Mtake radhi mume wangu tafadhali looh . Haya wewe kaangiza tu shem
Dogo unaendeleaje?
Niko poa dogo.
haupo peke yako sasa...wenzako nao wanatakiwa wapate huduma..we ukipata kila siku wenzako watapata nini??Pale inapobidi lini? Kila siku inatakiwa ibidi, toeni pesa bwana.
Hivi pesa inathamani kiasi gani katika moyo wako?
haupo peke yako sasa...wenzako nao wanatakiwa wapate huduma..we ukipata kila siku wenzako watapata nini??
Asilimia 99 ya moyo wangu ni pesa, hiyo moja ndio ilobaki kwaajili ya mambo mengine.
Watahudumiwa kwa wakati wao ila yangu iwepo tu muda wote.
Ngoja Nile kwanza nitarudi Nina njaa
na wewe unatakiwa uwe tayari kutumika mda wowote...haina pooo hiyo....
Na ninavyopenda sasa mbona wewe ndio utaomba poo.
Hapana chakula cha watu wote Sema nilipitiwa na usingizi. Njoo uonje saussageKhaaaa hicho chakula gani cha usiku wa manane? Au chakula cha wakubwa?
utapendaje wakati hauna hisia kwa 99%...
Na ninavyopenda sasa mbona wewe ndio utaomba poo.
Hapana chakula cha watu wote Sema nilipitiwa na usingizi. Njoo uonje saussage
Duuu hizo vitu hata silagi yaani, yaani unalala unaamka tena ndio uanze kutafuta vya kula!!!
Pesa ni orgasm tosha kwangu, we toa tu uone mambo yanavyonyooka.
Mkuu sumbai mtazamo wangu ni kama huu wa BADILI TABIA
Na hili tatizo linawakumba wadada wengi wenye vipato vinono, men wanashindwa kwenda nao sawa. Ila mwaume ukijitambua, ukaelewa na kukubali why she is doing that, mtaenda sawa.
Binafsi sioni shida kama hatumii kipato chake kuninyasanyasa. Wengi wa hivi wanataka mahaba na security baaasi, so ukimjulia unakula good time naye vizuri tu. Tatizo wanaume wa kiafrika inferiority complex inatusumbua balaaa
Weeee swahiba mi nipate bahati hiyo niiache tena, aahaa never on earth!!! As long as aninyasinyasi kwa kipato chake nitaenda naye sawa tu.
Kama uko kama huyo mdada unakaribishwa kwa roho nyeupe swahiba, teh teh teh!!