Wanaume tuongee na Madaktari

Wiki 6 nyingi sana..
Ndo kuna kijeba huko kimesema ni muda mfupi, niache uongo,, huo sasa ndo muongozo wa serikali wiki 6, japo tunazidisha zaidi ya hapo miezi 3 sio mbaya, lakini huyo mume😜😜mkanganyiko ndo unapoanzia,
 
Ndo kuna kijeba huko kimesema ni muda mfupi, niache uongo,, huo sasa ndo muongozo wa serikali wiki 6, japo tunazidisha zaidi ya hapo miezi 3 sio mbaya, lakini huyo mume😜😜mkanganyiko ndo unapoanzia,
Sema ukiwa unampenda kwa dhati yaani mwanamke ameingia kwenye mfumo wa moyo wangu, aah naweza kukaa mpaka miezi 3 japo binafsi napenda kuzagamua naitamani kila siku πŸ˜†
 
Kuna uhusiano gani kati ya dokta na upana wa njia ya mkeo
 
Sema ukiwa unampenda kwa dhati yaani mwanamke ameingia kwenye mfumo wa moyo wangu, aah naweza kukaa mpaka miezi 3 japo binafsi napenda kuzagamua naitamani kila siku πŸ˜†
Wanaume km nyie ndo mnafanya wake zenu wawape kabla ya kupona, na panavyowasha basi burudani, na mwanamke aliyetoka kwenye uzazi inabidi umle taratibu sana km unatoa bikira ukiingia na nguvu na km una lidude ni rahisi kumuharibu,

Mkijaliana mbona mambo yanakuwa msupu tena tukizaa na genye zinaongezekaga tunajiachia sana, maana ile kazi ya leba huwa inatupa kujiamini na aibu zinakata, basi sarakasi zote tunacheza
 
Hamna kwa mimi nikipenda nakua na huruma mno akiwa katika hali kama hiyo au maradhi. Navumilia sana japo napenda kuzagamua 😜. Na ni kweli akiwa hali hiyo ni kiduchu, kiduchu taratibu kama ndiyo mara yake ya kwanza.

Nakumbuka niliwahi kuwa hoi vidonda vya tumbo vimekataa kuachia yale maumivu lakini nikataka nipewe mzigo na wifi yako hahaha huwa ananikumbusha tunacheka sana. Na kweli alinipa, mpaka kesho ananiona mimi ni alien πŸ˜‚
 
Wanaume wengi mnapenda sana mlikotokea, yani ukiona mwanaume kashindwa kabisa kula hiyo kitu hasa kwa kuugua basi ujue anaumwa hasa yani karibu na kufa labda ila vinginevyo atachomeka walau atulie tu, kuna mzee mmoja ye alikuwa anaiwekea mkono tu na kuipapasa, hiyo story ndo huwa naelewa mnavyopenda maku
 
Mi ni C-section ila nasikia wanaozaa kawaida inajirudi cute?
Tatizo watu wa mjini ukungwi wamwugeza biashara, pia mabinti wanadharau makungwi asilia wanapenda hao wa kimjini mjini.
Kungwi asilia lazima anafundisha mwanamke namna ya kukaa baada ya kujifungua. Kuna aina ya mikao inayorudisha qummer kwenye hali yake ya awali na kuondoa hali ya qummer kujamba jamba.

Tatizo hamsalimii watu tungewaelekeza makwingwi walipo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Uzi haujakaa vzr mpka unatusi taaluma ambavyo Leo hii ndo imeokoa maisha ya wamama na watt wng duniani .suala la kuongezwa njia n Kwa lengo zuri tyu ili kuokoa maisha ya mtt apite hayo mengine we unataka n anasa kwan mkeo n chombo Cha starehe ama shamba Bora ya kukuletea mazao bora Umeniharibia sifa ya taaluma yangu mkuu
 
Tuna jeuri mno
 
Hiki kielelezo kizuri sana cha ulegend kwenye kuichakata varieties of papuchi, ukaguzi wa kimedani na vipimo vya ruler. Utakuwa na access sana na papuchi za wanafunzi pia ipo hisia ya kinadharia hapa kuhusu hilo.

Hasa walaji wa papuchi za wanafunzi shule za wazi na wanareseat.

Ni hisia tu
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mungu asante kwa hii zawadi ulonipa. Sijui ungenipa barabara ya njia nne ingekuwajee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…