Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Seems like your mindset is still in the Stone Age Era. Let me break it down for you.

Wanawake siku hizi tumeelimika. Tunaenda na kasi ya maisha. Akili zetu zipo kimaendeleo zaidi. Tuna focus kwenye elimu, biashara na ajira ili kujiingizia kipato maisha yaende.

Bado tunapenda na kuheshimu ndoa, lakini Ni muhimu tuingie kwenye ndoa tukiwa na maisha yetu, na hela zetu. Hata tukiingia na kibanda chetu na kiusafiri Kuna tatizo kwani?

Kulewa na kuzaa kupo tu. Tusake maisha kwanza.
Kwa hii mentality labda ukaoe wewe tena marioo, shilole yule pale anagawa kama biscuit.

Nani kakwambia sisi wanaume tunashida na mwanamke mwenye elimu inayompa ujuaji badala ya kumpanua fikra na kuijua nafasi yake zaidi?!

Statistics don't lie, tazama uhalisia now days wanawake wanaokwenda shule wengi wao wanafeli kutambua roles zao, si katika malezi ya watoto, si katika majukumu ya nyumba na pia muhimu zaidi nafasi zao katika maisha ya ndoa na kwa mwanaume. Ndio maana wanaishiwa kupigwa pumbu na wanaume za watu, kuzalishwa na kuongeza idadi ya single mothers mtaani.

Wewe bishana na uhalisia kujifurahisha ila the day ukweli utakapokamilika katika macho yako hatutakuwa hapa kufanya tena discussion. Mimi nitakuwa na familia yangu wewe utaendelea na maisha umechagua.....
 
Hahaaa una matatizo wewe Yani umri wa wanawake ukuumize ili iweje maisha ni zaidi ya ngono, na jifunze ku mind bussiness yako mwisho utakuwa mchawi sasa, maisha na umri wa watu ambao ni Jambo la kawaida vikuumize jichunguze wewe
Wewe umejuaje kuwa anafuatailia maisha ya watu?! What of its his business kufuatilia maisha ya watu?!

Mbona wewe umefanya hii topic your personal business?!
 
Mwenyewe ukasema tustick kwenye point na wakati ulianzisha mwenyewe mada ya ubank teller
Ukaja tena kuchambua vyeo vya wafanyakazi wa bank na huku pale juu umesema tustick kwenye point

Nimekujibu lakini bado umekuja na ramli zako chonganishi.
Inaonyesha huelewi hata unachokijadili.

Bora umekubali kwamba unaenda kutafuta hela,
Sijasema hujasoma nimesema inaonyesha bado hujajua kusoma vizuri
Uwe unasoma vizuri kabla hujadandia kunijibu .

Mimi sipambani na umri wangu pole sana[emoji1787]
Uliye na stress ni wewe unayekuja kujadili watu.
Utopolo mtupu
Pambana na hali yako
 
Nilijua tuu MAPOVU Hayatakosa

Kosa la mtoa Mada Liko Wapi ??
Kwan ni uongo wadada wenye 27+ Swala la ndoa Linawapasua vichwaa ??

Kila Siku Tunapishana nao makanisani wanaombewa Au mumesahau upepo wa kisurisuri wa marehemu Mama Rwakatare

The issues is TUWE NAO MAKINI Sababu wako Desperate na Ndoa Mbona Mada inaeleweka
[emoji28][emoji28][emoji1]
Achana nae huyu, daily yeye nikuja na defense mechanism na hajielewa, one day atakalishwa maana hapo alipo tayari kuna kabwana mdogo au njemba inampumulia begani na huwa analainika sasa sisi anatuletea ugumu gani na mtu akikunjwa huwa analegea wakati mtu anamkaza......

Huwa najutia sana kubishana na watoto wa kike sometimes. Vijitu vinaishi kwa sapoti ya wanaume halafu tena vitupandishie kibesi..... Chapa makofi kabisa takataka hawa...
 
Nyie wachagueni weeee umri sura, shape kila kitu mutakao waacha niachieni mm plz..... [emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481] sina makuu kbsa! Chagueni weeeee the rest niachieni niwatunze watunzike ss wote binadamu kutengana ya nn?? Naifuata sheria below 18 pambania mechi zako za masomo ila wengine woote krbuni [emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481]#MbinguniDirect #SinyanyasiMtu
 
Wewe una matatizo ya kisaikolojia Yani umri wa wanawake ukuumize, naona umeumizwa na huyo dada Sasa kuja kupoza machungu ukaamua uanzishe Uzi ili kujipa matumaini hewa ya kupata faraja, nasema tena pole Sana kwa kuumizwa huko umri wa binadamu lazima uongezeke tu bila kujali jinsia so hoja yako haina mashiko
Bivie ungejaribu kujibu hoja kidogo ingekuwa jambo la busara sana.

Nakukumbusha hakuna kazi ngumu kama kuukataa ukweli, maana ni kazi bure.
 
Back
Top Bottom