Wanaume tusilaumiwe kwa kutongoza watu wetu wa karibu ( wanawake )

Wanaume tusilaumiwe kwa kutongoza watu wetu wa karibu ( wanawake )

Kuna jamaa yangu narudia tena jamaa yangu siyo mimi alikua anamuona demu flani hivi wa kawaida sana sasa siku moja wakati wanapishana kwenye corridor bahati mbaya akagusa nyonyo ya yule demu kwanzia hapohapo anamuona yule demu kama Beyonce

Zingatia ni jamaa yangu siyo mimi.
🤣🤣🤣🤣 okee ni jamaa yako.
 
Sawa, kwanza niseme sina binti, ila ikitokea ninae na nikapata hiyo taarifa ya kutakiwa kimwili na mwalimu wake. Nitakacho kifanya ni kuendelea kumkumbusha binti yangu madhara ya kushiriki ngono katika umri wa shule.

Upande wa mwalimu (mwanaume wenzangu) siwezi kuuchukulia maamuzi yoyote yale (nitaacha kama ilivyo)
Siongei hivi kwa sababu ya kutetea bandiko langu bali ni msimamo wangu katika maisha.

Nilshawahi kufanya hivi kwa mtoto wa sistaangu ambae nilipewa jukumu la kumlea, alianzisha mahusiano na dogo flani hapa kitaa.

Kwa kuongezea. nilishawahi kufanya hivi kwa aliyekuwa mke wangu ambae alianzi pia mahusiano nje ya ndoa
Nashuku ndoa yako ilitamatika baada ya mkeo kuona una vitu haviko sawa, ndiyo maana hata unaona kutongoza shemeji ni 'ujanja' wa kiume.
 
Nashuku ndoa yako ilitamatika baada ya mkeo kuona una vitu haviko sawa, ndiyo maana hata unaona kutongoza shemeji ni 'ujanja' wa kiume.
Sio dhambi wewe kuhisi hivyo.

Hakuna mahali nimeandika kwamba 'kutongoza Shemeji ni ujanja'
 
Chaiii ushawahi kutana na sura mbovu hadi unatamani kutapika wee acha kabisa kuna madem ni wabovu weeee Mwenyezi Mungu wahurumie tu maaana sio poa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hao wenye sura mbovu sasa ndio wanakuaga na K tamu hataaari, unaikuta mnato halafu ya motooo iko na full utelezi, hapo ndipo nnapoukubaligi ule msemo wa Mungu hakunyimi vyote.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hao wenye sura mbovu sasa ndio wanakuaga na K tamu hataaari, unaikuta mnato halafu ya motooo iko na full utelezi, hapo ndipo nnapoukubaligi ule msemo wa Mungu hakunyimi vyote.
Kwangu mimi hapana kwa kweli wabaki na k zao tu
 
Kama siyo uboya, maana yake ni ujanja?
Hizo maana zote unazileta wewe kwa kuzibadilisha mkuu, bandiko langu mbona liko wazi, labda pitia tena uone kama kuna mahali nimeandika ni uboya ama ni ujanja kutembea (kungonoka) na shemeji
 
Hizo maana zote unazileta wewe kwa kuzibadilisha mkuu, bandiko langu mbona liko wazi, labda pitia tena uone kama kuna mahali nimeandika ni uboya ama ni ujanja kutembea (kungonoka) na shemeji
Mimi nakuuliza swali sasa; mtu anayejihusisha na shemeji yake unamchukuliaje, mjanja ama boya?
 
Back
Top Bottom