Wanaume tuongee na Madaktari

Wanaume tuongee na Madaktari

Kuna mbwa bado wanatukana wanawake: tunaleta viumbe vyenu duniani vinawafanya mnaitwa baba af saizi mnakejeli. Ndo maana wadada wengi wanaishia kulilia operation ili wamfurahishe mume ambae akija mtandaoni anamwita kiumbe dhaifu.

We The unpaid Seller njoo huku. Saizi tuombe madaktari watafute namna na we uwe unazaa labda utaacha kuita wanawake dhaifu.

Af mbaya zaidi unakuta mtu kama unpaid seller ana mbichwa kama gari la taka ataacha kurithisha watoto wake na mke akachanwa njia? Yani we ningekua nakaa na wewe ningekua nakutegeshea shoti ya umeme kila siku
 
Kwanini iishe? Mbona wanasemaga ukizaa ndio inazidi?

Jana mwijaku nilimsikia anasema Ke akizaa kawaida anakatika 8 inajaaa. Akamrefaa Lina Sanga na Mobeto

Et wa kisu hamna hiyo kitu?

Mtuambie
Tuchague njia kabisa IJN
Cc To yeye Kapeace
Nachojua uzazi unaharibu ile C ya kwenye tumbo la kike, hamu ya ngono inaongezeka hiyo ipo kwa wengi sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mlete aisee ila sasa aje na package nzima yaani baba na mama yake ila package kasoro nakurudisha ukamtafute baba mtu. Sitaka strong and independent woman mimi
😂😂Mbona umekuwa mkali hivo huoni nazeeka dadaako unataka nizae jua la jioni nikahangaishe manesi😀
 
Back
Top Bottom