Wanaume tuongee na Madaktari

Wanaume tuongee na Madaktari

Hiyohiyo unaifinyia ndani[emoji28]
Hii ndo kegel
Screenshot_20230204-124026_Google.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuchana mchane nyie madaktari Kegel wafanye wake zetu kweli?
Mmefanya wadada wanashinda Gym bila sababu.
Wakitumia Dawa za Uzazi wa Mpango MATUMBO HAYOOO.
Kwa ujumla Wizara ya Afya ina kasoro za kiutendaji nyingi sana na haina watafiti makini

Kwanza mm sio daktari. Ila ninachojua, mkeo hawezi "kuchanwa" bila idhini yake
Halafu gym ni kitu cha kukemea kweli? Mazoezi ni mazuri kwa afya, kwahio hata akifanya kegel sio mbaya. Matumbo yanasababishwa na chakula sio dawa za uzaz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapo wengi sana sana tena maelfu kwa mamia.
Nina kisa cha kweli kimemtokea rafiki yangu wa kike kafukuzwa na mmewe na jamaa kamchana kabisa hana hamu naye. Katika maelezo dada anakiri kwamba eneo lake la uzazi baada ya kujifungua ana uwezo wa kuingiza vidole vyake vinne vikiwa vimekunjuliwa pasipo shida. Sasa hizo ni sm ngapi zilizoachwa??? Pumbaaaaaav sana nyie madaktar wa madesa mnatesa watu mpaka wanakusa kwa depression
Kwani zuzu dr sa100 anasemaje [emoji849]
 
Soma tena alicho andika acha kukurupuka ...amesema kuwa mwanamke akisha kuwa bwawa inabidi mwanaume ili kufika kileleni avute sura za warembo wengine ili ku busty saikoloji ya kufika kileleni
Yaani mkeo kuongezwa njia kukuzalia mtoto unamuona Kawa bwawa.

Mnapata wapi hata ujasiri kwa ku discuss haya mambo kwanza?

Kwahiyo huoni kuwa thamani yake imeongezeka unawaza kawa bwawa kisa uvute sura za kina Jokate ndo ukojoe.
 
Back
Top Bottom