Wanaume tungeishi vipi endapo kusingekuwa na Wanawake?

Mbona malaika wanaishi bila wanawake na wameweza sembuse sisi binadamu

Kila kitu kinawezekana hata adamu aliishi bustani Edeni kwa miaka mingi kabla ya kuletewa mwanamke

""Kila kitu kinawezekana chini ya jua""
Hv malaika huwa wanazaliana!!??
ama wapo wale wale tu toka enzi na enzi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa hiyo huu wa saizi ni manually?


Yes, it is a manual operation, it is not driven by surrounding environments apart from driven by natural instinct planted by God.
 
Hakuna cha sabuni hapo bali USHOGA ungekuja automatically.
Nilijua tu hili la ushoga litatajwa hapa, sasa kwanu sahivi Ushoga haupo? Au umekuja manually? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilijua tu hili la ushoga litatajwa hapa, sasa kwanu sahivi Ushoga haupo? Au umekuja manually? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Sasa wewe si ungejiuliza; Kama wanawake wapo kibao kwa idadi na ushoga upo sasa vipi kama wanawake wasingekuwepo???!!--- just a simple logic.🀣
 
Nimejaribu kutafakari. 99% ya furaha ya mwanaume ni uwepo wa mwanamke Je maisha bila mwanamke yangewezekana? Ni wazo tuu.
Mbuzi, ngombe, punda, fisi, faru wooote hawa wana papuchi nzuri na tamu mno!! jaribu uone
!! ila jiandae kula mateke ya kutosha lkn vumilia!! halafu hawa wanyama hawataki pesa, waume zao kina jogoo hawanaga wivu wewe mtafurie umhonge majani tu!!! unapewa papuchi km yote!!

ila wanawake ndo ndio wangetia huruma wangekoma na Vijiti vya mihogo mara vikatikie huko!! lkn sisi shega tu Mpenzi Punda ,na kuku ni wa kweli! waaminifu!

Hawana usaliti!!
 
Hv malaika huwa wanazaliana!!??
ama wapo wale wale tu toka enzi na enzi
Wapo vile toka enzi na enzi na wana makao yao maalumu milele

Ila wale malaika waasi walioasi na malaika wa nuru a.k.a nyota ya asubuhi lusifer; baba lao shetani wao hukumu yao ikifika watateketezwa kwa amri yake yeye mwenyewe
 
Kama huwezi kuzihimili tamaa zako za mwili Basi hata ufalme wa mbingu utausikia kwa jirani

Huko peponi hakuna ngono kaka we, jiandae tu kisaikolojia kwamba unaweza kuishi hata Kama hakuna mwanamke pembeni yako
 
Sasa wewe si ungejiuliza; Kama wanawake wapo kibao kwa idadi na ushoga upo sasa vipi kama wanawake wasingekuwepo???!!--- just a simple logic.[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaan wee mtu daaah.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimejaribu kutafakari. 99% ya furaha ya mwanaume ni uwepo wa mwanamke Je maisha bila mwanamke yangewezekana? Ni wazo tuu.

Tatizo unafikiri kwa kutumia mfumo wa wa kijamii wa sasa..

ila ungekuwa unafikiria "nje ya box" kwa lugha sahihi kisayansi au kwa lugha rahis "Nature" ama ufikirie kiiman kwa lugha rahisi kidini au tuseme "uumbaji wa Mungu" basi hapo ungekuwa umefikiri ki great thinker kama JF inavyojitanabaisha na usingeuliza hilo swal.. ok nitakupa majibu tofauti utachagua unaloliona lina mashiko

1. Kisayansi
- kisayansi kuna Animals wanaitwa hermaphrodites maana yake kwa Lugha ingine they have no gender ama wanaweza wakachange gender.. mfano kuna jamii ya samak na Konokono.. kutegemea mazingira yaliopo hasa wakat wa kuzaliana na idadi yao basi wanyama
hawa wanaamua nani awe wa kiume au wakike

so hapo utaona kwa jibu la kisayansi a.k.a nature ishakuonyesha maisha yangeendele kama kawaida .. sababu mfumo ambao ungekuwepo ungejitosheleza

na pengine binadam wangekuwa hivyo na baso ungeuliza tena swali kuwa... "ingekuwaje kama Mtu asingekuwa na uwezo wa kujibadili jinsia akazaliwa na jinsia moja tu angepataje furaha "


2. Kiimani au Kidini.

Mungu muumbaji ambaye kaumba viumbe hai na dunia.. angeumba Dunia bila wanawake angeshaweka mfumo ambao ungejitosheleza.. kwasababu kila kitu hapa dunian kiko unique na kina kusudio lake.. yaan ukiondoa binadam ambao ndo spoilers wakubwa.. vilivyobak vyote viko balanced kuanzia wanyama, ndege had wadudu.. every single life under the sun compliments a circle of life.. only Humans... they do not respect a rule of thumb ya circle of life.. na rule of thumb ni moja tu nayo ni KWENYE KILA UNALOFANYA KUWA NA KIASI.. na usipokuwa na kias maana yake ww ni mroho na mwenye tamaa na hapo ndo utaanza kuharibu..
 
Mbona malaika wanaishi bila wanawake na wameweza sembuse sisi binadamu

Kila kitu kinawezekana hata adamu aliishi bustani Edeni kwa miaka mingi kabla ya kuletewa mwanamke

""Kila kitu kinawezekana chini ya jua""
Kusudi la uumbaji wa malaika ni tofauti na uumbaji wa mwanadamu. As a matter of fact issue za gender ziko huku kwenye ulimwengu mwili(physical).
 
Kama huwezi kuzihimili tamaa zako za mwili Basi hata ufalme wa mbingu utausikia kwa jirani

Huko peponi hakuna ngono kaka we, jiandae tu kisaikolojia kwamba unaweza kuishi hata Kama hakuna mwanamke pembeni yako


Tamaa za mwili kwa mwanamume na mwanamke zinakidhiwa kwa kujamiana na si vinginevyo, hiyo ndio njia pekee mujarabu aliyeiweka Mungu kudhibiti "genye" kinyume cha hapo ni mateso matupu.

Mungu sio wa mchezo, aweke "genye" kwa wanyama (mtu naye ni mnyama) halafu asiweke njia za kuidhibiti??!!, isitoshe hata mimea na viumbe hai wote wanazo "genye" na hiyo ndio njia inayohamasisha kuzaliana kwetu ama sivyo dunia yote isingalikuwa na viumbe hai kitambo sana.

NB: (Genye= Nyeg--).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…