Bado ni katoto. Wakifika ule umri huwa tunazungumza nao lugha moja ya kiume. Wanakuwa wapole, waelewa na wamapokea hata mwanaume mbeba viroba ujuaji wote unakuwa mfukoni.Stress sio poa, kama huyo Cariha nina uhakika umri umeendaaa sana halafu namba hazisomi
nadhani mtoa mada ka alipaka mtu mafuta kwa mgongo wa chupaSijui kwanini sikuhizi nikisoma nyuzi humu naona kabisa nadanganywa na natofautiana nazo.
Kuna mawili labda nyie wenzangu mnazidi kuwa wajinga au mimi ndiye nazidi kuwa mjinga.
Yaani kweli wanawake 27+ ambao hawajaolewa wengi wao wao ni watoto wa kishua???
Anajikuta mwana harakati wa wadangaji halafu hapo hapo tena anawaponda....!Kwani tabia za kidada zina tatizo gani?? Kwani wadada sio watu??
Sijaona kama hiyo ndiyo intension ya mleta mada. Ukisoma kwa makini kiasi flani ameongea ukweli, swala la final commitment kwa wanawake liko limited with age. Kufocus kwenye ajira, kipato, elimu ni swala jema kabla ya wedding rock na wanaume wanaojielewa na wanaotaka kusettle, wenye njaa ya maendeleo kifamilia tuko tayari kuingia katika mahusiano na wanawake wa aina hiyo.Hawa ndiyo wanaofanya wanawake waanze kujiona hawafai
Na wanataka kuja kuaminisha watu huku kuwa hao watu hawafai.
Lazima tuwanyooshe
Kunguza hasira, kumbuka huo ni mtazamo wake, hata nyinyi wanawake mnamitazamo yenu na preferences zenu. Muhimu nilichokiona ni kutuasa wanaume kuwa IF WE ARE DATING SUCH AGED WOMEN, LET US NOT PLAY WITH THEIR FEELINGS.
Wewe ndiyo umesema kutombwa na wanaume tofauti tofauti.Acha kuwatia ujinga watoto wa watu..... Ndoto gani hizo.... Mtu anatombwa na wanaume tofauti is that part of ndoto?!
Kila mwanamke ana kipau mbele chake tofautiSijaona kama hiyo ndiyo intension ya mleta mada. Ukisoma kwa makini kiasi flani ameongea ukweli, swala la final commitment kwa wanawake liko limited with age. Kufocus kwenye ajira, kipato, elimu ni swala jema kabla ya wedding rock na wanaume wanaojielewa na wanaotaka kusettle, wenye njaa ya maendeleo kifamilia tuko tayari kuingia katika mahusiano na wanawake wa aina hiyo.
Acha ujingaAnajikuta mwana harakati wa wadangaji halafu hapo hapo tena anawaponda....!
Ukiwa mkweli sharti usiogope mapovu. Mwanamke anakuwa kwenye kilele cha uzuri wake akiwa kwenye umri kati ya 18+30.
Kama unataka mwanamke wa kuoa ambaye atakuheshimu na kukufurahisha otea kwenye 18-25.
Mungu mwenyewe alimteua mwanamke amzaye Yesu pindi Bikira Maria alipokuwa kwenye 17-19, akiwa bado mbichi kabisa....sasa wewe unaenda kuokota wastaafu wa 30-40 umekuwa nyumba ya kutunza wazee?
Sawa mstaafu mwenzaoUkiwa mkweli sharti usiogope mapovu. Mwanamke anakuwa kwenye kilele cha uzuri wake akiwa kwenye umri kati ya 18+30.
Kama unataka mwanamke wa kuoa ambaye atakuheshimu na kukufurahisha otea kwenye 18-25.
Mungu mwenyewe alimteua mwanamke amzaye Yesu pindi Bikira Maria alipokuwa kwenye 17-19, akiwa bado mbichi kabisa....sasa wewe unaenda kuokota wastaafu wa 30-40 umekuwa nyumba ya kutunza wazee?
Sawa baba karaniNaendelea kuhesabu id za kike zenye 27+[emoji1787][emoji1787]
Mbona nilishakwambia unayeteseka ni wewe shoga[emoji4]
HahahaSijui kwanini sikuhizi nikisoma nyuzi humu naona kabisa nadanganywa na natofautiana nazo.
Kuna mawili labda nyie wenzangu mnazidi kuwa wajinga au mimi ndiye nazidi kuwa mjinga.
Yaani kweli wanawake 27+ ambao hawajaolewa wengi wao wao ni watoto wa kishua???
Bwana Yesu asifiwe mtumishi.Sawa baba karani
KW akili hii sijuiSeems like your mindset is still in the Stone Age Era. Let me break it down for you.
Wanawake siku hizi tumeelimika. Tunaenda na kasi ya maisha. Akili zetu zipo kimaendeleo zaidi. Tuna focus kwenye elimu, biashara na ajira ili kujiingizia kipato maisha yaende.
Bado tunapenda na kuheshimu ndoa, lakini Ni muhimu tuingie kwenye ndoa tukiwa na maisha yetu, na hela zetu. Hata tukiingia na kibanda chetu na kiusafiri Kuna tatizo kwani?
Kulewa na kuzaa kupo tu. Tusake maisha kwanza.