Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mada kama hizi wengine huwa tunazipita tu maana tumeshakuwa bachelor Sugu mpaka ukikitazama kitanda kinakuwa kama kinakuuliza.
" Bro na leo unalala peke yako ?

Yote maisha tu
 
Yani labda umpige huyo mwanaume nikiwa sipo around!
Nakuzabua vile hujawahi zabuliwa na huyo bogus wako wakiume namnyoosha pia ajifunze kutofanywa lolote na mwanamke.
Tena wewe na kuzibua mwenyewe.
Mwanaume wangu hawezi gombana na vitu vya ajabu [emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23]mkuu punguza ukali wa maneno..eti wastaafu!
 
Hili hata mimi limenishangaza sana, ikiwa hivyo Basi Tz Kuna matajiri wengi Sana.
 
Wenye akili kubwa hawawazi ka mleta mada anavowaza wanawaza vitu vikubwa, Yani mwanaume anawaza wanawake kuolewa je wanawake wote wa ukoo wake wameolewa, Hana kazi za kumkeep busy huko aliko
Wewe ndio unajua hilo, hayo mambo makubwa ni yapi?! Nyie ndio mnafanya Tanzania inakuwa nchi masikini kwa kutuongezea idadi ya masingle mother kutokana na akili zenu hizi za kidangaji
 
Kunguza hasira, kumbuka huo ni mtazamo wake, hata nyinyi wanawake mnamitazamo yenu na preferences zenu. Muhimu nilichokiona ni kutuasa wanaume kuwa IF WE ARE DATING SUCH AGED WOMEN, LET US NOT PLAY WITH THEIR FEELINGS.
Hawa ndiyo wanaofanya wanawake waanze kujiona hawafai
Na wanataka kuja kuaminisha watu huku kuwa hao watu hawafai.
Lazima tuwanyooshe
 
Mimi dating pool yangu ipo age-limited to 18 ~ 22 and she must be in college. Hao wanawake wakubwa (past 25 years old) wana emotional buggage plus insecurities after a series of years being pumped and dumped.
Well said boss
 
Acha kuwatia ujinga watoto wa watu..... Ndoto gani hizo.... Mtu anatombwa na wanaume tofauti is that part of ndoto?!
 
Hizi kashfa sasa

Eti wastaafu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kama umekwazika kunywa maji mengi upoe. Sexually mwanamke anakuwa kwenye active service akiwa 18-(25) 30 baada ya hapo mwili unaanza kupoa na akifikisha 45 ni muda wa kutundika daruga

Je mwanaume? Life starts at 40.

Cc in ha
 
Kunguza hasira, kumbuka huo ni mtazamo wake, hata nyinyi wanawake mnamitazamo yenu na preferences zenu. Muhimu nilichokiona ni kutuasa wanaume kuwa IF WE ARE DATING SUCH AGED WOMEN, LET US NOT PLAY WITH THEIR FEELINGS.
That was my point and nothing else
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…