Wanaume tunapenda kuhitajika

Wanaume tunapenda kuhitajika

Wanawake wanaohitaji wanaume ni kama 90% ya population iliyopo kwenye soko la mapenzi na hao unaowazungumzia kuwa hawahitaji wanaume ni kama 10% ya population ya soko na pengine ni malaya na wadangaji ambao wanaleta pozi za muda mfupi jua likianza kuzama watarejea kundini fasta.

Kimsingi wanaume tunapenda challenge na umwamba. Mwanaume anataka kuonekana hashindwi kitu kizembe au hakubali challenge imshinde hivyo atafanya kila namna kushindana na challenge itayomkalia mbele.

Kung'ang'ania wanawake wasiotaka ndoa ni moja ya mchezo wanaume wanapenda sana kucheza na huwa hawataki kushindwa hadi walale nao wakishafanikiwa inakuwa imeisha na hawana tena sababu ya kuendelea na mchezo walioshinda.

So usicomplicate maisha kijana.
 
Oyaa wazee wanawake wakisasa kuna kitu ibaidi waelewe,kwa sababu wanawake wa kisasa hawawafanyi wanaume kujihisi wanahitajika tena.

Siku hizi, warembo wetu wamepata kipato zaidi ya wanaume, wanahitimu kwa asilimia kubwa zaidi kuliko wanaume, na wana uhuru mkubwa zaidi kuliko wanawake wa miongo iliyopita. Hilo si jambo baya. Uhuru mpya wa wanawake wetu unapaswa kusherehekewa.

Hata hivyo, wanawake wetu na wengine ulimwenguni wanapaswa kutambua kwamba, kibaiolojia, wanaume bado wanavutiwa na wanawake ambao wanamfanya mwanaume kujihisi anahitajika. Katika enzi za kisasa, means kuwa wanaume wa kisasa hawatoi tena kitu ambacho wanawake hawana (kwa mfano, pesa, elimu)

Kwa hivyo hatua ya asili ni kwa wanaume wa sasa hivi ambao wamekosa kuhitajika ni kutafuta wanawake ambao wanamfanya mwanaume kujihisi anahitajika. Njia rahisi ni kwa mwanaume kutafuta chini kiuchumi.

Mwanaume wa jiji kubwa, akipata mshahara wa millioni kwa mwezi hawezi tena kuwavutia wanawake wa kisasa ambao pia wanapata zaidi ya millioni au sawasawa. Kwahiyo kama mwanaume ufanye nini ? Anaweza kwenda katika kijijini na kumchumbia msichana wa kijijini maskini... Au atafute wa mjini ambae hajamvutia ila ni maskini zaidi yake.

Ukweli kwamba anachumbia "nje ya daraja lake"
tafuta hela mkuu ,wataona umuhimu wako
 
Tatizo wewe Jomba unataka uwe na Jokate wakati hadhi yako ni Amber Ruty.
 
Ngoja nikamtumie msg ya kumhitaji naeo ajione mtu kati ya watu💃🏾💃🏾
 
Back
Top Bottom