kusiko julikana wengi wao hugeuka kuwa makahaba ambao husumbua huko katika miji ya watu kwa kigezo cha maisha magumu.
Duuuh!Mitano Tena.View attachment 2344925
Ndiio maana nakupendaga,DJ lete wimbo wa aint ya fatherMkuu,hujistukii ulichoandika?
Eti hata mkitokomea kusikojulikana muendelee kuwahudumia,seriously?
Ina maana huyo mwanamke uliyekuwa unamuhudumi ni kilema hawezi kufanya kazi halali akajitegemea?
Ama ndio unatafuta credit kwa wadangaji?
hahahahaha nimecheka kinoma,
Huyo wako Malaya tu inamaana hawezi fanya kazi hajiongezi hawazi kuhusu maishayake Bila wew inamaana angeishijeKwa ufupi, nipo kikazi mkoa fulani kwa bahati mbaya/nzuri nimekutana na binti nilibahatika kuwa nae kimapenzi na nikamhudumia kwa miaka kadhaa nyuma kabla ya kwenda nje ya nchi kujiendeleza kimasomo.
Leo cha kustaajabu nimekuja mkoa X kikazi nimekutana nae akiwa anakata mauno hadharani kwenye kumbi moja ya mziki, baada ya kumfuata na kumsalimia aliishia kulia na kunilaumu kuwa mimi ndio chanzo cha yeye kuishia huko.
Funzo, tuwahudumie hawa warembo hata tukitokomea kusiko julikana wengi wao hugeuka kuwa makahaba ambao husumbua huko katika miji ya watu kwa kigezo cha maisha magumu.
Naomba DJ aweke ile i ain't your mama ππNdiio maana nakupendaga,DJ lete wimbo wa aint ya father
Eti Joanah wangu siku nikute umepigika unilaumu mimi badala ya kumlaumu mzazi,wanawake mna mambo sanaNaomba DJ aweke ile i ain't your mama ππ
Mzazi ana kosa gani?Eti Joanah wangu siku nikute umepigika unilaumu mimi badala ya kumlaumu mzazi,wanawake mna mambo sana
Kama hujamuandaa mwanao kujitegemea tutakulaumu tuMzazi ana kosa gani?
Hata mzazi sio wa kumlaumu
Kufanya kazi kama sio kilema ni wajibu wa kila mtu