Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Daah! Noma sanaUkiwa mkweli sharti usiogope mapovu. Mwanamke anakuwa kwenye kilele cha uzuri wake akiwa kwenye umri kati ya 18+30.
Kama unataka mwanamke wa kuoa ambaye atakuheshimu na kukufurahisha otea kwenye 18-25.
Mungu mwenyewe alimteua mwanamke amzaye Yesu pindi Bikira Maria alipokuwa kwenye 17-19, akiwa bado mbichi kabisa....sasa wewe unaenda kuokota wastaafu wa 30-40 umekuwa nyumba ya kutunza wazee?
Ndiyo ni mtoto.Na mamake huwa anamuitaga hivyo hivyo; utamsikia "...hayo maharage mwekee mtoto, si unajua hapendi samaki!"
Dume la 26 years hilo ndie anaitwa mtoto!!
[emoji23][emoji23][emoji23]my bro Elly not true most of the time nikiwa huku nakuwa na mood ya kupovusha watu siku ingine hamu Sina kabisa.Mada zako hizi, nadhani hata lunch/dinner unaweza kusahau[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona Mimi umri mkubwa humu na ninajisema status yangu, so inategemea mtu na akili yake ka anasikiliza wapuuzi lazima akose furaha, Ila disminder ka Mimi I don't care kwa kweliUkitaka kugombana na mwanamke muulize ana umri gani[emoji23][emoji23]
Tena Ikatokea huyo Ke akawa >27yrs,, hakika utapiata[emoji1787]
Nimetoa tu ushauri. Pole sanaVipi unaumia kwani?[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]my bro Elly not true most of the time nikiwa huku nakuwa na mood ya kupovusha watu siku ingine hamu Sina kabisa.
Pole nikupe wewe [emoji1787]Nimetoa tu ushauri. Pole sana
Unaona raha kumuita mtoto wa mwanamke mwenzako shoga.Kumbe Niko sawa tu [emoji1787]
Na ukome kunishambulia
Hapo ndipo alipoteleza ila mada yake ipo vizuri na inaeleweka.
Sijui watu wanabisha nini....ila huo ndiyo ukweli aliousema.
Me sija msema mtu kaka, we are here to learn and share ideas. Me natoa ushauri na nasaha kwa vijana wenzangu. Nimekosea niniThread kama hizi ukifungua unaitupia huko jukwaa la mahusiano
halafu unatulia kimya unasoma comment,hamna kujibu comment
ya mtu hata mmoja,we ingia piga jicho sepa..Unafungua thread ngumu
kama hii hlafu unaanza kureply comment za uliowalenga,utachambwa hadi ujute.
kuna watu wamejitegesha wanasubiri uingie 18 zake,sasa wewe ushamchokonoa halafu unamsogelea..shauri lako Dollar hermees
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe unajifariji tu na uanaume suruali sikuhizi Kuna vifaa vya kuridhisha wanawake kuliko nyie wanaume nguvu za kiume hamna, Mara mpige alkasusu sijui vumbi la congo wakati ukiwa na kifaa chako una enjoy. Mtu huna mbele Wala nyuma unajiita mwanaume what a shame, daily kuzalilisha wanawake waliokuzidi like kitu
Mwanamke yeyote mzuri anaolewa mapema. Labda kama awe na tatizo au shida fulani.Yaaani wanaume mnashida..m mwanamke akisoma shida... Akiolewa anamloga mume wake... Akiachika malaya... Akichelewa kuolewa hafai amedanga sana...
Haya maisha aliewaambia yanaformula nani... Nyie yoote mlioyapanga mmeyafanikisha... Kwasababu unaweza ukapanga na yasitokeee.
Mtu kutaka kuwa na mwenza kuna shida gani?... Naona mleta uzi ni mpumpavu tu tena hana hela kuoa hajaoa... Ila basi tu kukandia wanawake.. stupid
Naongelea uhalisia siku hizi wanawake wengi hawaolewi. Unakuta mdada mzuri anakazi yake na kwao yuko vizuri lakini bado anasota. Mwishowe anakuja toka na dereva boda boda au mtu ambaye sio level yake. Ukicheki age yake imeenda na wazazi wanaona aibu kwa elimu walio wekeza mwanao kuolewa au kuzalishwa na mwanaume ambaye sio hadhi yake.Kwaiyo wewe unataka watoto wa kishua..si umeenda huko maofisini hujawaona?.. kwanza utawapa nini.. ndo nyie mnaotaka kulelelwa...WEAK MAN
Wewe una matatizo ya kisaikolojia Yani umri wa wanawake ukuumize, naona umeumizwa na huyo dada Sasa kuja kupoza machungu ukaamua uanzishe Uzi ili kujipa matumaini hewa ya kupata faraja, nasema tena pole Sana kwa kuumizwa huko umri wa binadamu lazima uongezeke tu bila kujali jinsia so hoja yako haina mashiko
Sawa sina hela ila nikimwambia nataka kumuoa atakubali na hela yake nakula. [emoji846][emoji846][emoji846]Hahahaha...wakishua..au watoto wenye kazi...We bwege kweli...huyo dada anakazi na anahela yakr..wewe unamuona wakishua coz huna hela wala.kazi.unatembeza CV
Connection muhimuWewe...Ni POPoma tu...story zako za mtaani na fb unaleta hapa..mbona mimi nilipata kazi bank bila connection...Njaa zako zinakusumbua kijana.
Choko babako na mamako na ukoo wenu mzimaMimi.sikuanzia Teller wewe Usijifanye UNAJUA KIKA KITU BAANA...KUMBE CHOKO TU