Wanaume tupaze sauti tumtetee Mzee Shusho kwa udhalilishaji anaofanyiwa na Christina

Wanaume tupaze sauti tumtetee Mzee Shusho kwa udhalilishaji anaofanyiwa na Christina

Tina amezidi mdomo. Kuchangamana na kina diamond na yeye anajiona ni msanii wa kizazi. Shame on her
anasema yeye ni mzuri, alikuwa mzurii mno mno. ajabu sana. watu wanasahau kuwa mwili huu ni udongo na bure kabisa.
 
Uzuri ni kuwa huyo mwanamke kashaonekana mjinga ukimjibu tu ni sawa unajibizana na kichaa utaonekana na wewe kumbe kweli ulikua ni chizi
imagine, hapa ndio yamefichuka, zamani miaka yote hiyo hadi watoto wapo vyuo, mzee ameumia kiasi gani? atakuwa ameteseka mno miaka mingi.
 
Huo ndo uanaume sasa, sio na yeye aanze kupayuka mtandaoni.
Sidhani kama mzee anaumia kama wewe unavyodhani!!
Media uchwara na wambea wapuuzi ndo watapata content na kuwadhalilisha watoto(kama wanao)..

Bora mzee kala buyu tu na asimjibu mtandaoni wala direct.
 
Kwa inavyoonekana Shusho Kaachwa.Hajaacha.NDOA imemshinda SO Hapo alipo bado ana wenge la TALAKA.Ananikumbusha Stori za Flora Mbasha.
Sema Christina siyo Shusho.
Shusho ni jina la aliye kuwa mume wake wa zamani.
 
Tina atakuja azeeke atamuacha mzee Shusho bado sana ataoa tu,mzee shusho hana cha kupoteza kwa huyo mother, sawa walizoeana lkn kwa hali ilivyo aachane nae tu,Tina saiv dalili zinaonyesha ni mjenzi,kumrudisha katika hali ya kawaida ni ngumu,bora mzee aangalie maisha yake na watoto wake na wala asimjibu chochote kbs asahau,
 
Hivi, Christina ana miaka mingapi?


Kwa Ule msambwanda alionao, na nguo za kubana mshepu anazozivaa nahisi Mondi...........
 
Ukubwa wa kitu inategemea na uhitaji wa huyo mtu, labda kwake kuwa mchungaji ni kikubwa kuliko kuwa mke
Ok, mimi ndio sababu huwa sijali kabisa chozi la mwanamke.

Naamini katika ndoa ni watu wawili wenye maslahi tofauti waliokutana kutimiza ndoto zao.

Ile habari ya "sasa mmekuwa mwili mmoja" ni uongo mkubwa.

Hakuna watu wasiopendana kama walio ndoani.
 
Mwenye maumivu ndio hunungunika 24/7. Ukipigwa tukio vizuri hauwezi msahau aliyekupiga tukio kila siku utalala naye utaamka naye. Apatiwe daktari wa akili.
Kabiiiiiiiiiisa yani mtu umuachishe wewe kuweweseka uweweseke weee mwenyewe haipogo hio!

Mental illness is real !
Huko kanisani sijui hata anahubiri vitu gani !

Christina Kavurugwa vibaya

Cc Smart911
 
ndio ni mimi nilisema kamwe usimhurumie mwanamke, usitoe msbda wowote kwa mwanamke hawanaga shukrani exception ni mama yoko mzazi tu
Ulikuwa sahihi mkuu, mzee wa watu kahangaika kukuza kipaji, kalipia kutengeneza albums za kutosha. End of the story anasemwa mitandaoni na majukwaani. Shame!
 
Back
Top Bottom