Wanaume tutoe ya moyoni tusije kufa nayo

Wanaume tutoe ya moyoni tusije kufa nayo

Umenena vema sana mkuu.
Nyie ndo huwa mnamwagiwa tindikali au hata kuwekewa sumu kwenye chakula, halafu baadae mnasema wanawake wana roho mbaya.

Mtu akakuvumilia muda wote huo unamcontrol kama roboti halafu mwisho wa siku unasema humuoi kisa hutaki ndoa ya bomani, wakati unamchakata hukujua dini ni tofauti, unalea mimba unampa ahadi za ndoa mpaka unaruhusu azae, atunze siri alooo.

Na huyo mtoto asikutambue kamwe kama wewe ndie baba yake maana ni mbinafsi sana, hutamlea vizuri.
 
Mwanaume halisi hakatai mtoto hatakama kazaa na mama yake mzazi. Mwanaume kamili siku zote anaoekana kwa matendo yake, wewe ulikosea tokea mwanzo

Acha uoga wewe ni Baba.. sasa kama unataka kuwa baba bora lazima ujisucrifice kwaajili ya mwanao haijalishi utaokwa kwenye moto wa gesi.
 
Mwanaume halisi hakatai mtoto hatakama kazaa na mama yake mzazi. Mwanaume kamili siku zote anaoekana kwa matendo yake, wewe ulikosea tokea mwanzo

Acha uoga wewe ni Baba.. sasa kama unataka kuwa baba bora lazima ujisucrifice kwaajili ya mwanao haijalishi utaokwa kwenye moto wa gesi.
Sijakataa mtoto boss na siwezi enda kichwa kichwa na hajasema Kama mm ndo baba nikifanya vibaya anaweza kunikataa na nikawa Sina Cha kufanya
 
Ni dhambi mwanaume kuongea kwa kutumia moyo, mwanaume kutoa hisia Mbele ya kadamnasi ni sawa na baba kulia mbele ya mtoto wake mdogo wa kike.
 
Ni dhambi mwanaume kuongea kwa kutumia moyo, mwanaume kutoa hisia Mbele ya kadamnasi ni sawa na baba kulia mbele ya mtoto wake mdogo wa kike.
Kupata relief ni Jambo jema kuliko kufata watu wanavyoishi na kuishia kuumia moyoni na kukosa sehem pa kusemea
 
28/05/2023 Mbumbumbu wamekuwa mfano bora kabisa kwa kutoa dukuduku jinsi wanavyoteseka kushabikia timu bovu lililokaa zaidi ya miaka miwili bila kombe lolote [emoji23]

Yanahamia hamia tu kwenye timu za wageni kama wakimbizi.

Mara yajiite Africain, Rivers Utd, yakajiita TP Mazembe, Marumo Gallants, sasa hivi yanajiita USM Alger [emoji1787]

Tunaamini mpira hudunda na Mungu anaenda kuyaumbua Makolokolo 03/06/2023 Yanga ikishinda ugenini 2-0 na kuwa Bingwa mpya wa CAFCCL 2023.

Mungu ibariki Young Africans, Mungu ibariki Tanzania [emoji122]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Utasubiri Sana kumfunga huyo mwarabu alger, utafungwa wewe magoli mengi huko kwao... 😁😃
 
Omba Mungu Mwenyezi, akusamehe dhambi hiyo ya uzinzi umeifanya.

tulia, acha mawenge, ukweli utajulikana baadaye.

tafuta pesa na mafanikio binafsi, siku nyingine usitengwe.

vuta Sana mmea wa bangi utakusaidia kupanua, kukuza akili kwa kiwango Bora. 😁😊
 
Back
Top Bottom