dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
Mkuu hii n line ya NaniTungeishi kivipi, hiyo ni siri ya kapuni.../
Utamu ambao hawatupi, tungeupata kwenye sabuni.../
Au vipi wahuni?
Kweli kabisa,Sisi tupo kwaajili ya kuwapelekea ninyi moto,na ninyi mpo ili kupokea moto tunaowapelekea na kumwagiwa maniii.Na wanawake wanasemaje kuhusu uwepo wenu! Msingekuwepo wangeishije?, binadamu wote tunategemeana na kama mmojawapo asingekuwepo basi nadhani uzao usingekuwepo maana how tungezaliana na kuijaza dunia?
Aliishi miaka mingapi bila mwanamke??Mbona malaika wanaishi bila wanawake na wameweza sembuse sisi binadamu
Kila kitu kinawezekana hata adamu aliishi bustani Edeni kwa miaka mingi kabla ya kuletewa mwanamke
""Kila kitu kinawezekana chini ya jua""
AmenMshukuru mwenyeziMungu
Hapana,ni uzi.Hii nayo ni thread
Tungeishi kivipi, hiyo ni siri ya kapuni.../
Utamu ambao hawatupi, tungeupata kwenye sabuni.../
Au vipi wahuni?
Nimejaribu kutafakari. 99% ya furaha ya mwanaume ni uwepo wa mwanamke Je maisha bila mwanamke yangewezekana? Ni wazo tuu
Labla yangekua yanazaa panya, usifanye masikhara na uumbaji wa Mungu kwa binadamu mkuu, pamoja na technologies zoote kwenye uumbaji wa binadamu imeshindikana.Penye nia pana njia ukiwa na uthubutu wa kuanza, tungetengeneza madols ya 3D yakisasa yanayoweza kuzaa
Labla yangekua yanazaa panya, usifanye masikhara na uumbaji wa Mungu kwa binadamu mkuu, pamoja na technologies zoote kwenye uumbaji wa binadamu imeshindikana.
Akili yangu imeniambia iwapo dunia ingekuwa na wanaume tuu basi mkuyenge ungekuwa mkubwaa
Hata sijavuta bange, akili tuu.
Tungejichukulia sheria mkononi [emoji1]Duh kwahiyo ingekua ni mwendo wa kukwea mmazi kwa mkono mmoja hadi unazeeka[emoji848]
Kama yameweza kutengenezwa na kuwa warwmbo zaidi ya watu inashindikanaje kuzaa?Labla yangekua yanazaa panya, usifanye masikhara na uumbaji wa Mungu kwa binadamu mkuu, pamoja na technologies zoote kwenye uumbaji wa binadamu imeshindikana.
Kwa hiyo huu wa saizi ni manually?Hakuna cha sabuni hapo bali USHOGA ungekuja automatically.
ScarsMkuu hii n line ya Nani
Ahahaha aah wap mzee ..Huna mauwezo hayo ....waachie TamaduniScars