Wanaume tupewe nini?

Last edited by a moderator:


Sio wanaume....Ni huyo rafiki yako HAJIAMINI.
 
Kutakuwa na la zaidi ya hilo sema tu hapend kuexpose mambo yake
 
sumbai....
Namaanisha "necha" ya mwanaume ni kuhudumia, kumbuka mwanaume ni mlinzi na mlishi mkuu wa familia. Hususan wanaume wa kiafrika. Na necha ya wanawaje kutafuta ulinzi kwa mwanaume...kuwa na mwanaume ambaye anajua atamlinda na kumtunza yeye na watoto

Sasa kama mkitoka out bills zote mdada ana clear...hajawahi kukuomba hata hela ya saluni..... ukienda kwake kuko vizuri mara tano zaidi yako. Anachohitaji ni liwazo ty...kila mwanaume akijututumua mdada hastuki....

Hapo mwanume Atapata wapi confidence???? .... lazima mwisho wa siku 1. Akinbie au 2. Atafute mchepuko utakaojaza nafasi



 
Last edited by a moderator:
Kutakuwa na la zaidi ya hilo sema tu hapend kuexpose mambo yake

Labda kweli ila kitu alichosisitiza ni juu ya mwanamke kutotaka hela yake...ndo kero kubwa
Hizo nyingine kwake sio inshu
 

Kweli kwa mentality hizi za kiafrika basi tuna tatizo kabisaa naona.

Na hii pia inaweza kujistify unyonyaji wa wanawake.
 
Last edited by a moderator:
Sio tatizo bana na wala wanawake sio wanyonyaji.....

Ni vile jamii yetu imetengeneza hilo...



Kweli kwa mentality hizi za kiafrika basi tuna tatizo kabisaa naona.

Na hii pia inaweza kujistify unyonyaji wa wanawake.
 
RRONDO kwa hiyo kiroho safi tuuu,
Kujiamini asilimia mia.....

Wakati dada yangu BADILI TABIA anasema ni umarioo.. eti

Kivipi umarioo? Nijuavyo umarioo ni kupenda kuhudumiwa na mwanamke. Kwani rafiki yako kaomba ahudumiwe? Anajitahidi kuhudumia gf anamwambia asante au sihitaji tatizo nini. Yeye aendelee kumnunulia zawadi tatizo kazoea kuhonga ndio apewe. Ukizoea vya kunyonga vya kuchinja huwezi.

Mimi napenda sana wanawake jkama huyo nachukia sana ombaomba na kwa kusema hivyo zawadi nanunua na tukienda out nagharamia kila kitu na msaada natoa ikibidi,ila ombaomba hawa kwa kweli NO!!!
 

hio ya kung'ang'ania hadi bills kidoogo itafanya mtu ujisikie vibaya....lakini kama mwanamke kakuzidi kipato kosa lake nini? umkimbie ukatafute masikini? huko ndio kutojiamini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…