figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Salaam Wakuu,
Hivi inawekekanaje Mwanamke anakukalisha chini, anakupiga na mwiko huku kakukanyaga na mguu na ndani hajavaa kifuli, halafu mwanaume unalia kama mtoto mdogo?
Ni nguvu gani wanatumia? Kwangu nahisi haiwezekani nikiwa hai.
Nibwakati wa Wanaume tuamke tuwasaidie wanyonge.
Mkeo anakupiga marafiki zake wanashangilia😭
Hivi inawekekanaje Mwanamke anakukalisha chini, anakupiga na mwiko huku kakukanyaga na mguu na ndani hajavaa kifuli, halafu mwanaume unalia kama mtoto mdogo?
Ni nguvu gani wanatumia? Kwangu nahisi haiwezekani nikiwa hai.
Nibwakati wa Wanaume tuamke tuwasaidie wanyonge.
Mkeo anakupiga marafiki zake wanashangilia😭