Wanaume tupewe nini?

Wanaume tupewe nini?

Hapana chakula cha watu wote Sema nilipitiwa na usingizi. Njoo uonje saussage

Duuu hizo vitu hata silagi yaani, yaani unalala unaamka tena ndio uanze kutafuta vya kula!!!
 
Duuu hizo vitu hata silagi yaani, yaani unalala unaamka tena ndio uanze kutafuta vya kula!!!

Yeah ndio hi yo tulikuwa kawe kwenye pati ya kujifariji baada ya kushindwa kwenye uchaguzi
 
Mkuu sumbai mtazamo wangu ni kama huu wa BADILI TABIA
Na hili tatizo linawakumba wadada wengi wenye vipato vinono, men wanashindwa kwenda nao sawa. Ila mwaume ukijitambua, ukaelewa na kukubali why she is doing that, mtaenda sawa.

Binafsi sioni shida kama hatumii kipato chake kuninyasanyasa. Wengi wa hivi wanataka mahaba na security baaasi, so ukimjulia unakula good time naye vizuri tu. Tatizo wanaume wa kiafrika inferiority complex inatusumbua balaaa

Kweli kabisa kaka mito ila huyu msichana sio kama anakipato cha juu saana ila ni wakawaida
 
Last edited by a moderator:
Weeee swahiba mi nipate bahati hiyo niiache tena, aahaa never on earth!!! As long as aninyasinyasi kwa kipato chake nitaenda naye sawa tu.

Kama uko kama huyo mdada unakaribishwa kwa roho nyeupe swahiba, teh teh teh!!

Pokea like,
Maana tangu lowasa ashindwe na kitufe chake kimepotea
 
Back
Top Bottom