Wanaume tunaotunzwa na wake zetu tuje hapa

Wanaume tunaotunzwa na wake zetu tuje hapa

Naona Mkuu umekuja kutuambia kuwa umewekwa ndani

Hongera yako kwa kuolewa
 
Basi hapo ungesema huyo dada ni mzungu kila mtu angeona poa.
Chief we endeleza tu mikiki
 
Duniani raha sana , mwanamke akikupenda raha sana, hasa akiwa na pesa na kazi nzuri.

Unakula beers, unakula maisha mjini, ananuka kila kitu kiroho safi, maisha yanasogea. Sasahivi tuna watoto 2, gari za kutembelea 2 na nyumba yetu safi maeneo ya Kigogo hapa Dsm. Mm nafuatilia biashara za mke wangu,maana ye yupo busy sana ofsn,anasafiri nje mara kibao.

Hatujawahi hombana, amani kila siku. Yupo very peace, mwaka wa 8 sasa maisha safi. Mwanaume nadrive bila shida, ila usiku cha moto nakipata, busy busy sana juu yake.

Wasalaam.
Ati unajisifu! Zamani hii kitu ilikuwa ni aibu halafu ni siri hata ndugu hawajui maana wakigundua watakuweka kikao na kutaka kujua yaliyokusibu siku hizi hadi wazazi wanafurahia,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila kulelewa raha wewe ndo unapendwa sio magugu maji, mengine yamejaa sumu,.. Kwendraaaa kwenyuu!!
 
Paprikaa kaniweka ndanii jamanii kazi yangu kuperuzi Jf
 
Back
Top Bottom