Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,935
Binamu shikamooKwani inakuhusu binamu?
Jeuri ninayo na nimeanza kuwa nayo zaidi ya miaka kumi iliyopitaJeuri ya kutoa huna
Ni ya kawaida sana ila thamani yangu hailingani na chochote
Uwe nayo uringe! [emoji1787]Jeuri ninayo na nimeanza kuwa nayo zaidi ya miaka kumi iliyopita
Bora uwaambie labda watakusikia wewe mwenzao [emoji1787]Let's discuss issues brothers Mambo ya kujadili umri wa wachumba hapa ni umama nao
Alipokosea ni kusema wa kishua ila ni kwamba umri huo wengi wanakuwa kwenye mihemko ya kutaka kupata ndoa na kutaka kuzaa, hilo naweza kumuunga mkono kwa asilimia flani, halafu hyo rika yakupasa uwe muwazi maana usipokuwa muwazi unaweza ukajikuta umeoa mwanamke usiyempenda. Uwazi ni kuwa unapiga na kusepa au unapaki Lori.Sijui kwanini sikuhizi nikisoma nyuzi humu naona kabisa nadanganywa na natofautiana nazo.
Kuna mawili labda nyie wenzangu mnazidi kuwa wajinga au mimi ndiye nazidi kuwa mjinga.
Yaani kweli wanawake 27+ ambao hawajaolewa wengi wao wao ni watoto wa kishua???
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] stakafilulaaUkiwa mkweli sharti usiogope mapovu. Mwanamke anakuwa kwenye kilele cha uzuri wake akiwa kwenye umri kati ya 18+30.
Kama unataka mwanamke wa kuoa ambaye atakuheshimu na kukufurahisha otea kwenye 18-25.
Mungu mwenyewe alimteua mwanamke amzaye Yesu pindi Bikira Maria alipokuwa kwenye 17-19, akiwa bado mbichi kabisa....sasa wewe unaenda kuokota wastaafu wa 30-40 umekuwa nyumba ya kutunza wazee?
Nimeshaacha binamu[emoji850]Marahaba binamu.
Punguza munkali lakini
duh goli moja!!? sasa goli moja mbona nakuwa cjakufaidi si bora tusifanye tu. 35 mapema sanaHahahaha...acha kujifariji Wewe....Tena Wewe ndo utazeeka vibaya miaka 35 TU kisukari hichi hapa..unapiga goli Moja kwa shida...
Kweli kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]akalinde wadogo zake kwao
Sawa unauwezo wa kuandika chochote.Tena wewe na kuzibua mwenyewe.
Mwanaume wangu hawezi gombana na vitu vya ajabu [emoji1787][emoji1787]
Mada marufuku JF:
1.Kuponda wanawake wenye umri wa miaka 27+.
2. Kuwaponda single mothers.
3. .....
Utajuta aisee!
Pole Sana[emoji1787]
Huwa nacheka sana baadhi ya wanaume hapa wakisema "eti usiwachezee hisia zao", jamani wanaume amkeni usingizini usidanganye unachezea hisia zake ukipata chance ya kupiga mwanamke mwenye umri mkubwa aliyevuka miaka 25 kama bado hajachoka choka we chapa tu ila asikugeuze jumba la kustaafia(ndoa) baada ya ku-enjoy ujana wake (18 ~ 22). Binafsi naamini ni busara zaidi ukaoa mwanamke uliye-enjoy peak yake ya uzuri (18 ~22).
Ukweli ni hivi, Yeye ndiye anayekuchezea wewe kihisia. Maana baada ya watu kujipigia sana huko wewe ndio anakuona unafaa sasa kuishi nae muda ambao ameaza kuchoka alikuwa wapi kipindi bado mbichi (18~22)? Hapa alikuwa na watu aliowapenda zaidi, ila baada ya kumuona ameanza kuzeeka wakaingia mitini ili wewe unayeogopa "kumchezea" umuoe.
Ukweli utabaki kuwa ukweli asilimia zaidi ya 99, wanawake wazuri wanakuwa tayari wapo ktk serious relations au wameolewa pindi wafikapo miaka 25. Nje ya hapo kuna sababu kwa nini huyo mwanamke hajaolewa au hana mtu serious akivuka miaka 25 wengi wao ni hovyo sana either ana-standard za kijinga zisizo halisi.
Asikudanganye mtu, hakuna mwanamke asiyependa kuolewa sio dunia ya kwanza (kama U.S, Europe or Austrilia) wala ya tatu (kama TZ) unless awe amelelewa na single mother (not widow, big diference) au umri wake umevuka miaka zaidi ya 25 na hana mtu serious.
Daa wewe unawaita dada zako wastaafu? Kwani mtu akitaka kuoa si anachagua ampendaye? Wanaume wengi hamuoi huku mtaani wanashinda wanavuta bangi sasa hao waolewe na nani?
Kumbe mnajua tabia za kidada zinakera eh?Mimi ningemtandika haswaa
Mwanaume gani anakuwa na tabia za kidada namna hii