Wanaume tusilaumiwe kwa kutongoza watu wetu wa karibu ( wanawake )

Wanaume tusilaumiwe kwa kutongoza watu wetu wa karibu ( wanawake )

Tajiri Sinabay

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
1,333
Reaction score
3,619
Hongereni na poleni kwa pilika wakuu.

Kwanza ukaribu ninaouzungumzia hapa ni kama vile, Shemeji, jirani, mpangaji mwenza, bosi, mfanya kazi, mangi unae muungisha, mteja anaekuungisha, boda boda nk.

Kuna hii tabia ya wanawake kututangaza kwa watu, kukusema vibaya eti kwa sababu tu umemtongoza na alikuwa anakuheshimu.

Niwaambie kitu leo na mukiweke akilini siku zote.

Mwanaume anapo kutongoza wakati muna ukaribu mkubwa sio akili yake ya kawaida, bali kuna nguvu ya ushawishi inayotokana na ule ukaribu ndiyo huwa inamsukuma. kuthibitisha hilo ni baada ya kukataliwa ndiyo akili humrudi na kuanza kuona haya/aibu.

Hata kama mwanamke ni mbaya kiasi gani ile hali ya kuwanae karibu tu inaweza kumgeuza mwanamke huyo kuwa ni mwamke mzuri mno mbele ya mwanaume.

Kwa maoni yangu kuipunguza hali hii, inatakiwa mwanamke uwe kauzu muda mwingi kwasababu inapunguza ile hali ya mwanaume kuona/kufikiri anaweza kukupata akikutongoza.

Ni mimi Kijana masikini
Muwe na usiku mwema.
 
Hongereni na poleni kwa pilika wakuu.

Kwanza ukaribu ninaouzungumzia hapa ni kama vile, Shemeji, jirani, mpangaji mwenza, bosi, mfanya kazi, mangi unae muungisha, mteja anaekuungisha, boda boda nk.

Kuna hii tabia ya wanawake kututangaza kwa watu, kukusema vibaya eti kwa sababu tu umemtongoza na alikuwa anakuheshimu.

Niwaambie kitu leo na mukiweke akilini siku zote.

Mwanaume anapo kutongoza wakati muna ukaribu mkubwa sio akili yake ya kawaida, bali kuna nguvu ya ushawishi inayotokana na ule ukaribu ndiyo huwa inamsukuma. kuthibitisha hilo ni baada ya kukataliwa ndiyo akili humrudi na kuanza kuona haya/aibu.

Hata kama mwanamke ni mbaya kiasi gani ile hali ya kuwanae karibu tu inaweza kumgeuza mwanamke huyo kuwa ni mwamke mzuri mno mbele ya mwanaume.

Kwa maoni yangu kuipunguza hali hii, inatakiwa mwanamke uwe kauzu muda mwingi kwasababu inapunguza ile hali ya mwanaume kuona/kufikiri anaweza kukupata akikutongoza.

Ni mimi Kijana masikini
Muwe na usiku mwema.
Kama wewe ni mchaga na mpare sawa. Kwani, hata dada zenu mnachukua.
 
Mwanaume anayejitambua na kujidhibiti, hawezi kutongoza shemeji, mpangaji mwenzake, bosi wake, mfanyakazi na watu wa aina hii. Kwa kuwa inahitaji akili kidogo tu kujua kufanya hivyo kuna madhara makubwa kuliko faida.

Kuwa mwanaume mwindaji, ambaye una uwezo wa kwenda porini na kuwinda. Usivizie mbuzi wa jirani kwa sababu huo ni WIZI.

Usijiendekeze. Ulafi haufai...
 
Ukaribu ukaribu ukaribu. hapa najuwa tuatibashana bure tu, lakini kama wewe ni mwanaume ishakutokea mara nyingi tu. Mwanamke hata hukuwahi kumuwazia Kingono lakini baada ya kuwa nae karibu ukaanza kupata hizo fikra.
Siwezi kukuelewa kusema eti ilishanitokea utadhani uko kichwani mwangu. Acha kuendekeza uchafu mwanangu. Dada zenu watadoda hata kama mnawazini. Wanahitaji kuolewa.
 
Mwanaume anayejitambua na kujidhibiti, hawezi kutongoza shemeji, mpangaji mwenzake, bosi wake, mfanyakazi na watu wa aina hii. Kwa kuwa inahitaji akili kidogo tu kujua kufanya hivyo kuna madhara makubwa kuliko faida.

Kuwa mwanaume mwindaji, ambaye una uwezo wa kwenda porini na kuwinda. Usivizie mbuzi wa jirani kwa sababu huo ni WIZI.

Usijiendekeze. Ulafi haufai...
Mkuu mwanaume anaejitambua anakuwa na sifa gani nyingine? Nataka nipime hili wimbi la wanaume wanaofanya hivi kila kunapokucha kwamba wote hawajitambui.
 
Mkuu mwanaume anaejitambua anakuwa na sifa gani nyingine? Nataka nipime hili wimbi la wanaume wanaofanya hivi kila kunapokucha kwamba wote hawajitambui.
Anatambua kuwa udhaifu ni kutumia 'udhaifu' wa wanawake ili kuwapata.
Daktari kumtaka mgonjwa wake ili amtibu.
Mwalimu kumtaka mwanafunzi ili amfaulishe.
Bosi kumtaka mfanyakazi ndipo amlipe.
Mdai kumtaka mdeni ili wamalizane.

Hizo ni tabia za wanaume wadhaifu ambao kiwango kidogo cha homoni za kiume na wabovu kutafuta. Wanasubiri mbuzi afie kwa muuza supu!
Hawa ndiyo wanaofanya wanaume tuonekane 'katili' wakati sivyo.
____
Na hao wote wanasumbuliwa na uhaba wa wanawake. Hawajui kutongoza na washamba.
Mwanaume mwenye uwezo wa kutafuta, hasubiri kamba ikatikie pabovu.
____
Kuanzia asubuhi ya leo jifunze hili, toka nje, kakutane na wanawake, watongoze na uwakaribie. La sivyo utakuwa hatari kwa wanawake waliokuzunguka.
Na ninyi ndiyo huwa mnabaka hadi mabinamu.

LOSERS WITH LOW TESTOSTERONE!
 
wanaume wanaofanya hivi kila kunapokucha kwamba wote hawajitambui.
Ni kweli WOTE wanaofanya hivyo hawajitambui.
Na ndiyo maana unasikia kila siku kuwa idadi ya wanaume inapungua.

Halafu ubovu mwingine ni kuwaweka karibu watu unaowataka kimapenzi.
Ukimtaka mtu, mfuate mtongoze, siyo kujiweka karibu kwa gia ya urafiki ama undugu.
Ndiyo maana wanawake wanawachukulia kama 'kaka zenu' kwa sababu hutegemea kama unawataka uwakabili, siyo kujishikiza kama kupe!

Tongoza. Akikataa kula kona, katafute pengine. Siyo kuanza kwa urafiki, kisha ukikataliwa uwe na hatia mbilimbili.
____
Wanawake wanapomtaka mwanaume, huwa wanajiweka karibu kwa sababu wao hawawezi kutongoza. Mwanaume akitaka, ananyooka tu!
____

Na pia, mwanaume anaanzaje kumzoea shemeji yake hadi kufikia hatua ya kutongozana?
 
Back
Top Bottom