Wanaume tupaze sauti tumtetee Mzee Shusho kwa udhalilishaji anaofanyiwa na Christina

Tina amezidi mdomo. Kuchangamana na kina diamond na yeye anajiona ni msanii wa kizazi. Shame on her
Changudoa tu anataka kuzau nyapu anatafuta gia tu ya kuingilia kwenye ulimwengu wa akina Amba rutty
 
Mzee nae aji gadina aseme kamko........za mara nyingi mama mtumishi asimbabaishe
 
Mkuu kawaida yetu wanaume huwa hatuongei hadi iwe kuna ulazima wa kuongea, busara ni kukaa kimya ukikaa kimya ndo kuitunza heshima yako na ukimjibu ndo unavunja heshima yako, wala hamna haja kushindana na mwanamke maana hamna tuzo ya kurushiana maneno.
Hadi sasa wenye akili wameshajua tatizo ni la nani wala huyo mzee hatakiwi kusema chochote.
 
Kukaa na uchungukifuani ndio tunajifia mapema sasa,kuna mdau hapo juu katoa mfano mmoja kuwa Jay Deena Gardner walipoachana Jay Dee kila sikuni kumtungia mwenzake nyimbo tu na vijembe kila siku,Garder akaamua kurusha kombora moja tu,Jay dee akaomba poo na wakawa marafiki kuanzia siku hiyo,wakati mwingine kujibu mapigo inasaidia kuweka upepo sawa
 
Uzuri ni kuwa huyo mwanamke kashaonekana mjinga ukimjibu tu ni sawa unajibizana na kichaa utaonekana na wewe kumbe kweli ulikua ni chizi
 
Jambo pekee ambalo ni la maana kwa Mzee Shusho ni kukaa kimya na kumpuuza
 
Mondi katuharibia mwimbaji wetu nguli.
Atakuwa alipiga double cluch
 
Mwacheni Tina apige hela anakopata hela rafiki yake Dayamondi...
 
Tina ana matako?
 
Mkipigwa chini yanawatoka sana, tulieni bana papuchi zipo nyingi....kamata nyingine endelea na maisha yako.

Malaya kisa kachoka kubeba mzigo? Kwahiyo aendelee kuteseka ili mumuone malaika??? Acha aishi apendavyo.....
Sijamsikia popote akisema ameteseka, zaidi kasimulia namna alivyotoboa, alivyopata fame, alivyosoma shule. Kwa namna yoyote ni mzee alimsapoti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…