Kweli kabisaWanaume hatupigani vita vya maneno na wanawake, hasa mitandaoni. Anachokifanya mzee ndiyo uanaume wenyewe. Kula buyu kama hakijatokea kitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisaWanaume hatupigani vita vya maneno na wanawake, hasa mitandaoni. Anachokifanya mzee ndiyo uanaume wenyewe. Kula buyu kama hakijatokea kitu.
Changudoa tu anataka kuzau nyapu anatafuta gia tu ya kuingilia kwenye ulimwengu wa akina Amba ruttyTina amezidi mdomo. Kuchangamana na kina diamond na yeye anajiona ni msanii wa kizazi. Shame on her
Mshamba mmoja tu ni wazi anajidhaliishaTina anaanza uhuni uzeeni
Kukaa na uchungukifuani ndio tunajifia mapema sasa,kuna mdau hapo juu katoa mfano mmoja kuwa Jay Deena Gardner walipoachana Jay Dee kila sikuni kumtungia mwenzake nyimbo tu na vijembe kila siku,Garder akaamua kurusha kombora moja tu,Jay dee akaomba poo na wakawa marafiki kuanzia siku hiyo,wakati mwingine kujibu mapigo inasaidia kuweka upepo sawaMkuu kawaida yetu wanaume huwa hatuongei hadi iwe kuna ulazima wa kuongea, busara ni kukaa kimya ukikaa kimya ndo kuitunza heshima yako na ukimjibu ndo unavunja heshima yako, wala hamna haja kushindana na mwanamke maana hamna tuzo ya kurushiana maneno.
Hadi sasa wenye akili wameshajua tatizo ni la nani wala huyo mzee hatakiwi kusema chochote.
Uzuri ni kuwa huyo mwanamke kashaonekana mjinga ukimjibu tu ni sawa unajibizana na kichaa utaonekana na wewe kumbe kweli ulikua ni chiziKukaa na uchungukifuani ndio tunajifia mapema sasa,kuna mdau hapo juu katoa mfano mmoja kuwa Jay Deena Gardner walipoachana Jay Dee kila sikuni kumtungia mwenzake nyimbo tu na vijembe kila siku,Garder akaamua kurusha kombora moja tu,Jay dee akaomba poo na wakawa marafiki kuanzia siku hiyo,wakati mwingine kujibu mapigo inasaidia kuweka upepo sawa
Tina ana matako?@mdukuzi ,kweli bwana,we die premature because of these kinds of women,kwasasa. Mzee SHUSHO anaonekana kichekesho ila angekua amefanyiwa Tina basi dunia yote ikiwemo wanaume wangeandamana kumtetea Tina,dunia ya sasa nikandamizi kwa mwanaume tena haina huruma namwanaume chakushangaza ,hadi wanaume tunajipendekeza nakushangilia alichokifanya Tina badala ya kupigwa vita hadi ajutie,media zinajaribu kutetea uzinifu wake,namakosa yakena nakuhalalisha alichokifanya as if nitabia njema Ktk jamii.eti tu kisa nimwanamke mwenye matako daahh????!!!!
Sijamsikia popote akisema ameteseka, zaidi kasimulia namna alivyotoboa, alivyopata fame, alivyosoma shule. Kwa namna yoyote ni mzee alimsapoti.Mkipigwa chini yanawatoka sana, tulieni bana papuchi zipo nyingi....kamata nyingine endelea na maisha yako.
Malaya kisa kachoka kubeba mzigo? Kwahiyo aendelee kuteseka ili mumuone malaika??? Acha aishi apendavyo.....