OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
-
- #21
Sasa nitatembea na lichupa g500 shuleni? Acha ushambaMtoto wa kiume unatakiwa ukaze, huo mkono unavyoutumia kujipaka mafuta mwilini na wenyewe siunajipaka?
Sawa.Wewe ndiye ulianza! Karne ya 21 ndio maana umama ni mwingi.
Sawa tumia hand cream mkaka smart.Sasa nitatembea na lichupa g500 shuleni?
We unapenda ukiwa unatomaswa jamaa yako awe na mkono kama msasa wa kusugua mbao, au steel wire za kusugulia sufuria?Mtoto wa kiume unatakiwa ukaze, huo mkono unavyoutumia kujipaka mafuta mwilini na wenyewe siunajipaka?
Kubali kujifunza usiyoyajuaSawa tumia hand cream mkaka smart.
Vijana wa siku hizi mnachekesha..!We unapenda ukiwa unatomaswa jamaa yako awe na mkono kama msasa wa kusugua mbao, au steel wire za kusugulia sufuria?
Hata mimi nimeshangaaAiseeeee!!
Mafuta ya nazi si moisturizer nzuri...si yapo madukani siku hizi
Sawa lakini inashangazaKubali kujifunza usiyoyajua
Mkuu unashangaa mwanaume kukinga/kutibu ngozi?Hata mimi nimeshangaa
Sasa ukishikwa zile sehemu soft si ndipo utakimbia chumbani kabisa...Vijana wa siku hizi mnachekesha..!
jali ngozi yako mkuu kuna watu wanaona ukibabuka kama sokwe ndo unakuwa mwanaume😀Mkuu unashangaa mwanaume kukinga/kutibu ngozi?
Pengine asili ya ngozi yako. Lakini wengine ngozi zina shida. Kuna mtu ngozi kavu anapauka, angefanyaje? Mwingine mweusi tii anatoka ukoko, angefanyaje?Mara yangu ya mwisho kupaka mafuta mwilini ilikuwa kipindi nasoma secondary.
Na hapo ilikuwa imewekwa sheria na maticha japo mara nyingi nilikuwa nachimba sana kuepuka asembo.
Na hata katika hicho kipindi nilikuwa situmii lotion, kuna mafuta fulani ya mgando ndani yanakuwa meupe hivi ndio nilikuwa napita nayo.
Hayo mafuta ulikuwa ukienda kwa mafundi baiskeli miaka hiyo utaona walikuwa wakiyatumia kupaka kwenye minyororo.
Nakubaliana na wewe, huyo mtu hakika ushamba ndio unamsumbua.Ushamba tu unakusumbua
Sio nyingi, hiyo Dove ni sabuni, wewe hutumii sabuni? Kilichozidi hapo ni Hand cream tuHivyo ni vingi sana aisee mpaka vitafanya nijihoji nikiwa navyo.
Kama nina pesa hua natumia Razaq kwa ajili ya mwili mzima na Minara kwaajili ya nywele.
Nikiwa sina pesa natumia Minara kwa ajili ya mwili mzima na nywele.
Kukinga ngozi dhidi ya nini Mkuu?Mkuu unashangaa mwanaume kukinga/kutibu ngozi?