Wanaume tupewe nini?

Jamaa yupo sahihi kumshangaa huyo gf wake ni sawa na fisi kufungiwa bucha then asile hata kinyango kimoja.


All in all wanaume wanahitaji
1 . elimu

2. Elimu

3. Elimu

Ahaa mkuuu hapo elimu ya aina gani? Men ni graduate....kabisaa.
 
Huyo binti anaumwa akili haki vile, yaani nigharamie!!! Uwiiii hata kuwaza tu sijawahi yaani, ameniudhi kweli wa wapi huyo!!! Agggggrrrrrrr!!

Kwa hiyo tatizo lipo kwa binti? Kushindwa kutafuna pesa tamu.....

Binti wa mbeya tho ameloweya huu ''mji wa mawe"
 

Nlijuwa tuuu kwa wewe huwezi.... wewe ni tofauti na dada-shemeji atoto
 
Last edited by a moderator:
Hivi pesa inathamani kiasi gani katika moyo wako?

Asilimia 99 ya moyo wangu ni pesa, hiyo moja ndio ilobaki kwaajili ya mambo mengine.

Teh teh hapa naiona tofauti kati ya atoto na dada mtumishi Heaven Sent
utapendaje wakati hauna hisia kwa 99%...

Pesa ni orgasm tosha kwangu, we toa tu uone mambo yanavyonyooka.


Hapo tena na hizo fake orgasim paka mwenyewe utashangaaa...

Nimekivulia kofia dada-shemeji atoto
 
Last edited by a moderator:
Teh teh hapa naiona tofauti kati ya atoto na dada mtumishi Heaven Sent





Hapo tena na hizo fake orgasim paka mwenyewe utashangaaa...

Nimekivulia kofia dada-shemeji atoto
Teh kaka mtumishi em niachie mama angu mdogo bana atoto. Wewe Mpe tu hela, yani Mpe tu hela mwenyewe wala hatokusumbua. Ila ukijifanya wallet yako haifunguki ndo lazima atakukurupusha kidogo
 
Last edited by a moderator:
Teh kaka mtumishi em niachie mama angu mdogo bana atoto. Wewe Mpe tu hela, yani Mpe tu hela mwenyewe wala hatokusumbua. Ila ukijifanya wallet yako haifunguki ndo lazima atakukurupusha kidogo
Mwanamke mzigo kama huyo atoto nani anataka? mtu ambaye akili zake bado zipo kwenye karne ya 20 wakati wenzake wapo karne ya 21. Mwanaume anayevutana na huo msalaba ana kazi kweli. Lakini dawa yake ni kuli.tia nyuma tu hafu kulitupa kule.
 
Kwa hiyo tatizo lipo kwa binti? Kushindwa kutafuna pesa tamu.....

Binti wa mbeya tho ameloweya huu ''mji wa mawe"

Yaani hata simuelewi huyo binti, hilo litakuwa pepo ngoja nitamfanyia maombi

Nlijuwa tuuu kwa wewe huwezi.... wewe ni tofauti na dada-shemeji atoto

Khaaaa angekuwa tofauti si angekuwa na masikini? Huoni nae kaenda zinakomwagika tu.
 
Last edited by a moderator:
Teh kaka mtumishi em niachie mama angu mdogo bana atoto. Wewe Mpe tu hela, yani Mpe tu hela mwenyewe wala hatokusumbua. Ila ukijifanya wallet yako haifunguki ndo lazima atakukurupusha kidogo

Hahahaaaa! My dota vipi zile gift paper unaleta lini? Natolewa zawadi mwenzio nimemwambia anitafutie sonko sio kimeo ndiko akanikabidhi.
 
Last edited by a moderator:
Mwanamke mzigo kama huyo atoto nani anataka? mtu ambaye akili zake bado zipo kwenye karne ya 20 wakati wenzake wapo karne ya 21. Mwanaume anayevutana na huo msalaba ana kazi kweli. Lakini dawa yake ni kuli.tia nyuma tu hafu kulitupa kule.

Kumbe bado upo hai daaah!! RIP again.
 
Yaani hata simuelewi huyo binti, hilo litakuwa pepo ngoja nitamfanyia maombi
Teh teh.....
Yashindwe maombi yako. Maana i hope hata mungu hapendi. Ubepari


Khaaaa angekuwa tofauti si angekuwa na masikini? Huoni nae kaenda zinakomwagika tu.

Ni huko kwa mdhungu paulo de..nani sjui??
 
Hahahaaaa! My dota vipi zile gift paper unaleta lini? Natolewa zawadi mwenzio nimemwambia anitafutie sonko sio kimeo ndiko akanikabidhi.
Tunatafuta box kubwa angalau mtunukiwa zawadi ajue amepata hata washing machine kumbe ndani tumemwekea boko haram wake hahhaha
 
Kumbe bado upo hai daaah!! RIP again.
Unatamani ni-Rip!!! kwa kusema wewe sio wa karne hii??? Ila sioni tatizo maana watu kama wewe mna umuhimu wenu. Nikizidiwa nitakutafuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…