Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
TunapoelekeaMwishoe watu watakataa wasizae khaaah.
Mbombo ngafuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vitoto ni viwili basiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TunapoelekeaMwishoe watu watakataa wasizae khaaah.
Mbombo ngafuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inabana kwelii 😂Hivi hio kegal inabana k*** kweli? Au ni kamba za mitandaon tu...
Sent using Jamii Forums mobile app
ni uoga tuUnaweza kutuambia ni sababu ipi imefanya Wadada weeengi wakienda kujifungua wanataka Kuzaa kwa Kupasuliwa??
Kwanza ye tu anaweza pata ajaliHalafu yale usitukane wakunga. Kuna fibroid pia naona kama inakua kwa kasi sasa sijui nao watakimbiwa kwa kovu linatisha
Bas aache Mdomo mwanzisha threadkabisa inarudi
Anhaa.. basi ngoja kuna mtu hapa nikamshauri afanye hilo zoezi. I hope hatochukulia kama insult, lol [emoji2097]Inabana kwelii [emoji23]
Kuchana mchane nyie madaktari Kegel wafanye wake zetu kweli?
Tupe ushahidi wa Picha mkuu maaana watu wanaumwa kweli kwelikabisa inarudi
Hope sooAnhaa.. basi ngoja kuna mtu hapa nikamshauri afanye hilo zoezi. I hope hatochukulia kama insult, lol [emoji2097]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuchana mchane nyie madaktari Kegel wafanye wake zetu kweli?
Mmefanya wadada wanashinda Gym bila sababu.
Wakitumia Dawa za Uzazi wa Mpango MATUMBO HAYOOO.
Kwa ujumla Wizara ya Afya ina kasoro za kiutendaji nyingi sana na haina watafiti makini
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hao kina Jokate na Kajala unajuaje Hali zao, labda ni worse kuliko mkeo je?
Lile ni kovu la thamani.Chukulia ni kama kovu la Ajari.
Inabana kweli, ukishazoea unaipiga wakati wa tendo, waswahili tunaita kuifinyia Kwa ndani.Hivi hio kegal inabana k*** kweli? Au ni kamba za mitandaon tu...
Sent using Jamii Forums mobile app
MIMI LISSU NASEMA MIGA NDIYO KILA KITUHAPA SOLUTION NI KATIBA MPYA TU.
Soma tena alicho andika acha kukurupuka ...amesema kuwa mwanamke akisha kuwa bwawa inabidi mwanaume ili kufika kileleni avute sura za warembo wengine ili ku busty saikoloji ya kufika kileleniHao kina Jokate na Kajala unajuaje Hali zao, labda ni worse kuliko mkeo je?
Kwani zuzu dr sa100 anasemaje [emoji849]Wapo wengi sana sana tena maelfu kwa mamia.
Nina kisa cha kweli kimemtokea rafiki yangu wa kike kafukuzwa na mmewe na jamaa kamchana kabisa hana hamu naye. Katika maelezo dada anakiri kwamba eneo lake la uzazi baada ya kujifungua ana uwezo wa kuingiza vidole vyake vinne vikiwa vimekunjuliwa pasipo shida. Sasa hizo ni sm ngapi zilizoachwa??? Pumbaaaaaav sana nyie madaktar wa madesa mnatesa watu mpaka wanakusa kwa depression
Mbona mlikaa kimya sikuzote bila kusema kuwa mnasababisha mabwawa..hadi mzalendo mmoja qnakuja hapa kufumbua watu macho ...pumbafuu zenu madoctor....unapo linyamazia tatizo ujue unaliongezea nguvu na madharaSisi hufanya ili kuokoa maisha ya mtoto then mama.
Yaani mkeo kuongezwa njia kukuzalia mtoto unamuona Kawa bwawa.Soma tena alicho andika acha kukurupuka ...amesema kuwa mwanamke akisha kuwa bwawa inabidi mwanaume ili kufika kileleni avute sura za warembo wengine ili ku busty saikoloji ya kufika kileleni