Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Stress sio poa, kama huyo Cariha nina uhakika umri umeendaaa sana halafu namba hazisomi
Bado ni katoto. Wakifika ule umri huwa tunazungumza nao lugha moja ya kiume. Wanakuwa wapole, waelewa na wamapokea hata mwanaume mbeba viroba ujuaji wote unakuwa mfukoni.

Huyu bado hajafika walipo dada zake maana hawa wao walikuwa kama yeye kipindi hicho. Kwa bahati mbaya hizi social media hazikuwapo ila tungemuwekea hapa ushahidi aone yeye si wa kwanza kubisha.
 
Sijui kwanini sikuhizi nikisoma nyuzi humu naona kabisa nadanganywa na natofautiana nazo.

Kuna mawili labda nyie wenzangu mnazidi kuwa wajinga au mimi ndiye nazidi kuwa mjinga.

Yaani kweli wanawake 27+ ambao hawajaolewa wengi wao wao ni watoto wa kishua???
nadhani mtoa mada ka alipaka mtu mafuta kwa mgongo wa chupa
 
Hawa ndiyo wanaofanya wanawake waanze kujiona hawafai
Na wanataka kuja kuaminisha watu huku kuwa hao watu hawafai.
Lazima tuwanyooshe
Sijaona kama hiyo ndiyo intension ya mleta mada. Ukisoma kwa makini kiasi flani ameongea ukweli, swala la final commitment kwa wanawake liko limited with age. Kufocus kwenye ajira, kipato, elimu ni swala jema kabla ya wedding rock na wanaume wanaojielewa na wanaotaka kusettle, wenye njaa ya maendeleo kifamilia tuko tayari kuingia katika mahusiano na wanawake wa aina hiyo.
 
Kunguza hasira, kumbuka huo ni mtazamo wake, hata nyinyi wanawake mnamitazamo yenu na preferences zenu. Muhimu nilichokiona ni kutuasa wanaume kuwa IF WE ARE DATING SUCH AGED WOMEN, LET US NOT PLAY WITH THEIR FEELINGS.

Exactly Mkuu

Swala lilikua ni uelewa tuu
Jamaa kaongea kitu helpful Sana

Mimi Leo/kesho nikipata Mdada wa Namna hiyo nitachukulia maanani Sana Swala la feeling zake kwangu
I wonts mess with her feelings kabisa
 
Acha kuwatia ujinga watoto wa watu..... Ndoto gani hizo.... Mtu anatombwa na wanaume tofauti is that part of ndoto?!
Wewe ndiyo umesema kutombwa na wanaume tofauti tofauti.

Me nimesema wanawake watimize ndoto zao. Hao unaowaona wanatombwa na wanaume tofauti wafuate uwashauri kama unaona wanatumia vibaya viungo vyao uwafundishe namna ya kuvitumia mkuu.
 
Huu uzi wa moto huu.... 🤣🤣🤣 ngoja niendelee kujifunza....[emoji481][emoji120]
 
Sijaona kama hiyo ndiyo intension ya mleta mada. Ukisoma kwa makini kiasi flani ameongea ukweli, swala la final commitment kwa wanawake liko limited with age. Kufocus kwenye ajira, kipato, elimu ni swala jema kabla ya wedding rock na wanaume wanaojielewa na wanaotaka kusettle, wenye njaa ya maendeleo kifamilia tuko tayari kuingia katika mahusiano na wanawake wa aina hiyo.
Kila mwanamke ana kipau mbele chake tofauti
Si wote wameweka ndoa Kama priority ya kwanza.
Lengo lake ni hilohilo nililolisema.
Na wewe unataka kumtetea nikujumuishe naye!?[emoji1787][emoji23][emoji1787]
 
Zipo siku mtu huwa unajisikia kujibizana na kukimbizana kimaandishi na watu, na maranyingi huwa ni pale unaposema ukweli kwa 100 asilimia ama kusema uongo kwa 100 asilimia. huu uzi utafurahisha watu flani pia utakera sana watu flani na yote ni kutokana na vile mtu atayachukulia yale yaloandikwa na mtoa mada na maoni ya watu wengine
 
I see alot of shaming tactics from older women here. Listen men, women use shaming tactics to pin down men in arguments kama wanavyofanya katika mada hii, kama umeanza ku-date na manzi uliyemkuta ana miaka zaidi ya 25 jua tu hapo unalamba galasa (she sees you as retirement plan after her prime years, 18 ~ 22). From my vast experience, almost all good girls are taken by 25.​
 
Ukiwa mkweli sharti usiogope mapovu. Mwanamke anakuwa kwenye kilele cha uzuri wake akiwa kwenye umri kati ya 18+30.
Kama unataka mwanamke wa kuoa ambaye atakuheshimu na kukufurahisha otea kwenye 18-25.
Mungu mwenyewe alimteua mwanamke amzaye Yesu pindi Bikira Maria alipokuwa kwenye 17-19, akiwa bado mbichi kabisa....sasa wewe unaenda kuokota wastaafu wa 30-40 umekuwa nyumba ya kutunza wazee?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba unaenda kuokota Wastaafu Daah

Kuna mtu huko juu alisema sahivi Mpango Ni watoto wa 2000's.
 
Ukiwa mkweli sharti usiogope mapovu. Mwanamke anakuwa kwenye kilele cha uzuri wake akiwa kwenye umri kati ya 18+30.
Kama unataka mwanamke wa kuoa ambaye atakuheshimu na kukufurahisha otea kwenye 18-25.
Mungu mwenyewe alimteua mwanamke amzaye Yesu pindi Bikira Maria alipokuwa kwenye 17-19, akiwa bado mbichi kabisa....sasa wewe unaenda kuokota wastaafu wa 30-40 umekuwa nyumba ya kutunza wazee?
Sawa mstaafu mwenzao
 
Sijui kwanini sikuhizi nikisoma nyuzi humu naona kabisa nadanganywa na natofautiana nazo.

Kuna mawili labda nyie wenzangu mnazidi kuwa wajinga au mimi ndiye nazidi kuwa mjinga.

Yaani kweli wanawake 27+ ambao hawajaolewa wengi wao wao ni watoto wa kishua???
Hahaha
 
Seems like your mindset is still in the Stone Age Era. Let me break it down for you.

Wanawake siku hizi tumeelimika. Tunaenda na kasi ya maisha. Akili zetu zipo kimaendeleo zaidi. Tuna focus kwenye elimu, biashara na ajira ili kujiingizia kipato maisha yaende.

Bado tunapenda na kuheshimu ndoa, lakini Ni muhimu tuingie kwenye ndoa tukiwa na maisha yetu, na hela zetu. Hata tukiingia na kibanda chetu na kiusafiri Kuna tatizo kwani?

Kulewa na kuzaa kupo tu. Tusake maisha kwanza.
KW akili hii sijui
 
Back
Top Bottom